Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!
Sheria - THE POLITICAL SERVICE RETIREMENT BENEFITS ACT (Cap. 225) RAIS: Rais wa Tanzania akistaafu anapata mafao yafuatayo: 1. Pensheni ya kila mwezi ambayo ni sawa na ASILIMIA THEMANINI ya...
34 Reactions
115 Replies
10K Views
Nimesikia kuwa misafara ya Vijana WA CHADEMA wamezuiliwa iringa wasiendelee na safari Yao kwenda Mbeya kuadhimisha siku ya Vijana. Mheshimiwa Mbowe nae eti kaitwa kwa Msajili wa vyama...
1 Reactions
12 Replies
422 Views
Sababu ni kwa nini Kenya inapokea watalii wengi pamoja na kuwa na vivutio vichache ni kwa sababu ya kinacho endelea Paria Ufaransa. Mashindano ya Olyimpic ni moja ya sehemu ya nchi kujitangaza...
9 Reactions
34 Replies
1K Views
Najaribu kufikiria kwa sauti au kwaza kwa sauti. Mara nyingi watu wenye akili kisoda/finyu huwa wanakifa mapema sana. Au kwa kuwa huwa hawatumii akili katika masmuzi yao wanaongozwa na emotions...
2 Reactions
12 Replies
709 Views
Mbunge wa Jimbo la Vunjo Mheshimiwa Dkt Charles Stephen Kimei akizungumza na wananchi wa vijiji vya Kisangesangeni na Miwaleni kata ya Kahe, Halmashauri ya Wilaya ya Moshi mkoani Kilimanjaro hii...
2 Reactions
23 Replies
1K Views
Karibu CCM MSIGWA. Karibu sana. Umenikumbusha Maneno ya Mwana farsafa nguli Tanzania, the late Ruge Mutahaba. Aliwahi kusema kuwa, "Muogope Mungu, Lakini pia ogopa teknologia". Hii video clip...
5 Reactions
31 Replies
2K Views
Mwenyekiti wa Chadema Kanda ya Kaskazini mh Godbless Lema amesema kundi la Vijana wa Chadema wakiwa njiani kuelekea Mbeya wamezuiwa na Polisi mkoani Iringa Lema amesema Gen Z hao wanaelekea...
4 Reactions
11 Replies
594 Views
Kumekuwepo na ongezeko kubwa la Vijana wasiokuwa na ajira mtaani,kila Kona unakuta kijana amebeba bahasha au kwenye internet cafe wakijitaidi kuomba kazi huku na kuleta. Naiomba serikali kupunguza...
1 Reactions
30 Replies
4K Views
Katibu wa Itikadi na Uenezi wa CCM, ambaye pia ni Mfadhili wa zamani wa Bendi ya FM ACADEMIA, Pedeshee Amos Makalla mkazi wa Mvomero, Morogoro, ametamka hadharani kwamba tangu enzi na enzi CCM...
4 Reactions
66 Replies
3K Views
Mzee, hujatutendea haki, hujarudisha heshima tuliyokupa. The biggest day of your life haiwezi kuwa siku uliyokutana na Rihanna na Michael Jackson... Jamani! Kwa miaka kumi ukiingia bafuni...
38 Reactions
106 Replies
7K Views
Sisi wana Iringa tumeamini kuwa wewe siyo MCHUNGAJI kabisa. Wakati bado upo cdm ulikuwa unatuaminisha kuwa hakuna chama makini kama cdm. Ukatushawishi tukakuchagua kupitia cdm na ukasema kuwa...
12 Reactions
62 Replies
2K Views
Kiukweli hali ya kisiasa iliyopo Zanzibar haina Afya kabisa na uvumilivu umetoweka Unapoona Naibu Waziri Mh Nadir anamtusi Makamu wa Rais hadharani ujue hapo Hali siyo hali tena Tuzidi kuwaombea...
1 Reactions
11 Replies
404 Views
Niko Mbeya Mjini kwa siku tatu hivi na nimeona upepo wa siasa za hapa. Siko upande wa CCM wala CDM. Nawashauri tu CDM kuwa wana nafasi kubwa ya kushinda Jimbo la Mbeya Mjini iwapo wataweka mgombea...
5 Reactions
31 Replies
1K Views
Nimemsikiliza mchungaji Msigwa Leo pale Mwembetogwa nikashangaa ilikuwaje akawa Mwanasaikolojia na Teolojia Peter amekaa miaka 20 Chadema lakini hajui kuwa kwa CCM Mbowe ni muhimu kuliko yeye na...
8 Reactions
29 Replies
2K Views
Ndugu Ahmed Omar, aliyewahi kuwa Msaidizi wa Maalim Seif Shariff Hamad na Juma Duni Haji na Wanachama wa ACT WAZALENDO wajiunga na CCM
2 Reactions
18 Replies
764 Views
Seriksli imemwaga ajira kila pahala na kila sector. Huku sector binfsi sasa usiseme.
5 Reactions
62 Replies
1K Views
Rais Samia Suluhu Hassan anatarajia kusafiri kuelekea Jamhuri ya Rwanda kesho asubuhi kushiriki sherehe za uapisho wa Rais Mteule, Paul Kagame ambaye alichaguliwa kuwa Rais wa nchi hiyo mwezi...
3 Reactions
35 Replies
1K Views
Bila shaka Prof. Anna Tibaijuka yupo miongoni mwa binafamu na akina mama wenye CV zilizoshiba. Kitaaluma na uzoefu wake wa kazi katika ofisi za juu kabisa duniani singemfanya awe mama wa mfano...
8 Reactions
56 Replies
2K Views
Mchungaji Msungu anasema Kizazi cha Gen Z hakikwepeki na kitadumu kwa sababu hizi ndio zama zao Baada ya Gen Z ambao wamezaliwa Kati ya 1997 hadi 2012 kitakuja Kizazi cha Gen Alpha cha hawa...
2 Reactions
4 Replies
310 Views
Mbunge Saashisha Mafuwe akabidhi mashine ya X-ray yenye thamani ya Tsh. milioni 196 na magari mawili Mbunge wa Jimbo la Hai, Mkoani Kilimanjaro, Saashisha Mafuwe tarehe 10 Agosti, 2024 amefanya...
0 Reactions
11 Replies
557 Views
Back
Top Bottom