Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!
Suala la watu kukamatwa na Kutoeka (a.k.a kukamatwa na wasijulikana) limekuwa la kawaida miongoni mwetu. Kwa yanayoendelea nchini huwezi kujua kama mtu kakamatwa na polisi au majambazi coz style...
1 Reactions
6 Replies
469 Views
Wajumbe, naomba niwathibishie kwamba maneno aliyoyasema Waziri Nape Nnauye kuhusu ushindi katika uchaguzi siyo mzahaa. Hatanii, Nape ni jambazi la kura. Katika uchaguzi wa 2020 aliyekuwa mgombea...
9 Reactions
33 Replies
2K Views
Ujumbe wake huu hapa --- Aliyekuwa Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo CHADEMA Kanda ya Nyasa ambaye pia ni Mbunge wa zamani wa Jimbo la Iringa Mjini mchungaji Peter Msingwa amesema...
16 Reactions
84 Replies
4K Views
  • Poll Poll
Wakuu, Mwaka huu 2024 tutafanya uchaguzi wa serikali za mtaa na mwakani 2025 tutafanya uchaguzi Mkuu ambapo tutachagua Madiwani, Wabunge pamoja na Rais. Kwa kuzingatia chaguzi za nyuma mpaka...
1 Reactions
9 Replies
323 Views
1. Video ya kwanza Rais Samia akihimiza wafanyabiashara watoe kodi kwa moyo kwani kodi haziingii mifukoni mwa Viongozi. Hapa anamaanisha serikali iko vizuri katika kubana matumizi. Rais katika...
2 Reactions
6 Replies
467 Views
Mutatis mutandis: Lat. With the necessary changes in points of detail, meaning that matters or things are generally the same, but to be altered when necessary as to names, offices, and the like...
4 Reactions
12 Replies
567 Views
LEO: ccm yaendelea kufumuliwa na Mbunge Msigwa akifungua tawi la kihesa. Msigwa akiwahutubia wakazi wa kihesa maeneo ya semtema jioni ya leo akina mama wakipanga foleni kuchukua kadi...
6 Reactions
47 Replies
7K Views
USALAMA WA MTANDAO NI MUHIMU KWA TAIFA – NAIBU WAZIRI MAHUNDI Na Mwandishi Wetu, WHMTH, Dar es Salaam NAIBU Waziri wa Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari, Mhe. Mhandisi Maryprisca...
2 Reactions
6 Replies
282 Views
Mbunge wa jimbo la Iringa Mjini, Mchungaji Peter Msigwa amememtaka Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Bw Abdulrahman Kinana kutokusubiri muda wa siku 21 alizozitoa Wakili wake kumfikisha...
9 Reactions
268 Replies
23K Views
Anaandika, Robert Heriel Mtibeli MALENGO Kurahisisha maisha ya watu katika uzalishaji na shughuli zao za kila siku. Kukuza uwezo wa mtu mmoja mmoja kuchangia nguvu, maarifa, ujuzi na kipaji...
0 Reactions
1 Replies
404 Views
Mchungaji Peter Msigwa, Mbunge wa zamani wa Iringa mjini na waziri kivuli wa maliasili na utalii ambaye pia ni Mjumbe wa Kamati Kuu ya Chadema na Mwenyekiti wa chama hicho kanda ya Nyasa amesema...
8 Reactions
47 Replies
3K Views
Kamishna Mkuu wa Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) Yusuph Mwenda ametoa tahadhari kwa wafanyabishara na walipa kodi wote kwa ujumla wake kutambua kuwa hakuna ofisa yeyote wa mamlaka hiyo mwenye...
2 Reactions
18 Replies
1K Views
Waziri wa Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari, Nape Moses Nnauye (Mb) amesema lengo la Serikali kutoa ruzuku ya ujenzi wa minara ya mawasiliano vijijini ni kuwaunganisha na kuwasogeza...
1 Reactions
3 Replies
233 Views
Mkoa wa Katavi ni miongoni mwa mikoa minne mipya (Katavi, jombe, Simiyu na Geita) iliyoamuliwa kuanzishwa na serikali kwa lengo la kusogeza huduma za ki- utawala na Ki-uchumi kwa wananchi. Katavi...
0 Reactions
0 Replies
309 Views
Kwa ukubwa wa Mchungaji Msigwa alitakiwa awe kwenye msafara wa Mwenyekiti wa CCM Taifa Mpendwa Wetu Mh Rais Samia huko Sumbawanga kwa akina Lucas Choicevariable Sijajua kwanini kabakia Dar chini...
1 Reactions
30 Replies
831 Views
Wakuu Hivi karibuni kumekuwa na wimbi la viongozi kutoa kauli za kutisha, kuogofya na kutia mashaka lakini ajabu ni kwamba hawachukuliwi hatua si kwenye vyama vyao wala Serikali wanayoiwakilisha...
1 Reactions
2 Replies
221 Views
JAMHURI YA MUUNGANO WA KOREA TANZANIA DOLA BILIONI MOJA.. Waziri wa Fedha na Mipango, Dkt. Mwigulu Lameck Nchemba, ameishukuru Serikali ya Jamhuri ya Korea kwa kutenga kiasi cha dola za Marekani...
2 Reactions
7 Replies
550 Views
Kamati ya maboresho ya Soko la Simu 2000 chini ya mwenyekiti wake pamoja na wafanyabiashara na wadau wa stendi wa Simu 2000 wameongea na waandishi wa habari leo Julai 17, 2024 kuhusu yaliyojiri...
8 Reactions
45 Replies
2K Views
Amos Makalla Katibu Mwenezi wa CCM, Ambaye ni Mfadhili wa zamani wa Bendi ya FM ACADEMIA (siyo Vijana Jazz wala TOT), amebuni mbinu mpya ya kuandikwa na magazeti uchwara ili avume. Sasa hivi...
5 Reactions
37 Replies
2K Views
Rais Samia Suluhu Hassan akitoa maelekezo kuhusu mtoto mwenye ulemavu wa mguu kufanyiwa mchakato wa kupewa mguu wa bandia kwa gharama ya Ofisi ya Rais. Ametoa maelekezo hayo kwa Mkurugenzi wa...
4 Reactions
9 Replies
495 Views
Back
Top Bottom