Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!
Katika hatua madhubuti ya kurejesha nchi katika hali ya maelewano,usalama,na maendeleo endelevu kufuatia siasa za uhasama zilizorithiwa kutokana historia ya vyama vingi na mapungufu mbalimbali...
3 Reactions
16 Replies
5K Views
Mkuu wa mkoa wa DSM mh Albert Chalamila amesema Binti aliyebakwa yuko kwenye Mikono salama hajafa Chalamila amesema Yeye kama Mkuu wa mkoa anafahamu Binti aliyebakwa yuko katika kituo kimoja...
1 Reactions
4 Replies
304 Views
Tunajua Msigwa alienda kumuona Lissu kabla Msigwa kuhama Chadema, kama Lissu anataka kutoka, aende tu kuliko kuanza chokochoko, amfate Msigwa. Chadema ni kubwa kuliko Lissu
13 Reactions
73 Replies
2K Views
Nimekusikia ukinukuu BUSARA za Mwalimu Nyerere, lakini Mwalimu Nyerere busara zilimuongoza mambo mengine kuyazungumza in Camera na si hadharani. Nilitegemea majibu ya busara zaidi kuliko...
12 Reactions
65 Replies
2K Views
Ndugu zangu Watanzania, Uwanja wa Benjamini Mkapa uliofurika na kumiminika wanachama na mashabiki wa Simba umejikuta ukiripuka kwa shangwe ,nderemo na vifijo baada ya kusikia Sauti ya Mama yetu...
5 Reactions
84 Replies
2K Views
Akiwa mkoani Kagera, Ndugu Bashiru Ally ambaye ni Katibu wa CCM amesema anashangaa vitendo vinavyotaka kujikita mzizi kwa maafisa wa Serikali kujichukulia sheria mkononi. Bashiru Ally...
36 Reactions
118 Replies
11K Views
Kila tunapokaribia duru za uchaguzi wa Serikali za Mitaa vuguvugu na joto la siasa linapanda. Kuna suala la wabunge 19 walikuwa CHADEMA na ambao suala lao liko mahakamani. Hawa wabunge...
1 Reactions
37 Replies
1K Views
Wakuu salama? Kulikuwa tetesi toka pande mbalimbali kuwa Rais Mstaafu Jakaya Kikwete atagombea nafasi hii ya Uenyekiti wa Kamisheni ya Ummoja wa Afrika Mashariki, na kulikuwa na kama ka msuguano...
1 Reactions
22 Replies
999 Views
My Take Chadema wataumia sana Kwa hili. In fact hata Mzumbe wanatakiwa Waite mojawapo ya majengo Yao Jina la Rais Samia kama mwana Alumnai wa Mzumbe. Ni mbumbumbu tuu ndio anaweza kuhoji mchango...
9 Reactions
76 Replies
3K Views
Kiukweli Boniface Mwabukusi amejulikana juzikati tu wakati wa mchakato wa Bandari. Mwabukusi amewahi kugombea Ubunge huko kwa akina Prof Mark kupitia NCCR Mageuzi lakini hakunaga anayejua. Ila...
4 Reactions
8 Replies
848 Views
Ni ajabu sana nchi yetu inatafunwa kwelikweli..ni mwendo wa Mabilioni kwa Matrilioni, ripoti za CAG zilizopita hatujasikia popote wale waliokutwa na hati chafu au upotevu mkubwa wa fedha...
1 Reactions
2 Replies
231 Views
Kusema ukweli sitegemei Lissu atoe kauli alizozitoa kuwa CHADEMA siyo mama yake, ni kweli wote tunafahamu hivyo lakini angalia historia yako kwenye upinzani, na hadi ulipopigwa risasi. Nadhani...
2 Reactions
23 Replies
998 Views
BBC Wamekausha kana kwamba hakuna kitu linaendelea wakati Uingereza imekumbwa na maandamano makubwa ya kibaguzi ambayo yameambatana na uharibifu wa Mali. Waziri wao Mkuu amekuwa akijiknyaga...
4 Reactions
26 Replies
2K Views
Mbowe na genge lake wanamtumia Lissu kama ndoano ya kuvutia pesa CCM Kwa hali ilivyo, Mwenyekiti wa CHADEMA Mhe Freeman Mbowe amekuwa akitumia gia ya kuwatisha Viongozi wa CCM kuwa endapo...
6 Reactions
36 Replies
1K Views
Kama watanzania tunahitaji Rais , kuacha haya makanjanja na matapeli ya kina Nape, January, Mwigulu na wahuni wengine, ikiwa sio Majaliwa basi Doto Bitteko anafaa sana kuwa RAIS wa JMT miaka...
10 Reactions
84 Replies
5K Views
09 August 2024 UK High Commissioner David Concar reflects on his time in Tanzania https://m.youtube.com/watch?v=dY_7h6zrCf0 As his tour of service in Tanzania comes to an end, UK High...
0 Reactions
0 Replies
247 Views
Huko nchini Kenya, uteuzi wa mawaziri unachukua mchakato mrefu, Hadi Waziri huyo aapishwe. Hatua anazopitia Waziri huyo baada ya kupendekezwa na Rais kuwa Waziri ni jina lake kupelekwa Bungeni...
3 Reactions
12 Replies
591 Views
Naona Mfumo wa chadema una shida kubwa kubeba watu smart Unahitaji marekebisho Tusibaki tu kulaumu wanachama Kwanini watu wengi smart inakuwa ngumu kukaa chadema Naona Mfumo wa chadema una...
4 Reactions
16 Replies
529 Views
Nimemsikia Lissu akinukuu maneno ya Hayati Mwalimu Nyerere aliposema kuwa CCM siyo Mama yake wakati wowote anaweza kuondoka vile vile Lissu naye kasema kuwa CHADEMA SIYO mama yake. Maneno haya...
1 Reactions
7 Replies
537 Views
Ili kuepusha migomo kujirudia inahitajika elimu kubwa hapo kariakoo, taarifa zifuatazo zitasaidia kutengeneza maudhui ya kozi husika, 1. Majina kamili (kama yanavyoonekana kwenye NIDA), 2.TIN...
0 Reactions
2 Replies
181 Views
Back
Top Bottom