Tukija kwenye mada, si mara moja wala mara 2 nikiwa na watu wa kuaminika na wenye heshima kubwa wanao simamia mali asili zetuhususa ni hifadhi, wakanijuza kuwa tunahujumiwa.
Ndiyo, tunahujumiwa...
Mjumbe wa Almashauri kuu na kamati kuu ya CCM captain Abdulharaman kianana amejiuzulu nafasi zota alizonazo ndani ya CCM kwa madai ya kuachana na siasa uchwara.
Kinana amekuwa mjumbe wa NEC kwa...
Ifahamike, huyo Makamu si Hayati baba wa Taifa kwamba eti aendelee kubembelezwa kama mtoto. Yeye si lolote kwamba Chama na Taifa ki/litapungukiwa na kitu pasipo yeye.
Nafuu na jambo jema ni kuwa...
Anaandika Malisa GJ
Nimeisikiliza clip inayodaiwa kuwa ni ya Nape na mzee Kinana wakizungumza kwenye simu. Nimeirudia zaidi ya mara 3. Bahati nzuri wote wawili nawajua in personal. Nape namfahamu...
Kliniki za ardhi, walau kwa kiasi fulani, hazitarajiwi kuwa suala la kudumu. Zitumike kutambua chanzo cha tatizo, na wizara iwasilishe andiko la kitaalamu kuhusu hasa kilichotufikisha hapo, na...
Miaka ya nyuma kulikuwa na wanaccm ambao walikuwa na ushawishi mkubwa ndani na nje ya ccm. Walikuwa ni jeshi la mtu mmoja.
Walikuwa wakitishia kuhamia upinzani ccm wanatetemeka. Mfano Lowasa...
Hii ni kauli rasmi ya Chama cha Mapinduzi kinachoongoza serikali toka kwa msemaji wake Paulo Makonda kwamba ndani ya CCM kuna shughuli za mauaji ya SUMU!
Rejea nyuma Kwamba Mzee Mangula...
Video hii inamuonyesha Rais Samia enzi hizo akiwa makamu wa rais akielezea namna hayati rais Magufuli alivyowanyoosha kwenye serikali ya awamu ya tano huku wakilia mpaka wakanyooka kiasi cha kuwa...
Shuhuda namba moja wa tukio la kupigwa risasi Tundu Lissu ni dereva wake, lakini cha ajabu mpigwa risasi Lissu hataki dereva wake ahojiwe chochote kuhusu hilo tukio!
Kwenye uchaguzi mkuu Lissu...
Ikifika 2025 kwenye uchaguzi mkuu nitaongoza makundi ya watu kwenda kumshawishi kijana machachari asiyependa ubabaishaji aliyeachiwa huru leo kutokana na kesi za uonevu Lengai Ole Sabaya agombee...
Hakuishinda kesi ya ugaidi alitolewa kwa mbeleko ya Samia, siku akiingia rais mwingine atakamatwa.
Kwa hiyo ni bora alipokutwa na kesi ya kujibu angekomaa hadi ashinde kesi badala ya kukubali...
Rais Samia leo wakati anazindua ujazwaji wa maji kwenye bwawa la kufua umeme la Mwl Nyerere amesema wakati wa awamu ya tano iliyokuwa inaongozwa na Hayati Magufuli pamoja na kwamba waliamua liwalo...
Kuna watu walitumia kodi za watanzania kusoma lakini bado ni wajinga na malofa ya kutupwa yasiyoweza kutumia akili zao hata kidogo.
Yapo mengine Ubelgiji na mengine Ufipa ambayo watoto wao ni...
Baada ya Chadema kufanya mikutano hafifu sana na iliyokosa watu kanda ya ziwa (Mwanza na Mara), Tundu Lissu akapata meseji kichwani mwake kwamba nguvu ya Hayati Magufuli siyo ya kawaida kwenye...
Prof. Lipumba wakati anajibu maswali mbalimbali ya Waandishi wa Habari amemlipua Tundu Lissu kuwa ajue kupigwa risasi siyo sifa ya kukufanya uchaguliwe kuwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa...
Tangu kuzinduliwa ujazwaji maji wa bwawa kubwa Afrika la kufua umeme na Rais Samia, mvua zimeendelea kunyesha kwa wingi sana na bwawa hilo limeendelea kujaa kwa kasi kinyume na utabiri wa mafisadi...
Mirerani. Mbunge wa Simanjiro Mkoani Manyara, Christopher Ole Sendeka amemtaka Mwenyekiti wa Chadema Kanda ya Kaskazini, Godbless Lema kutokuhadaa wafanyabiasha wa madini ya tanzanite wa kutwa...
Mbunge wa Arusha mjini Mh Mrisho Gambo amemshukia kama mwewe Godbless Lema kwa kitendo chake cha kutukana bodaboda, mamalishe na machinga wote kwa kumuita ni zumbukuku asiyejua kipi cha kuongea na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.