Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!
Vijana wa upinzani Tanzania hasa kupitia vyama vikubwa vya chadema na act wazalendo ,wamejikita twita! Wanadhani kwa mabishano na kelele za twita wanaweza kuleta mageuzi yoyote katika nchi hii ...
3 Reactions
31 Replies
881 Views
Jeshi la Polisi Kanda Maalum ya Dar es salaam limesema limefuatilia kwa kina taarifa zilizosambazwa leo July 22, 2024 kwenye mitandao ya kijamii na kuzua taharuki na hofu kwa Wananchi eneo la...
0 Reactions
5 Replies
568 Views
January makamba ni mmoja ya kati ya mbunge aliyekwiba kura uchaguzi wa 2015 /20 . Hivyo january kwa wizi huo saa hii alitakiwa awe amejiuzulu na tume ya taifa iwe imetengua ubunge wake, Takukuru...
8 Reactions
37 Replies
1K Views
Januari na Nape kuondolewa sio faraja kabisa kuelekea Uchaguzi, Hivyo tutafakari ya mwaka 2015 walio yafanya tunaweza kujiuliza ni kweli wameondolewa au watanzania wamefanyiwa kiini macho, Hao...
5 Reactions
11 Replies
1K Views
Jina la Madaraka Nyerere(pichani) sio geni miongoni mwa watanzania. Ukiachilia mbali ukweli kwamba yeye ni mtoto wa sita wa Hayati Baba wa Taifa, Mwalimu Julius Kambarage Nyerere (kitu ambacho...
7 Reactions
69 Replies
19K Views
Nashangaa tunajiulize kwanini hasa Tanzania rushwa haikomi Utafit mdogo niliofanya ni huu 1. POLISI TANZANIA Hapa wanaongoza kwa kutengeneza mazingira ya Rushwa. Ukiwa na kesi inayohusisha madai...
4 Reactions
28 Replies
3K Views
Mwezi wa 12 nilitoka huku nikaenda Tanzania na uzuri nineamua tu kwenda vijijini 1.kijiji Bugandika 2.Kijiji Musibuka 3.Kishanda 4.Kijiji Kyamulaile 5.Kijiji Katoma 6.Kashasha 7.Kitendagulo...
17 Reactions
123 Replies
10K Views
Waliosoma course za uchumi na sheria ndo huwa wazuri kwenye siasa mana siasa inataka mchumi au mwana sheria. Tuwe wakweli, hivi engineer, mwalimu, mhasibu etc unaenda kuzungumza nini kwenye siasa...
6 Reactions
32 Replies
924 Views
Wakuu habari zenu, Naanza kwa kutoa shukran kwa mwenyezi Mungu ambaye ametufikisha siku ya leo, Baada ya kuwepo habari za chini chini juu ya VATICAN- YA WARUMI na UTAWALA WA TANZANIA, kwa miaka...
5 Reactions
181 Replies
25K Views
Wanabodi, Hii tumbua tumbua majipu ya Rais John Pombe Magufuli, japo inafanyika kwa nia njema, swali la kujiuliza ni Jee mtangulizi wake, Jakaya Mrisho Kikwete anajisikiaje pale watu wake...
9 Reactions
190 Replies
21K Views
Sisi wengine tulikuwepo wakati Rais Mkapa (1995-2005)anatukanwa kila siku kuwa "anauza nchi Kwa makaburu".....ilifikia wakati hadi nyimbo zilitungwa zikimuimba naukumbuka wimbo mmoja .."Kama sio...
68 Reactions
221 Replies
16K Views
Wanabodi, Hili ni swali, Jee, huu Utumbuaji Majipu wa Rais Dr. John Pombe Magufuli: Which is which?! A: Is He Doing The Right Thing, at The Right Time, And Doing It Right? B: Is He Doing , The...
4 Reactions
81 Replies
11K Views
Mawaziri, Wakuu wa Mikoa, Wakuu wa Wilaya, na Wateule wote wa Eais, ni wasaidizi wake Rais. Hao wateule wa Rais hawakuchaguliwa na wananchi kwenye hizo nafasi zao bali Rais amewateua ili...
17 Reactions
38 Replies
2K Views
Kwanza naanza kwa kutoa salam za dhati na uchovu wa safari mheshimiwa Rais hapo katavi ulipo ngoja niende moja kwa moja kwenye mada chokozi Rais yupo Ziarani Mkoa Katavi, kaambatana na manaibu...
1 Reactions
8 Replies
10K Views
Askofu Dr Bagonza amesema Kati ya Wanasheria waliojadili Mkataba wa Bandari ni wachache sana ndio wameeleweka Tatizo Wanasheria wetu Ujanja wao unaishia Kisutu na Wachumi wetu Ujanja wao unaishia...
31 Reactions
137 Replies
14K Views
Kama unaamini kuwa CHADMA ni Chama cha Siasa basi karibu umsikilize mchungaji Msigwa atakavyokuprove wrong. Mchungaji Msigwa anaijua CHADEMA nje ndani na ametuomba wana CCM tuamini anayosema kwa...
5 Reactions
85 Replies
4K Views
Mimi kwa ushauri wangu Ccm kama Chama kikubwa kinapaswa kutoa adhabu kali sana dhidi ya kiongozi aliyetenguliwa Uwaziri kwani kauli kama hizo hazifai katika jamii yetu Ili iwe kama fundisho kwa...
3 Reactions
17 Replies
599 Views
Rais Samia Suluhu Hassan, Rais na kipenzi cha waTanzania uongozini. Mwenyezi Mungu azidi kukujaalia afya njema, bidii, ubunifu na nguvu tele katika kuongoza nchi yetu Tanzania.. Hamasa na...
5 Reactions
122 Replies
3K Views
* Mama akikuteua acha kauli na maneno ya dhihaka dhidi ya watanzania * Uchaguzi uliisha kwa kuacha makovu na majeraha kwa baadhi ya watanzania Tutashinda kwa mkono au boksi haifai Vijana...
0 Reactions
3 Replies
285 Views
Waziri wa Mambo ya Nje ni bosi wa Mabolizi wote Duniani. Bolozi ni vituo vya kazi ambavyo Waziri anavisimamia. Uteuzi wa DGIS umeenda sambamba na kuondoa mabosi wake wa zamani ofisini yaani...
0 Reactions
1 Replies
554 Views
Back
Top Bottom