Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!
Hebu tujadili hili Je, ukiwa Waziri unakuwa unalipwa mishahara na marupurupu ya ubunge na kisha unaongezewa na ya Uwaziri au inakuwaje hapo?
2 Reactions
57 Replies
10K Views
CCM wana roho njema sana, sasa wamechukua jukumu la kuhakikisha Tundu Lissu anapata gari. Chadema wameshindwa kumpa gari kiongozi wao mkuu. Nashauri kila mkutano wa CCM wamchangie Lissu, na pia...
1 Reactions
13 Replies
672 Views
#Updates kesi ya bandari leo 28th July 2023 Majaji wote watatu wanaingia muda huu saa 09: 44 asubuhi. MAJAJI watatu; 1. Hon. Ndunguru 2. Hon. Ismail 3. Hon. Kagomba Wote wameinama wanaandika...
29 Reactions
57 Replies
9K Views
Viashiria vinaonesha yupo mtu au kundi la watu wanaolipia hii habari ili iwe viral.
7 Reactions
74 Replies
2K Views
SOMA; Rais Samia fanya Maamuzi NHIF imeshindwa kufikia lengo. Pia Soma: Rais Samia, bado nalia na NHIF dhidi ya Agenda iliyopenyezwa Moja kati ya Teuzi bora kabisa kwa Watanzania ni kufanya...
11 Reactions
55 Replies
2K Views
Mtu kuweza ku-perform vizuri ni pale unapompa kazi inayoendana na hulka yake. Maadam afande Awadh kila alipopita inaonekana ni mtu mwenye hulka ya kupenda kupigana, hulka ya kutotaka kutumia...
5 Reactions
14 Replies
777 Views
Habari zenu members of jamiiforums,Mimi pia ni buheri wa afya,nimeandika uzi huu mahsusi kabsa kwa minajili ya kudurusu mfumo wa uongozi wa serikali yetu. Ingawa watu wanasema mama ana upiga...
1 Reactions
5 Replies
398 Views
Mosi, karibu katika ENEO LA KIMKAKATI(Free up-Busy Signal). Natambua Uwepo,Amani ikawe juu yetu,katika kanuni ya uwepo tangu zamani na hivi karibuni. Natumaini Uwepo, kwa sababu ya Uwepo wote na...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Serikali ya Tanzania imepokea msaada wa dawa ya kutibu na kujikinga na ugonjwa wa COVID-19 unaosababishwa na Virusi vya Corona uliotolewa kwa Tanzania na Nchi ya Madagascar, Msaada huo...
18 Reactions
403 Replies
40K Views
Hiii michango ya akina Maria Sarungi na Amos ni Siasa za kutwezana tu Kama ni michango ya CCM kwa Tundu Lisu basi ilishatolewa na yule Mbunge wa CCM Zanzibar aliyemkodia Chopa kadhalika Rais...
0 Reactions
0 Replies
263 Views
Habari zenu wanachama wa Jamiiforums. Mimi pia ni mzima wa afya, na nimeandika uzi huu mahsusi kwa minajili ya kudurusu mfumo wa uongozi wa serikali yetu. Ingawa watu wanasema mama ana upiga...
3 Reactions
10 Replies
348 Views
Ndugu zangu Watanzania, Nawaombeni Watanzania wenzangu na Wazalendo wa Taifa letu kujitokeza hadharani kulaani na kukemea vikali sana kauli Chafu za Mdude Nyagali kwa Rais wetu. Mtu huyu...
3 Reactions
158 Replies
4K Views
Rais Samia katengua uteuzi wa Ummy Mwalimu kama Waziri wa Afya. Ni mmoja wa mawaziri ambao sikutarajia angetumbuliwa na Samia! Imekuwaje akanyang'anywa tonge mdomoni?
8 Reactions
74 Replies
6K Views
Hawa ndugu zangu wana tabia za hovyo za ujivuni, kibri, hapa duniani tabia hizo hazijawahi kumsaidia mtu. Mtu kama Mwandosya kama siyo ujivuni na kibri angekuwa mbali. Mwangalie mtu kama...
15 Reactions
66 Replies
3K Views
Nimejaribu kufatilia uvaaji wa wa vijana wa kike wawapo JKT nimeona wananyolewa kipara then hijab huvuliwa vijana huvaa t shirt na kaputura. Hili ni suala la kitaifa lakini lenye kugusa imani ya...
25 Reactions
252 Replies
17K Views
Wadau. CCM Mkoa Wa Arusha imepata Mwenyekiti Mpya Ambaye Ni Ndg Zelothe Stephen Zelothe kufutia Uchaguzi wa Kidemokrasia uliofanyika Leo. Matokeo Kamili: Ndg. Zelothe Stephen Zelothe Amepata...
1 Reactions
52 Replies
10K Views
Ingekuwa kwenye nchi ya kidemokrasia na inayoiishi demokrasia, Waziri Nape Nnauye angeshapoteza uwaziri na ubunge wake muda huu. Angepoteza kwa shinikizo la wananchi au kuondolewa na Rais...
16 Reactions
32 Replies
2K Views
Mbunge wa Jimbo la Gairo Ahmed Shabiby akichangia makadirio ya mapato na matumizi ya Wizara ya Utamaduni,Sanaa na Michezo kwa mwaka wa fedha 2024/25 Bungeni Jijini Dodoma leo May 23,2024 ameiomba...
4 Reactions
11 Replies
594 Views
https://www.youtube.com/live/Lw1Orezvek4 Mkurugenzi wa Itifaki, Mawasiliano na Mambo ya Nje wa Chama cha Maendeleo na Demokrasia (CHADEMA), John Mrema amedai kuwa mchakato wa kuwakamata Wanachana...
0 Reactions
95 Replies
4K Views
WanaJF, Mtakumbuka kuwa ni siku chache tu zimepita tangu Rais Jakaya Kikwete afanye uteuzi wa wakuu wa wilaya ambapo katika uteuzi huo, Paul Makonda Katibu wa Hamasa na Chipukizi wa CCM...
2 Reactions
90 Replies
12K Views
Back
Top Bottom