Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!
Wamachinga wa Simu 2000 wamemtaka RC Chalamila kutumia Lugha za kistaarabu anapozungumza na Wananchi badala ya Kutukana Wamemtaka awaombe radhi kwa yale maneno aliyowaambie na iwe mwisho...
1 Reactions
5 Replies
693 Views
KINYOMI CHA LISSU,NI KITONE KWENYE NYOMI LA LOWASSA 2015. Leo 20:15pm 27/07/2020 Najaribu tu kutafakari nani atavaa viatu vya Mzee Lowassa wa 2015. Leo nimeona Mapokezi ya Lissu, na wafuasi...
1 Reactions
39 Replies
4K Views
JUST IGNORE HIM, MSIMJIBU, MPUUZE, MPOTEZEE (vijana wa mjini wanasema) What power is there in ignoring someone? 1. Ignoring someone can have a powerful impact since it sends the message that you...
1 Reactions
1 Replies
354 Views
Hapa Africa nimeshuhudia Marais wengi ila huyu nahisi anapendwa zaidi ya wengine wengi. Hakika, Sijawahi kuona Rais anagawa Love bites kwa raia wake kama hivi, "Rais Samia, People do love You...
11 Reactions
52 Replies
2K Views
CCM, kiuhalisia, kamwe haiwezi kuheshimu demokrasia wala haki za wananchi kuwachagua watu wanaotaka wawaongoze. CCM inaamini katika kupora kura au kupora maamuzi ya wananchi. Inaamini zaidi...
4 Reactions
8 Replies
918 Views
Rais Samia akizungumza na wananchi wa kata ya Laela ,Wilaya ya Sumbawanga Vijijini Rukwa mesema leo tarehe 17 Julai 2024 ikiwa siku ya mwisho ya kukamlisha kwa ziara yake ya siku tatu "Wengine...
6 Reactions
84 Replies
3K Views
Kwanini nauliza hivyo? 1. Yale yale yaliyokuwa yanatokea wakati wa Siro ndiyo hayo hayo yanatokea wakati wa Wambura eg..kupoteza, kutekwa watu, kubambika kesi etc etc. Ben Saanane, Sativa and...
1 Reactions
9 Replies
662 Views
Stendi ya mabasi Chato, yenye maduka ya kisasa zaidi ya mia moja, naona kama ina hali mbaya sana. Stendi iligharimu karibu bilioni 30 lakini zinapaki daladala nne au tano, na mabasi yasiyozidi...
7 Reactions
37 Replies
1K Views
Ninafahamu Uchaguzi unapofanyika wenye wajibu wa kutenda haki ni Tume Serikali na vyombo vya dola na wala siyo CCM yakulaumiwa. Ebu safari hii fuateni maelekezo ya Amir Jeshi Mkuu wenu Samia...
1 Reactions
3 Replies
316 Views
Kuna jambo mmoja watu wengi hawajamuelewa Rais wetu au mfumo mzima wa CCM. Hawataki kuonekana kuwa wafanyalo linatokana na Wazo la wapinzani hata kama wazo hilo lina manufaa kwa taifa 💯 %. Hivyo...
4 Reactions
14 Replies
690 Views
Wanabodi. Kila siku najiuliza sipati jibu sahihi kuhusu wasomi wetu wa Tanzania.. Kwa mujibu wa data za World Bank na IMF Tanzania ipo kwenye kundi la nchi 20 maskini wa kutupwa duniani. Baadhi...
1 Reactions
790 Replies
84K Views
Tukio la jaribio la kumuua Aliyekuwa Rais Wa Zamani wa Marekani na Mgombe wa Kiti Cha Urais Mh Donald Trump limeibua taharuki na sura mpya ktk siasa za Marekani. Hata hivyo kama Nchi na Kama...
10 Reactions
40 Replies
1K Views
Mh. Magufuli your doing amazing job kweli Prof Kabudi anaonyesha mwanga wa kukurithi pasipo majivuno ila utumishi ulio tukuka. Nisije toa siri zaidi ila muda utajibu haya. Ile nyota ya mh Prof...
8 Reactions
121 Replies
15K Views
Taarifa hii Nyeti imefichuliwa leo kwenye Hitimisho la Mikutano hiyo mikubwa ya kisiasa kuwahi kufanyika katika ngazi za vijiji, lililofanyika Mjini Arusha, Kata ya Murrieth, Idadi ya mikutano...
6 Reactions
42 Replies
1K Views
Kuanzia leo, sitamlaumu tu aliyehujumu uchaguzi bali hata aliyehujumiwa kisha akakaa kimya bila kuchukua hatua stahiki. Kwa miaka mingi, vyama vya upinzani vimekuwa vikilalamika kwamba wameibiwa...
1 Reactions
0 Replies
192 Views
Ukweli ambao utawaumiza wazee wa matusi pale ufipa ni juu ya picha za mikutano ya Mwenyekiti wa Chadema ndugu Freeman Mbowe katika ziara ya mikoa ya Kanda ya Kaskazini kuanzia Manyara...
8 Reactions
62 Replies
2K Views
Hivi nilimsikia vibaya yule aliye kuwa shirika la NYUMBA la taifa ndugu Nehemia msechu yakuwa Kuna wizi mkubwa na upotevu wa mamilioni ya fedha kwenye mradi wa usafirishaji wa abilia Udart? Je...
0 Reactions
1 Replies
454 Views
Wakuu, Tangu nimezaliwa sijawahi kuona sherehe za kisiasa zimepangiliwa kisayansi na zikawa na watu wengi kama nilizoona mwaka huu katavi kwenye maadhimisho ya wiki ya wazazi 2024. Viongozi...
1 Reactions
0 Replies
267 Views
Wanabodi. Kwa Kasi Hii ya Rais Wetu Mpendwa, Dr. John Pombe Joseph Magufuli na Falsafa yake ya "Hapa Kazi Tu", na kama hiki tunachokiona sasa, sio nguvu ya soda tuu, yaani ataendelea kwa kasi hii...
16 Reactions
409 Replies
81K Views
ALLIANCE FOR CHANGE AND TRANSPARENCY (ACT WAZALENDO) TAARIFA KWA UMMA VIONGOZI WAKUU WA ACT WAZALENDO KUFANYA ZIARA KWENYE MIKOA 22 TANZANIA BARA Kuanzia tarehe 22 Julai 2024, Viongozi Wakuu...
1 Reactions
7 Replies
505 Views
Back
Top Bottom