Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!
Mabadiliko yanayotokea sasa yanaanza kusuka upya mfumo wa utumishi wa umma. Tunategemea mapendekezo ya kiongozi aliyestaafu yanakwenda kuweka mwanzo mpya kwa mfumo wa utumishi. Wapo wenye dola...
0 Reactions
0 Replies
365 Views
Yeye mwenyewe anatuambia kuwa POSTA MASTA aliyekuwapo anafanya kazi nzuri sana. Macris Mbodo ameifanya Tanzania Posts Corporation kuwa mbele kuliko mashirika ya Posta yaliyo mengi katika bara la...
2 Reactions
11 Replies
907 Views
Mkutano wa Msemaji Mkuu wa Serikali na Waandishi wa Habari Ijumaa, Aprili 12, 2024 3:30 Asubuhi Ukumbi wa TTCL, Jengo la TTCL, Ghorofa ya 12, Barabara ya Samora, Dar es Salaam...
0 Reactions
15 Replies
2K Views
Nipo TAYARI kukosolewa kivyovyote Mimi sifi Leo niliwahi kuwa kiranja wa nidhamu, nikawa Waziri wa Habari na Nahusiano pale Aza boy, nikawa mkurugenzi wa GAZETI pale pale, nikawa Makamu wa...
6 Reactions
27 Replies
1K Views
Haya si Maneno yangu, ni Maneno ya Dkt Slaa MWANASIASA mkongwe na Katibu Mkuu wa zamani wa Chadema, Dk. Wilbroad Slaa amesema mabadiliko ya Baraza la Mawaziri yanayofanywa na Rais Samia Suluhu...
20 Reactions
51 Replies
2K Views
Kwenye masuala ya uongozi kuna kanuni moja muhimu sana isemayo ' usitake kumfunika boss wako'. Kwa kingereza wanasema 'never outshine your master', anayekuapisha daima ni mkubwa wako wa kazi hata...
11 Reactions
106 Replies
5K Views
Halina ubishi teuzi zote za akina Nape Nnauye, Makongoro Nyerere, Januari Makamba, Ridhiwani Kikwette, Halima Bulembo, Maharage Chande, Vita Kawawa na wengineo wengi zilikuwa ni kulipa fadhila kwa...
9 Reactions
23 Replies
2K Views
Aliyekuwa Mkuu wa Mkoa wa Simiyu Mhe David Kafulila kupitia Ukurasa wake wa Instagram amewafunda wanaolalamika Kuhusu ukuaji wa deni la Taifa. Kafulila amesisitiza kama Taifa lazima...
27 Reactions
268 Replies
12K Views
Ndugu zangu Watanzania penye ukweli lazima tuseme hii Nchi ni yetu sote si ya watu fulani tu na siyo kwamba wengine wamekuwa Watanzania by default! Nimeona nitoe mtazamo wangu ambao ninao kuhusu...
25 Reactions
79 Replies
8K Views
Alianza kuondoa wataalamu bobezi, kwenye uongozi Tanesco! Akaweka Maharage kwenye uongozi Tanesco! Akaondoa wataalamu wa fani kwenye Bodi Tanesco! Akawaweka kina Bakhressa Jr, kwenye Bodi mpya ya...
3 Reactions
31 Replies
2K Views
Watanzania sijui ni lini mtajifunza na kuelewa hizi sanaa za CCM. Acheni kushangilia Nape na wenzake kutemwa uwaziri kwani baada ya muda wanaweza tena kurudishwa kwenye Baraza la Mawaziri. Mimi...
5 Reactions
25 Replies
1K Views
Tunauliza haya kwa uzuri tu, wala hatuna wivu wowote ule na kiongozi Mjasiriamali, na kwa vile Maharage ni Mtumishi wa Umma hatuamini kama ni makosa kujua taarifa zake. Mimi mwenyewe ni...
35 Reactions
137 Replies
13K Views
Ukweli lazima usemwe, kuna tatizo gani kutambua juhudi za hayati Magufuli kwenye mradi huu wa umeme (JNHP), hasa kwenye hotuba zenu? Wazo lilikuwa la Mwalimu Nyerere akashindwa, awamu zilizofuata...
88 Reactions
378 Replies
21K Views
Mbunge wa Mtama,Nape Nnauye amezungumzia kwa mara ya kwanza tukio lake la kutishiwa bastola miaka miwili iliyopita. Katika maelezo yake, Nape amesema wakati anatishiwa kwa bastola miaka miwili...
7 Reactions
54 Replies
5K Views
Kijana inaonekana kamshika bi mkubwa haswa, kila anachoambiwa na huyu kijana anakubaliana nacho, hana muda wa kutafakari. Katoka TANESCO kachemka akiacha safu isiyo na matumaini mpaka kupelekea...
30 Reactions
66 Replies
5K Views
Kauli yako, ya waziri mkuu na ya waziri January Makamba inaonyesha kuna udanganyifu mkubwa sana kwa mamlaka unaoendelea nchini. Kauli zenu ndio zinafanya Watanzania watilie shaka weledi wenu kama...
33 Reactions
220 Replies
14K Views
Mbunge wa Viti Maalum Mkoa wa Songwe, Mhe. Juliana Daniel Shonza amefanya Ziara ya Kata kwa Kata huku akipokelewa kwa shangwe na wananchi wa Kata ya Harungu iliyopo Wilaya ya Mbozi Mkoani Songwe...
3 Reactions
16 Replies
434 Views
Alipotangazwa kuwa ni Waziri, nilipatwa na kizunguzungu. Nikameza hata tembe kadhaa za vidonge kwakuwa sikuwa vizuri. Nilipatwa na hali hiyo kwakuwa Nape namjua. Namjua kuwa hana uwezo wowote wa...
12 Reactions
73 Replies
10K Views
Mbio za sakafuni huishia ukingoni. Kiko wapi sasa? Magufuli alikunyofoa si kwa bahati mbaya Bali alikuona wewe hufai. Ukaishia kumtukana na kumkejeli. Leo Kiko wapi? Mwenyezi mungu kaamua ugomvi...
19 Reactions
54 Replies
2K Views
Imetimia Miaka mitano tangu kiongozi wa Bavicha Njombe, George Sanga na Wenzake kukamatwa kwa tuhuma za uongo za mauaji, walikamatwa 2020. Hata hivyo Kesi hiyo imeanza kusikilizwa 2024! tena...
9 Reactions
16 Replies
1K Views
Back
Top Bottom