Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

KATIBA Mpya

Mchakato wa utafutaji wa Katiba Mpya ya Tanzania (2010-2015) | Inahusisha Hatua zote, kuanzia Muswada, Rasimu hadi Katiba yenyewe
Threads
7.6K
Posts
193.8K
Threads
7.6K
Posts
193.8K

JF Prefixes:

Umoja wa Walimu Wasio na Ajira Tanzania (NETO) umetangaza kuwa uko tayari kukutana na Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, George Simbachawene, kwa ajili...
7 Reactions
46 Replies
3K Views
Je, Kikwete ametupa dongo kwenye familia ya Magufuli na Mkapa? Akitetea hoja ya Wajumbe wa Mkutano Mkuu wa CCM kuhusu kumpitisha Rais Samia awe Mgombea 2025, Rais mustaafu Kikwete amenukuliwa...
18 Reactions
142 Replies
8K Views
Ziara ya Rais Samia Lushoto - Tanga Februari 24, 2025 https://www.youtube.com/live/LNpz7Pc79wE?si=yn9bJoLvJnntvhA- "Nimekuja kuangalia matumizi ya fedha mbalimbai zinazoletwa kuondoa shida za...
0 Reactions
4 Replies
162 Views
Habarini, Ni wazi kabisa kwa wenye akili kujua vyama vya upinzani vilivyopo ni matawi ya ccm na viongozi wake ni mamluki wa ccm wanaojinufaisha na familia zao kwa kujificha kwenye upinzani kama...
0 Reactions
13 Replies
372 Views
Mwenyekiti wa Chadema Taifa, Tundu Lissu akiwa Kibamba akizungumzia urataibu wa kujiunga na Chama amesema kama Chama Kupata taarifa na matukio yanayojiri kuelekea uchaguzi mkuu kwa kila mkoa...
29 Reactions
296 Replies
7K Views
Home Business News "Japa" Canada faces 8.1 million job openings until 2033, over 100 occupations at risk of shortages by Chigozirim Enyinnia 1 day ago Canada’s labour market is...
0 Reactions
1 Replies
157 Views
Najua kuna watu wengi pamoja na mimi binafsi tunamshangaa huyu Mama kubadilika sana kuanzia 2021. Sababu moja wapo inawezekana ikawa watu wake wa protokali ambao wanajiona sasa wenyewe ndiyo wana...
10 Reactions
27 Replies
1K Views
Naibu Waziri, Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI), Mhe. Zainab Katimba, amezitaka Mamlaka za Serikali za Mitaa nchini kuendelea kubuni miradi ya maendeleo...
0 Reactions
0 Replies
94 Views
Maridhiano ya Mbowe na Ikulu yana jambo ambalo wengi ulibeza Ila yamesaidia sana CCM kutawala kwa ujanja tena bila kufuata sheria na taratibu kadhaa Kama Katiba inavyotamka! Na kuna swali “Je...
2 Reactions
14 Replies
730 Views
  • Redirect
Wakuu, Mwenyekiti wetu wa NETO Joseph Paulo Kaheza anadaiwa kukamatwa na police mkoani Geita. Kupitia mtandao wa X taarifa zinasema kuwa kwa mjomba wa Joseph alifika katika kituo hicho cha...
0 Reactions
Replies
Views
Tangu Dr. NDUGULILE afariki ni miezi sasa, kigamboni haina mbunge wala hakuna uchaguzi mdogo, tatizo nini? Soma Pia: Dkt. Faustine Ndugulile, aliyekuwa Mbunge wa Kigamboni afariki Dunia Tume...
4 Reactions
46 Replies
756 Views
Katika furaha yake ya Ushindi wa Upinzani huko Ujerumani Trump anesema ni Wakati Sasa Mikataba ya uwekezaji ikawa Wazi Kwa Wananchi kama yeye anavyotaka Wananchi wa Ukraine wawe wanaelewa kila...
1 Reactions
3 Replies
125 Views
Nini kimepelekea upinzani kutoaminika kabisa nchini, kukosa hamasa na kuonekana kana kwamba ni watu wa mipango ya kuomba omba kuchangiwa pesa za matumizi yao binafsi tu na sio kutumikia wananchi...
3 Reactions
43 Replies
584 Views
Sabato Njema! Ukifuatilia kwa umakini utagundua machawa wengi na Waasisi wa uchawa ni kizazi cha Miaka 70's na 80's. Sijajua nini kilitokea Miaka hiyo kuanzia ulaji wa chakula, mitindo ya...
5 Reactions
37 Replies
573 Views
Afrika ya mashariki inaundwa na nchi zifuatazo:; Kenya Tanzania Uganda Burundi Sudan Kusini Somalia Kati ya nchi hizi za Afrika ya mashariki ipi unadhani inaongozwa kwa kufuata Sheria na Katiba...
1 Reactions
7 Replies
171 Views
👉Mbunge/Diwani amekaa madarakani miaka 15 mpaka 30 lakini suala la maji ni changamoto....Piga Chini Weka Mwingine 👉 Mbunge/Diwani amekaa miaka 15 mpaka 30 lakini Barabara za kutegemewa...
3 Reactions
26 Replies
324 Views
Mjumbe wa Kamati ya Utekelezaji Jumuiya ya Wazazi Chama Cha Mapinduzi (CCM) Wilaya ya Mjini, Mhandisi James Jumbe Wiswa, amechangia mifuko 100 ya saruji kwa ajili ya ujenzi wa uzio katika Kituo...
0 Reactions
5 Replies
153 Views
Ni Video ikimuonyesha Mwenyekiti wa Umoja wa Vijana wa Chama cha Mapinduzi CCM Mkoa wa Geita Manjale Magambo akikabidhiwa Fimbo ya ushindi pamoja na Kuku aina ya Jogoo na wazee maarufu Baada ya...
0 Reactions
0 Replies
103 Views
ADO SHAIBU: RAIS SAMIA AJITATHIMINI Maazimio ya Halmashauri Kuu Halmashauri Kuu ya Chama cha ACT Wazalendo imekutana kwenye kikao chake cha kawaida jana tarehe 23 Februari 2025 katika Ukumbi wa...
0 Reactions
5 Replies
336 Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…