Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!
Nashauri Mama awe makini sana. Kinana ana watu wake wenye uchungu na kufikiria wenyewe ndiyo wenye chama. Watu hao ni 1. Makamba 2. Nauye 3. Mwigulu 4. Ridhiwani Na wanataka kutafuta njia ya...
8 Reactions
32 Replies
2K Views
Nipo hapa Victoria Petrol station kwa mzee Matemba nikizungumza na mmoja wa wafanyakazi wa Ujenzi wa barabara ya Mwendokasi Ananiambia Wao ni tofauti na wale waliopo Lugalo jeshini kuelekea...
8 Reactions
31 Replies
1K Views
Nimeona katika mitandao, SSH atakuwa mkoa wa Morogoro, ungependa uongozi wa mkoa huo utoe mrejesho gani kuhusu utendaji wa serikali? Mimi naona apewe mrejesho kuhusu mashamba pori yaliyorudishwa...
1 Reactions
7 Replies
308 Views
Chama cha Mapindizi CCM kimeridhia kwa kauli moja kuwasamehe Nape, January Makamba na Ngeleje hata hivyo wamepewa onyo kali wasirudie tena kosa hilo. Hata hivyo kimeagiza kwa kauli moja kuhojiwa...
11 Reactions
540 Replies
55K Views
Kitendo cha Kinana kupuuzwa maneno yake ya kufanya kazi kwa kuwawajabisha hadharani watumishi wa umma ni dhahiri Sasa siasa za Kinana hazina mvuto tena aachie damu changa. Ajiuzulu ndani ya CCM...
3 Reactions
17 Replies
1K Views
Dkt. Mwigulu wewe unatakiwa kucheza vizuri tu na watu wako ambao wanasemwa semwa kuwania ubunge jimboni Iramba, usijaribu kumpuuza Prof. Kitila Mkumbo na Gwajima pia. Wapo kadhaa na wengine...
3 Reactions
21 Replies
888 Views
Ni kweli kwamba katika uongozi wa CCM, vijana wamekuwa wachache ikilinganishwa na wazee. Hata hivyo, uchaguzi wa makamu mwenyekiti mpya wa CCM kijana unaweza kuwa na athari chanya katika...
4 Reactions
12 Replies
787 Views
Shalom wajumbe wa JF. Mara tu baada ya kuingia madarakani 2015, Rais John Pombe Magufuli aliunda Kamati Maalum (ukipenda ita tume) ya kuchunguza mali za CCM nchi nzima. Kamati/Tume hii iliongozwa...
2 Reactions
19 Replies
1K Views
Niimefurahi kujiuzulu Kinana nafasi yake ndani ya chama ili kutunza heshima yake. Kwa nini nimefurahi kwa sababu ni mtu namfahamu tangu tuko vijana shule. Ni mtu mwema na rafiki kwa kila mtu na...
3 Reactions
10 Replies
1K Views
Zitto Kabwe amemtaka waziri Masauni atembelee vijiji vya Kidegye, Heru Ushingo na Katanga wilayani Kasulu akashuhudie madhila ya Utekaji Zitto Kabwe amelalamika ukurasani X Ahsante 🐼 Pia soma -...
1 Reactions
7 Replies
492 Views
Mhe. January Makamba na rafiki yake mkubwa wa siku nyingi Mhe Nape Moses Nauye huenda wakatimkia CHADEMA endapo watahakikishiwa nafasi ya January kugombea Urais 2025. Mhe. January Makamba anaona...
27 Reactions
163 Replies
8K Views
Serikali imeshindwa kuuendesha mradi wa mabasi ya haraka dar es salaam kwa ufanisi. Kwanini wasipewe watu mwenye uzoevu wa usafirishaji wa abiria wauendeshe? Ili mradi huu uende sawa lazima...
10 Reactions
90 Replies
2K Views
Ridhiwani ana uwezo gani wa kuhakikisha vijana wanapata ajira? Yeye ndio mtunga sera za nchi? ndio mpanga mipango ya hii nchi? 1. Ajira za Vijana ziko kwenye yale ma V8 ya anasa. 2. Ajira za...
16 Reactions
32 Replies
1K Views
Salaam, shalom!! Mbunge huyu amedai katika mkutano wa hadhara Jimbo la Nyamagana kuwa, ni maelekezo ya Serikali kuwa mama wajawazito na watoto chini ya umri wa miaka 5 kutibiwa Bure kabisa...
0 Reactions
29 Replies
994 Views
Mabere Nyaucho Marando ndiye Mwanachama mwenye kadi namba moja ya NCCR Mageuzi,alizaliwa takribani miaka Sabini iliyopita huko Mkoani Mara Nguli huyu wa sheria ni miongoni mwa waasisi wa siasa za...
6 Reactions
66 Replies
9K Views
Kuongozwa na Wanasayansi kuna raha zake Maneno machache Kazi Nyingi Hapa Kazi Tu Nawatakia Heri ya New Year 😀
4 Reactions
25 Replies
3K Views
Katika historia ya dunia na uchipukaji wa dini duniani unaonesha kwamba mara nyingi dini huenda sambamba pamoja na siasa na tawala za nchi. Hali hii ilikuwa na nguvu katika ujenzi wa mwanzo wa...
4 Reactions
37 Replies
2K Views
Hatukutishi ila ni angalizo tu. Baada ya Samia atakuja Rais mkristo toka bara,2030-2040. Baada ya hapo 2040-2050 ni kijana wetu Ridhwani Kikwete Pengine unaweza kuona ni mbali sana la hasha, ni...
4 Reactions
9 Replies
664 Views
Hili ni andiko la onyo kwa ninyi nyote ambao pengine mna washwa washwa kutaka kumkwamisha Makonda. Ndugu zangu wawashwa-washwa, msichokifahamu ndugu Paul Makonda ni Mradi wa boss wenu. Pamoja na...
22 Reactions
63 Replies
7K Views
Yaani Bilioni 300 ambazo ni sawa na pesa ya kujenga km 250 za Lami tunaenda kuwalipa Matapeli wa Indiana Resources ambao Wanashulikiana na Mafisadi wa Serikalini. Daa inauma Sana aisee ---...
8 Reactions
147 Replies
8K Views
Back
Top Bottom