Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!
Akiwa katika uzinduzi wa mradi wa usimikaji wa Rada 4 za kufuatilia usafirishaji wa anga, Rais Magufuli amewashangaa wanaotoa nyaraka zilizojaa malalamiko kwa Serikali. Amesema wapo watu duniani...
18 Reactions
391 Replies
41K Views
Haya mambo ya ajabu yanashangaza sana, huwezi kuta haya mambo ya kijinga yanafanywa na viongozi huko kwa wenye IQ 100+ Pia soma: Nchi yenye IQ kubwa Duniani Hata hiyo namba tuliyonayo nahisi...
4 Reactions
16 Replies
879 Views
Pamekuwa na Vita ya chini kwa chini pale Chadema kuhusu nani atagombea Urais wa JMT kwa ticket yao Lisu au Mbowe Wapenda mageuzi Wanataka Tundu Antipas Lisu agombee lakini Wasaka Fursa wanamtaka...
4 Reactions
15 Replies
830 Views
Kutokana na mbinu ya Rais Samia ya kutumia watu wengine kumsemea badala ya kujitokeza mwenyewe, kuna hatari zifuatazo zinazoweza kutokea: 1. Ukosefu wa uwazi na uwajibikaji: Kutokutokea moja kwa...
2 Reactions
10 Replies
558 Views
Tumekua tukikosoa Sana personality za viongozi Kila awamu,tukikemea ubadhirifu,rushwa na wizi wa Rasilimali zetu bila kujua tatizo kuu ni taasisi ya Dola ambayo inalinda utaifa,mipaka na...
3 Reactions
18 Replies
457 Views
Mwenyekiti wa Chadema Kanda ya Kaskazini mh Godbless Lema amesema kwa sababu Huduma za Kijamii zimerejeshwa Ngorongoro na Amani imerejea Chadema wanakwenda kufanya mkutano mkubwa sana wilayani...
1 Reactions
7 Replies
502 Views
1. Unarudisha hudumu ngorongoro bila kumwajibisha aliyeziondoa? 2.Unsasfirisha mwili wa kijana wa aliyeuwawa bila kumwajibisha alimuuwa ? USSR
7 Reactions
15 Replies
1K Views
Huo ndio Ukweli' Ukitaka Gazeti lako linunuliwe au Kipindi chako kisikilizwe basi andika habari za Chadema au RC Makonda au waalike studio Sijajua Bashungwa na Masauni wanafeli wapi labda hapo...
4 Reactions
7 Replies
359 Views
Viongozi wengi wa kiafrika tunapenda sana kubeba ndugu na kuwaketisha viti vya mbele. Mambo ya ukabila,udugu Ili kuzungukwa na watu mnaojuana ni kukosa weledi na kuleta mgongano wa kimaslahi...
4 Reactions
52 Replies
1K Views
Ana nguvu ya kipekee sana ya kiuongozi ndani yake kuanzia kwenye kauli zake za kuunganisha taifa, kwenye mipango mikakati yake ya maendeleo kisiasa, kijamii na kiuchumi.. Mathalani falsafa yake...
6 Reactions
45 Replies
825 Views
Tetesi zinasema kwamba leo huko lamadi watu wameandamana kutoka na kile kinachodaiwa ya kwamba utekaji uliokithiri umekuwa ni janga kubwa mno.Watu wanapotezwa na watu wasiojulikana na hakuna...
10 Reactions
42 Replies
3K Views
MJUMBE wa Kamati Kuu ya Chama cha Mapinduzi (CCM) na Mbunge wa Ruangwa, Kassim Majaliwa ameshuhudia wanachama 24 wa vyama vya CUF na ACT-Wazalendo wakirejea CCM ndani ya siku mbili. Majaliwa...
0 Reactions
1 Replies
287 Views
Nimefanya utafiti binafsi nimegundua hakuna tatizo la ajira nchini Bali tatizo la kifikra na kimaslahi la viongozi tuliowapa dhamana. 1. SEKTA YA KILIMO MIFUGO Hii ndio UTI wa mgongo wa taifa...
3 Reactions
4 Replies
635 Views
SERIKALI YA CCM KAMA SIYO KUROGWA NI NINI? Tanganyika Packers LTD, Kawe, Dar es Salaam 1945-1975. Kilikuwa kiwanda cha kuchakata na kusindika nyama kwa ajili ya kuuza ndani na nje ya nchi. Eneo...
31 Reactions
82 Replies
4K Views
Niwe mkweli serikali ya CCM Chini ya Rais Samiah imefeli kwenye suala la Usalama kabisa. Kwa Sasa inteligensia ya Polisi ipo Chini kabisa. Uhalifu unafanyika na Wala polisi hawana taarifa ya...
2 Reactions
14 Replies
601 Views
Kwa ufupi sana, Sijui kama Mhe Rais Dkt Samia Suluhu Hassan anataarifa na hawa vijana ila nimewasikiliza neno kwa neno nimekubali wanaweza kumfanya yeyote kuwa mshindi 2025 kwa zaidi ya 77%...
4 Reactions
18 Replies
1K Views
Yaani katika kitu nimewakubali gen z ya Tanzania ni kutokuandamana sababu kuna mizee ambayo ujanani kwao ilichezea pesa Sasa hivi maisha Yao magumu yanaanza kushawishi vijana eti waandamane hivi...
17 Reactions
104 Replies
8K Views
CHADEMA Kanda ya Kaskazini Leo inazindua Operesheni KUCHA yaani Kataa Uchafuzi Kwenye Uchaguzi Wote mnakaribishwa 😂😂
4 Reactions
36 Replies
1K Views
Ni kawaida sana kwa vijana wa kitanzania ambao ni boda boda kutumika kila uchaguzi. Kijana yupo tayari kutumika na CCM eti kisa siku hiyo umejaziwa mafuta full tank ndio unasahau mateso miaka...
2 Reactions
6 Replies
222 Views
Back
Top Bottom