Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!
Uwanja wa siasa kokote pale duniani haujawahi kuwa uwanja wepesi. Siku zote, mtawaliwa anaitamania nafasi ya mtawala, wakati mtawala anajiimarisha kila leo nafasi yake isichukuliwe na mtawaliwa...
2 Reactions
33 Replies
1K Views
Jeshi la Polisi mkoani Mbeya limewakamata watu wote waliokuwa ofisi za CHADEMA kanda ya Nyasa akiwemo Makamu Mwenyekiti CHADEMA Bara Mhe. Tundu Lissu, Katibu Mkuu. John Mnyika na Mwenyekiti wa...
22 Reactions
148 Replies
12K Views
Tukiwa tunaendelea na majonzi ya kumpoteza kiongozi wetu Membe basi tuangazie pia yaliyojiri huko kwingine. Chadema kupitia uongozi wa juu umejibu shutuma na kauli za lissu na kusema "madai yake...
0 Reactions
15 Replies
3K Views
Mnyonge mnyongeni haki yake mpeni, chadema pamoja na yote. Kuna sehemu wanakuwaga na mambo mazuri, leo wametufurahisha kwa kuitikia CCM hoyeee. Hapa sasa tupo pamoja. Haya mambo ya kujifanya...
4 Reactions
36 Replies
2K Views
CHADEMA siku ya jana walifanya mkutano chunya, mkutano huo ulikosa watu kabisa hali ambayo imeacha maswali kwa viongozi wa chadema. Tuliwaambia kuwa watanzania wengi hawapo nanyi. Watanzania wapo...
3 Reactions
47 Replies
2K Views
https://www.mwananchi.co.tz/mw/habari/kitaifa/askari-polisi-matatani-akidaiwa-kumvunja-mguu-mtuhumiwa-kituoni-4726664 Omari Mahita amvunja mguu mtuhumiwa na kumbambikia kesi ya wizi wa kutumia silaha
5 Reactions
14 Replies
632 Views
Moja kati ya miradi ya kimkakati nchini Tanzania ni pamoja na mradi wa Daraja la Magufuli almaarufu daraja la Kigongo Busisi linalopita juu ya ziwa Victoria linalounganisha jiji la Mwanza na mikoa...
2 Reactions
4 Replies
404 Views
https://www.youtube.com/watch?v=-XzJJFDbKNc ======== Kipenga cha uchaguzi wa Serikali za mitaa wa mwaka 2024, kitapulizwa leo Alhamisi, Agosti 15, 2024 wakati Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais...
7 Reactions
36 Replies
4K Views
"....Viongozi na wanachama wa CHADEMA, tumekamatwa sana toka enzi za Mkapa, Kikwete na Magufuli na haikuwahi kutokea kiongozi wa CCM kusema hadharani tuachiwe mara zote walikuwa wanashindilia...
2 Reactions
0 Replies
597 Views
Wasalaam Zote tunajua kwamba bwana mchengerwa ni mkwe wa mama Samia kwa maana kamuoa mtoto wa rais. Na nakumbuka mwaka jana bwana mchengerwa alikula kiapo mbele ya rais Samia na kujiapiza kwamba...
3 Reactions
13 Replies
683 Views
Licha ya kuomba kuchangiwa kwa hali na mali na waTanzania, kwajili ya kununua gari jipya ya kufanyia shughuli zake binafsi za kisiasa, lakini pia pesa nyingine kwaajili ya matengenezo ya gari lake...
4 Reactions
173 Replies
3K Views
Harare, Zimbabwe Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania katika mkutano wa 44 wa Wakuu wa Nchi na Serikali wa SADC unafanyika tarehe 17 Agosti 2024 mjini Harare, Zimbabwe chini ya mada: "...
1 Reactions
3 Replies
387 Views
Habari wana JF? Kipindi Cha nyuma tulikuwa tunawajua viongozi na vitengo vyao vya kazi. Walikuwa wanahudumu kwa mda mrefu bila kutenguliwa au labda ajiuzulu. Kwa Sasa tunawajua majina lakini...
6 Reactions
14 Replies
375 Views
Tetesi mitaani ni kwamba Ummy alishindwa kabisa ku manage fungu la fedha ndani ya NHIF. Agha Khan walimvimbia na kuikataa NHIF kwa vile hawalipii huduma inayotolewa kwa wateja/wagonjwa walio...
8 Reactions
30 Replies
2K Views
Kizimkazi festival Haina ubaya wowote ni nzuri kwa maendeleo ya eneo husika na kwa historia ya kiongozi wetu hasa Huko paje! Basi yafanyike Yale yenye manufaa haswaa! Kwa nchi nzima, tuwe makini...
4 Reactions
36 Replies
3K Views
  • Poll Poll
Huduma za bodaboda na bajaj nchini zimechukuliwa kuwa za kisiasa zaidi kuliko kuwa huduma inayo hitaji udhibiti kimamilifu kwama vyombo vingine vya moto. Kinachosikitisha zaidi ni hata vyombo vya...
6 Reactions
15 Replies
783 Views
Kuna watu wanajadili kuhusu tamasha au kongamano au kutaniko la Kizimkazi huko Zanzibar; limebeba wasanii wengi na wana habari; kutoka kwenye tamasha husika tutapata DC na RC au wagombea ubunge wa...
7 Reactions
92 Replies
10K Views
Tanzania raha sana, matukio ni mengi, na watu wanakwenda na matukio. Tukio moja lina trend wiki 2 , mwezi, miezi 3 na kubwa sana linachukua miezi 4-6 kisha linazimika. Issue ya ukodishaji wa...
5 Reactions
16 Replies
934 Views
Nani yupo nyuma ya huu mchakato mchafu wa kumchafua waziri wa Afya Ummy Mwalimu? Kwa maoni yangu Waziri Ummy japo sio mhalisia katika sekta ya afya ...yaani sio mtaalamu wa afya lakini...
8 Reactions
206 Replies
13K Views
Hayo ni maoni ya Wakili maarufu wa kutetea haki za binadamu Wakili Peter Madeleka ameshauri ufanyike usahili wa utimamu wa akili kwa Askari Polisi waliopo kwenye Majeshi. Wakili Madelekea...
6 Reactions
11 Replies
618 Views
Back
Top Bottom