Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!
Usilalamike wakati wewe mwenyewe ukiambiwa haya taja vyanzo vipya vya mapato Tanzania hujui, Kama wewe kijana hapa JF na Wazee hamuwezi kutaja vyanzo vipya vya mapato ukiacha kodi za madini, Paye...
14 Reactions
159 Replies
6K Views
Nimemsikia mwenyewe LIVE, wakati Rais anatoa hotuba leo huko Arusha katika kikao Cha watendaji wakuu wa Taasisi za Umma, akikiri kuwa katika miaka Ile ya mwanzoni wa miaka ya 2000 wakati alipokuwa...
17 Reactions
72 Replies
3K Views
Sisi tunakuombea Tutakusapoti Tutakulinda
6 Reactions
20 Replies
947 Views
Utakuja kushangaza 2025 Wapiga Kura wanawarudisha bungeni Wabunge hawa hawa Hakika aliyeturoga kafa Kwako Malaria 2 ukiwa Gaza 😄
0 Reactions
2 Replies
174 Views
Magufuli alizuia Benard Membe (RIP) asiende kazi ya AU, akamzuia pia na Sirvacus Likwelile (RIP) na Liberata Mulamula kwa kazi za Ukamishna walizopata AU. Rais Samia siyo tu ame mu-endorse Dr...
26 Reactions
130 Replies
3K Views
Wakuu kwema! Yaliomkuta Mbunge wa Kisesa Luhaga Mpina hatimaye yamemkuta Dk. Angelina Mabula ametakiwa apeleke ushahidi Bungeni kuhusu Kituo cha Afya Sangabuye wodi moja wanaume, wanawake na...
1 Reactions
4 Replies
716 Views
Je ni nani anatakiwa kwenda kujiandikisha kwenye Daftari la Kudumu la Mpigakura? 1. Ambaye hakujiandikisha 2019/2020 2. Ambaye ametimiza miaka 18 sasa na 2019 alikuwa hajafikisha umri huo 3...
1 Reactions
4 Replies
364 Views
Balozi wa Comoro nchini Tanzania, Mhe. Dkt. Ahamada El Badaoui ametembelea Ubalozi wa Tanzania mjini Moroni, Comoro na kufanya mazungumzo na Balozi wake, Mhe. Saidi Yakubu. Katika mazungumzo...
1 Reactions
1 Replies
258 Views
Waziri Mkuu Akijibu Maswali ya Papo kwa Papo, Bunge la kumi na mbili mkutano wa 16 kikao cha 3 tarehe 29 Agosti, 2024 Update.... Waziri Mkuu Ametoa majibu ya matukio ya utekaji yanaendelea...
4 Reactions
33 Replies
2K Views
Makamu Mwenyekiti wa CHADEMA Tundu Antipas Lisu amesema hata kama angekuwa na Nia ya kuanzisha Chama kipya Cha Siasa kamwe Msajili wa Vyama vya Siasa Jaji Mutungi hatakisajili kwa sababu anafahamu...
2 Reactions
6 Replies
612 Views
Mchana wa leo rafiki yangu ambaye ni msaidizi wa kigogo fulani nimeshangaa ananiaga eti anatakiwa kupanda flight kuelekea Dodoma boss wake ametakiwa na Bunge kwenda kutoa maelezo kwenye Kamati...
13 Reactions
60 Replies
2K Views
UPDATES KUHUSU KOMBO MBWANA TWAHA,GEREZA LA MAWENI TANGA. Timu ya mawakili waliopiga kambi Jijini Tanga ikiongozwa na Wakili Peter Kibatala, Wakili Michael Lugina na Wakili Deogratius Mahinyila...
3 Reactions
14 Replies
1K Views
To quote: The positive role that judges could play in Africa has been hampered by 1. The increasing politicization of the judiciary, 2. Judicial corruption, 3. Lack of resources and 4...
1 Reactions
2 Replies
292 Views
Makamu Mwenyekiti wa CHADEMA- Bara, Tundu Lissu amsema iwacha CHADEMA itaacha misingi yake ailiyomfanya ajiunge na chama hicho basi ataondoka katika chama hicho na sio dhambi kufanya kuvyo kwani...
14 Reactions
68 Replies
5K Views
Ndugu zangu Watanzania, Ni swali tu nauliza kuwa baada ya Mheshimiwa Faustine Ndugulile kuchaguliwa kuwa mkurungenzi Mkuu wa WHO kanda ya Afrika,naamini kuwa itambidi Mheshimiwa mbunge atumie...
8 Reactions
126 Replies
4K Views
Kuna tatizo kubwa la weledi ndani ya Jeshi la Polisi. POlisi wa nchi hii, bila shaka hawana weledi wa kutosha, na wala hawajishughulishi kujua sheria ili wafanye kazi zao kwa weledi. Lakini pia...
4 Reactions
10 Replies
506 Views
Uchafu na dhuruma za uchaguzi mkuu wa 2015 wa serikali za mitaa 2019 na uchaguzi mkuu wa 2020 na kinachoendelea sasa dhidi ya wapinzani, utekaji, kupoteza watu na usanii wa 4R na kinachoitwa tume...
5 Reactions
14 Replies
377 Views
Jibu moja tu na hakutaka kupepesa aisee! Heraaaaa!
17 Reactions
36 Replies
2K Views
1. Mgombea Urais namba 5 mwaka 2015 na Waziri Mwandalizi (Mstaafu) Mambo ya Nje, Makamba. Ana taaluma gani mbali na Ubunge alio nao? 2. Ikitokea 2025 Chama kisimpitishe kugombea, itakuaje...
7 Reactions
75 Replies
4K Views
Mbunge wa Nzega Vijijini Dkt. Kigwangalla amesema ipo siku atapata tena Uwaziri, huwa hakatagi tamaa. Dkt. Kigwangalla ametoa taarifa ukurasani X.
7 Reactions
26 Replies
1K Views
Back
Top Bottom