Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!
Habari! Kumekuwa na utamaduni wa kuficha Siri kuhusu maradhi ya viongozi wetu pale wanapougua na kulazwa au kutoonekana wazi kwa umma. Jambo hili limekuwa linazua taharuki, na kuibua maswali...
1 Reactions
18 Replies
977 Views
Binafsi sioni sababu ya Chadema kusitasita kumtangaza Mgombea Urais wa JMT 2025 kwa ticket yao CCM tayari inajulikana atasimama Mpendwa Wetu Mh Rais Samia ACT Wazalendo wameshatangaza atagombea...
3 Reactions
45 Replies
1K Views
BALOZI NCHIMBI ASIMAMISHWA NDANDA, AMPIGIA SIMU WAZIRI TAMISEMI, NAE APOKEA MAELEKEZO UJENZI WA KITUO CHA AFYA ▶️ Asisitiza wananchi kuendelea kulinda amani, utulivu na mshikamano nchini ▶️ Atoa...
1 Reactions
21 Replies
686 Views
Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Balozi Dk Emmanuel John Nchimbi, amepokelewa na maelfu ya Wanachama wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) na Wananchi wa Mtwara mjini, wakati alipowasili akitokea...
1 Reactions
6 Replies
507 Views
Kufahamika, kujulikana, kupendwa, kuaminika na kukubalika kwake nchini, kuanzia kwa watoto wa chekechea, msingi, sekondari hadi kwenye vyuo vya elimu ya juu, makundi mbalimbali ya wanainchi...
4 Reactions
30 Replies
652 Views
Kutenda haki kwa watawala ni mada muhimu katika Quran, ambayo inasisitiza uadilifu, usawa, na kutokufanya dhuluma kwa watawala. Aya nyingi katika Quran zinatoa mwongozo kwa viongozi kuhusu jinsi...
0 Reactions
3 Replies
278 Views
Mimi ni muumini wa Demokrasia na soko huru la kisiasa ili kuleta maendeleo na ustawi wa jamii. Hata hivyo nimetafakari kwa kina bila kupata majibu ya moja kwa moja kwa nini viongozi wengi...
4 Reactions
17 Replies
519 Views
Katibu Mkuu wa CCM Taifa Balozi Dkt Emmanuel Nchimbi akiongozana na Wajumbe wa Sekretarieti amezuru katika kaburi la hayati Benjamin Mkapa aliyekuwa Rais wa Awamu ya Tatu . "Naomba nikiri kuwa...
0 Reactions
0 Replies
266 Views
Kwa hali ninayo yaona Tanzania!!
3 Reactions
2 Replies
199 Views
Serikali Kiboko ya Wachawi anahamisha masanduku yasiyojulikani kuna nini ndani yake yanapitishwa porini na waumini wake yeye amekaa mahali hapo porini kuzipokea. Kuna nini? Kwa nini mtu huyu bado...
4 Reactions
11 Replies
1K Views
Namuunga mkono mama Samia katika kufungua uchumi na kuingiza mitaji ya kibiashara pzmoja na kuruhusu uwekezaji kutoka nje na ndani ya nchi. Lakini mimi si chawa, na kila hatua mbele lazama iwe na...
2 Reactions
18 Replies
635 Views
Serikali kitanzini na Mwandishi Wetu Tanzania daima VIGOGO kadhaa waliyatumia maadhimisho ya miaka minane tangu kufariki kwa Baba wa Taifa, hayati Mwalimu Julius Nyerere jana, kuinyooshea kidole...
2 Reactions
154 Replies
22K Views
Shalom wana Jamii Forum. Sijui ni kuzeeka vibaya au kuchanganyikiwa. Kila nikirejesha kumbukumbu zangu nyuma, sioni au kuona kama kuna mahali katika hotuba za Rais Samia Suluhu Hassan aliwahi...
7 Reactions
13 Replies
619 Views
Kimsingi kila mtu hufanya makosa hakuna binadamu mkamilifu. Lakini unapofanya Makosa ambayo wenzio tayari wameyafanya na ungeweza kuyaepuka hapo ndipo tunasema awamu hii imekosa weredi, zaidi sana...
41 Reactions
158 Replies
13K Views
Nipo Uwanja wa ndege tokea saa mbili nikisubiri kuona hayo Mapokezi ya Lissu, lakini hadi sasa uwanja ni mweupe. Wapo Wanachama wa Chadema wachache pia na bendera zao. Hii inatuma meseji gani kwa...
2 Reactions
71 Replies
4K Views
Date::6/2/2010 Mwandishi Maalumu RAIS Jakaya Kikwete, ameagiza hatua za haraka zichukuliwe, kujenga barabara zinazopita juu katika Jiji la Dar es Salaam, ili kupunguza misongamano mikubwa ya...
3 Reactions
265 Replies
28K Views
Makamu Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) Tundu Lissu amesema nia yake ya kugombea nafasi ya urais kwenye uchaguzi mkuu wa mwaka 2025 iko palepale. Tundu Lissu ameyasema...
25 Reactions
226 Replies
9K Views
Nimetembea Tanzania sehemu nyingi kabla ya Magu (RIP) kuwa Rais kulikuwa hakuna barabara za lami, leo hii kila mahali hadi Mitaani lami, lakini wanasema ni Awamu ya 4 ilijenga, kwa nini...
27 Reactions
111 Replies
7K Views
Mheshimiwa Makonda nakusalimu kwa Jina la Jamuhuri, Mkuu nimepita katika mitandao ya kijamii nimeona jinsi ambavyo watanzania wanaupendo mkubwa juu yako. Kweli Mungu amekubariki sana katika...
13 Reactions
59 Replies
2K Views
Mambo mengi yanayoendelea kwenye Serikali ya Awamu ya sita mengi yanashabihiana na yaliyokuwa yanafanyika kwenye Serikali ya Awamu ya Nne. Mfano uteuzi katika nafasi mbalimbali sura nyingi ni zile...
11 Reactions
63 Replies
3K Views
Back
Top Bottom