Hivi wewe Nape unatuonaje lakini? Unaweweseka na mkataba wa kijinga wa Bandari na uharamia ambao wananchi wa Ngorongoro na Viongozi wao wanatendewa na Serikali ya CCM eti?...Kamataneni kwanza nyie...
Baada ya kumaliza kongamano la Bavicha kesho Ruanda Nzovwe, Mbeya Mjini, Ambalo Chadema Wamegoma kulisitisha pamoja na Mkwara duni wa Polisi na kada wa ccm Francis Mutungi, Tundu Lissu atafanya...
Kauli ya msajili ya vyama vya siasa na Jeshi la polisi kuhusu BAVICHA ina kila dalili kwamba watu hawa wamekaa kikao cha pamoja na kutoka na maazimio.
Kwa mtizamo wangu inaleta picha kwamba UVCCM...
Leo kwenye mitandao mbalimbali, mijadala imekuwa mingi kuhusiana na kauli ya Rais Samia kuwa ukitaka kufanikiwa kwenye kilimo, mpe msomali.
Siamini kama Rais anaweza kuitoa kauli hiyo kwa...
Kipindi kile kabla kidogo na baada ya uchaguzi wa kanda ya Nyasa Msigwa alijinasibisha na Lissu kila mahali alipokuwa .. Ni kipindi ambapo Msigwa alikuwa keshafika bei na kupokea advance! Na ni...
Habari waungwana,
Kutoka Kisutu, baada ya kuhairishwa mara kadhaa kutokana na ushahidi kutokamilika, kesi namba 456 ambayo inahusu kuzuia taarifa za upelelezi wa jeshi la Polisi inayowakabili...
Tanzania kwa sasa imekuwa ni nchi yenye matukio mengi sana, masuala ya ubakaji, watu kufa au kuugua bila taarifa, Afya kuwa ovyo n.k
Nchii hi msemaji mkuu ni Rais, kwanini usirudi utaratibu Rais...
Habari waungwana,
Kutoka Kisutu, baada ya kuhairishwa mara kadhaa kutokana na ushahidi kutokamilika, kesi namba 456 ambayo inahusu kuzuia taarifa za upelelezi wa jeshi la Polisi inayowakabili...
Huraaaaaaaaaaaaa!!!!
As the caption above. First of all we must understand that religion is the opium of the people which preaches the vacuum state.
Above all, God exists mostly to people whom...
Mnyonge mnyongeni haki yake mpeni kuna baadhi ya maeneo Mchungaji Msigwa alikuwa smart sana hasa yale ya Ngangari
Bilionea Sugu ni bwanyenye 😄😄
Pia soma=> Tundu Lissu amtahadharisha Rais Samia...
Ndugu zangu Watanzania,
Haya ni Maneno ya Hekima ya Mheshimiwa Albert Chalamila,Mkuu wa Mkoa wa Dar Salaam.ambaye amepata bahati kubwa sana ya kuongoza takribani majiji matatu Makubwa hapa...
Nasikia mbwa ameanza kubweka tena huko mabarabarani.
Nasikia vijana wamezuiliwa kwenda mjini kwa sababu Kuna mbwa amepata kichaa amesimama barabarani anabweka na anaviashiria vya kuanza kung'ata...
Wale mnaobusha kuwa Msigwa siyo Mchungaji wa Kanisani nikiwemo Mimi tukutane hapa ili tujiridhishe kama kweli Msigwa amevaa Joho na Kuongoza Misa Kanisani
Inadaiwa atakuwa kwenye Kanisa Moja...
Ukienda Kanda ya Ziwa kilimo cha pamba kimekufa na ile mikoa sasa ina idadi kubwa sana ya masikini kwa sababu moja ya zao walilo kuwa wanategemea sana enzi na enzi lisha kufa.
Kahawa mikoa ya...
Faida za mipango mikakati, maagizo na maelekezo yanayoamuliwa na kutolewa kutoka vikao vya ngazi za juu vya CCM, hususani taifa, yanafika bara-bara na yanatekelezwa vizuri kikamilifu sana, na kwa...
Makamu Mwenyekiti wa CHADEMA - Bara, Tundu Lissu akizungumza katika Mtandao wa Club House amesema kuna Kiongozi wa CHADEMA ambaye ameshanunuliwa kwa Fedha za Kuhongwa na mtu aliiyemtaja kwa jina...
Rushwa inaua sana utendaji wa ari, kujituma, ubunifu, na kujali.
Tujitahidi ila tuombe viongozi wetu waone rushwa ndio chanzo cha mkwamo wala sio vyama vya siasa wala dini wala kabila wala...
TAYARI imebainika, woga wao ni kuzuia Mhe. Mbowe asitumie jukwaa rasmi ili kuulezea ulimwengu uhuni na wepesi wa hoja za mwana CCM Msigwa.
CCM wanatumia Polisi na Msajili ili kumlinda Msigwa...
Kama kawa wanajamvi!( Na mimi nimeona nianze na kasalamu kama ndg Pasikali!)
Imezoeleka huku majimboni pindi cha ziara za viongozi kuona wawakilishi wa wananchi wakisimama na kuomba miradi ya...
Natoa ushauri kwenu kwa nia nzuri tu, mkitaka chukueni msipotaka endeleeni na harakati zenu, mimi nimeanza kufuatilia siasa za nchi hii wakati nikiwa form 2 mwaka 1992, enzi hizo ndio kumepamba...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.