Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!
Ungepata nafasi ya kuuliza swali kwenye tume ya uchaguzi ungeuliz swali gani? Huenda wengi tuko na maswali ambayo tungehitaji kuyauliz kwenye tume ya uchguzi ila hatujui tunayauliza wapi. Basi...
2 Reactions
6 Replies
377 Views
Kero lukuki, wajumbe mmh! Ncheme, nchicheme? Novemba 7, 2007 Raia Mwema KWA tuliofuatilia, kwenye luninga, Mkutano Mkuu wa CCM, uliomalizika Dodoma, mwishoni mwa wiki, ‘poa’ ndiyo...
1 Reactions
2 Replies
2K Views
Serikali imehusika katika kesi 4,380, tafadhali soma zaidi hapa chini: Serikali imehusika katika jumla ya kesi 4,381 2007-11-08 16:17:30 Serikali imehusika katika jumla ya kesi 4,381 kati ya...
2 Reactions
1 Replies
2K Views
1. Lisu 2. Mbowe 3. Boniface Jacob 4. Ongezea na wewe
6 Reactions
48 Replies
2K Views
Amekiri kwa maandishi mbele ya Kamati ya Sheria ya Bunge la Marekani kuwa mwaka 2021 walikubali shinikizo la White House kuchuja baadhi ya taarifa. Full text kutoka CNN iko hapa:-...
3 Reactions
41 Replies
2K Views
Ndugu zangu Watanzania, Mtumishi wa Mungu Mheshimiwa peter Msigwa ameendelea kuvurumisha Makombora Mazito mazito kwa CHADEMA,ambayo yameonekana kuteketeza na kusambaratisha kabisa kambi zoote za...
0 Reactions
14 Replies
549 Views
Inasikitisha unapo ona vyombo vya kutoa haki vinacheza na maisha ya Watanzania kwa sababu za maamuzi ya makada. Hii kesi ya Soka na wenzake ni mfano ambao una onyesha jinsi haki zinavyozidi...
6 Reactions
12 Replies
620 Views
Wakati wote Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan, ameendelea kusimama imara katika falsafa yake ya uongozi ya 4R kwa kuitekeleza kwa vitendo. Ameendelea kuwa...
1 Reactions
1 Replies
272 Views
Nimeona Viongozi wa Kisiasa na Kidini pale Mahakama kuu katika Kesi ya kumtafuta Deus Soka Nikakumbuka namna Mwalimu Nyerere alivyowarudisha kwao Mateka kutoka Libya baada ya kumfurusha Nduli...
0 Reactions
2 Replies
273 Views
Hawa watu wakifungua kesi nyingi nyingi zinazowahusu polisi, wakuu wa wilaya, mawaziri, wakuu wa mikoa nk zitawaweka busy na zitawapa aibu angalau wataanza kukemea uonevu unaofanywa na watu wao wa...
0 Reactions
1 Replies
168 Views
  • Poll Poll
Bila kujali misimamo yetu ya kisiasa, kidini, kirangi wala ya kikabila tuliyonayo na tunayoiishi Kwa pamoja leo tuvisaidie vyama vya siasa na vyombo mbalimbali vya maamuzi kupendekeza ni...
13 Reactions
123 Replies
4K Views
Naona chadema imejitolea kikosi cha mawakili wanaowawakilisha makada wake katika kesi nyingi, ili sasa wamuwakilishe Luhqga Mpina katika kesi zinazohusu mambo ya sukari, pia kesi inayohusu Mpina...
1 Reactions
5 Replies
557 Views
Mpina awafungulia kesi Spika wa Bunge, Waziri wa Fedha, Waziri wa Kilimo, Kamishna wa TRA, AG na Makampuni yaliyopewa tenda ya kuagiza Sukari Mbunge wa Kisesa (CCM), Luhaga Mpina amefungua kesi...
7 Reactions
11 Replies
770 Views
Matajiri wanaoishi mikoa ya mbali ikiwemo Mara, Mwanza, Arusha, Kilomanjaro, Dar es salaam walitumia kigezo cha jamii ya kimasai kuishi Ngorongoro kuingiza hifadhini mamilioni ya ngombe hivyo...
3 Reactions
49 Replies
2K Views
David Kafulila CEO wa PPP-Cetre nchini na Nehemia Mchechu Msajili wa hazina nchini mnatuchanganya Watanzania, Kafulila na Waziri Mchengerwa kwa nyakati tofauti tofauti walifafanua vizuri ya...
19 Reactions
146 Replies
3K Views
Mkuu wa Mkoa wa Arusha, Paul Makonda amesema mwezi Oktoba mwaka huu kutakuwa na maonesho ya magari yatakayovunja rekodi ya Guiness iliyowekwa na Ujerumani kwa kuwa na magari aina ya Land Rover...
4 Reactions
6 Replies
814 Views
Huko Congo drc team Moja za ligi kuu ziliokuwa ziki itwa dcmp ime badilisha jina na kuitwa FC magufuli, kumbe jembe kakanya kazi ngumu sana, basi kapumzike kwa Amani sana USSR
17 Reactions
38 Replies
1K Views
Chadema kama kundi hawawezi kuleta Ukombozi wowote ila Mwanachama mmoja wa Chadema aliyejitoa Sauti yake inaweza kumfikia Mungu wa Mbinguni Kwa mfano Shujaa Magufuli alijitoa Sadaka yeye binafsi...
0 Reactions
3 Replies
187 Views
Serikali ilikuwa inafikiri maandamano nchini ya Chadema hayana tija. Sasa bila Chadema kuna maandamano makubwa matatu kwenye ngome za CCM! 1. Kuhusu kutekwa watu huko Simuyu 2...
2 Reactions
3 Replies
305 Views
Back
Top Bottom