Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!
Makamu Mwenyekiti wa Chadema mh Tundu Antipas Lisu amesema yeye hatagombea Uenyekiti wa Chadema Taifa bali atatetea nafasi yake ya makamu mwenyekiti aliyohudumu kwa muhula mmoja tu kuanzia 2019...
1 Reactions
3 Replies
425 Views
Hili suala la raia wote kupiga kura kuchagua viongozi halijakaa sawa, naona kama lina madhara mengi na makubwa zaidi kuliko faida kwa sababu kuna watu wengi wanapiga kura lakini hawaelewei uzito...
0 Reactions
6 Replies
303 Views
MAKONDA AAINISHA MPANGO KAZI WA VIPENGELE SITA: LETS MAKE ARUSHA GREAT AGAIN! April 8, 2024 Arusha ⦁ Mapokezi yamenitia moyo wa kuwa mtumishi mwema na mtetezi wa wanyonge. Kamwe sitaungana na...
19 Reactions
3K Replies
153K Views
Kuna mambo mengi yatafunuka ndani ya siku chache zijazo kuhusiana na huu mtandao. Kwanini tunarudishwa kwenye ujinga uleule? Rostam, you can do better than this! Enzi za JK hukujifunza mzee...
44 Reactions
169 Replies
13K Views
Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu – Kazi, Vijana, Ajira na Wenye Ulemavu Mhe. Ridhiwani Kikwete amesema Serikali imeweka mipango na mikakati ya kuhakikisha watoto wanapata malezi bora...
0 Reactions
1 Replies
306 Views
Kati ya manguli hawa wawili wa sheria, unapendekeza Samia amuweke nani pale Wizara ya Sheria?
1 Reactions
25 Replies
688 Views
Nashauri uongozi mkuu utoe maelekezo maalum kwa taasisi na mashirika. Kama taasisi au shirika lina semina/ mafunzo/ vikao 10 kwa mwaka, kwa kuanzia, walau kikao/ semina moja ifanyikie katika mikoa...
6 Reactions
38 Replies
1K Views
Kupitia hiyo picha kuna mtu atasagiwa kunguni na wapenzi wa boss lady na atafutwa kazi. Mda utaongea.
5 Reactions
33 Replies
3K Views
Makonda amerejea baada ya likizo ya kiutumishi kwa mujibu wa sheria. Waliosema kada watakufa wao kabla yake ila awe makini USSR
8 Reactions
55 Replies
5K Views
Salum Kikeke ni mmoja wa waandishi wa habari mahiri na wenye uwezo mkubwa wa kuhoji na kwa bahati nzuri kuwahi kwake kufanya kazi BBC kumesaidia kumpa jina. Lakini baada ya kumfatilia jana katika...
17 Reactions
75 Replies
3K Views
Waandishi wa habari nchini mbona mmekosa ubunifu wa kuwapa wasikilizaji/ watazamaji/ wasomaji habari za maisha ya Mawaziri wa Zamani (waliostaafu/ kutumbuliwa) kwamba maisha kwa sasa yapoje...
2 Reactions
17 Replies
919 Views
Hapa ni kenya, huwezi kuta vitu kama hivi vimwjengwa na tanroad. Kimara kibaha barabara imekua kero kwa sababu hawakutumia akili, stop over, suka, temboni, kwa msuguri, kibamba, kiluvya etc ni...
7 Reactions
43 Replies
1K Views
Ni kweli kwamba mtu akihama Chama hawezi tena kukisifu Chama alichotoka ama sivyo ataulizwa kwanini alikihama. Lakini haiwezekani Msigwa azunguke nchi nzima aanze kusema,"Mbowe ni...
12 Reactions
56 Replies
2K Views
Kwa siku za hivi karibuni kumekuwa na maelewano kwa wanasiasa Tanzania. Je, hiyo ni dalili ya uchaguzi wa huru na haki?
1 Reactions
5 Replies
151 Views
ASKOFU AMEONGEA MAMBO MAZITO SANA, MSIKILIZE https://www.youtube.com/watch?v=GTiX8kpt13U POINTS TAKEN FROM THE CLIP: 1. Walitumwa au walijituma na hao wanaotamani kubaki na chama kimoja, naona...
4 Reactions
9 Replies
785 Views
Mbunge wa Nzega Vijijini Dkt Kigwangala amesema Sugu kwake ni kama mwanafamilia hivyo hawezi kumuombea kifo Kwa Sababu yoyote ile Mlale Unono 😀
2 Reactions
11 Replies
726 Views
Ummy Mwalimu aliteuliwa kuwa Waziri Nov 2015, ndani ya miezi 7 akaamuru Bodi ya NHIF iwafukuze kazi Wakurugenzi/ Wakuu wa Vitengo wote pamoja na DG wao kwa tuhuma za uwongo. Katika hiyo timu ya...
2 Reactions
11 Replies
1K Views
Ndugu zangu watanzania, Mwamba Mwenyewe Paul Christian Makonda,Kijana Jasiri kusini Mwa jangwa la Sahara, Field Marshal,jabali la Siasa. Mwamba Mwamba Mwamba Mwenyewe Makonda Hatimaye kwa mara...
22 Reactions
159 Replies
6K Views
Nikweli mkuu wa mkoa ni mteule wa Rais lakini ni mdogo kuliko mawaziri na viongozi wengine wa kitaifa. Kile anakifanya Rais wetu mpendwa chini ya mkuu wa mkoa fulani kiuhalisia sio sawa na hata...
5 Reactions
62 Replies
6K Views
Wananchi wanahitaji muda kuwapima wale wanaotaka kuongoza taifa. Naamini kadri watakavyowafahamu mapema ndivyo pia watakavyokuwa na muda wa kutosha wa kuwapima uwezo wao katika nyanja zote. Rais...
0 Reactions
7 Replies
1K Views
Back
Top Bottom