Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!
Kwa urefu wa kichwa cha thread hii nadhani kila kitu kimejieleza Source: Citizen TV
5 Reactions
26 Replies
627 Views
MADAKTARI FANYENI KAZI KWA BIDII, UPENDO NA HURUMA: MBUNGE TAUHIDA Madaktari wa Kituo cha Afya KVZ Mtoni wametakiwa kufanya kazi kwa bidii, upendo na huruma ili kujenga Imani na wateja wao...
0 Reactions
1 Replies
230 Views
Serikali katili kabisa ya CCM imechukua mkopo wa kibiashara (commercial loan) kutoka NMB ili kumnunulia mwekezaji (mwarabu kutoka U.A.E) mabasi 100 kwa ajili ya kuendesha mradi wa mwendokasi (BRT)...
29 Reactions
146 Replies
5K Views
Ndio taarifa zilizopo hapa Miyomboni Iringa kwamba inadaiwa miamba hiyo ni miongoni mwa wanaopitapita mitaani kuweka mambo sawa Hata hivyo Jesca ambaye ni Mbunge wa sasa na Team Lowassa...
6 Reactions
25 Replies
941 Views
Hivi wajameni tuseme ukweli mnauonaje uwezo wa yule bwana mdago makonda. Sidhani kama anajua hata ofisini yupo kwa ajiri gani. Anachofanya huwa hakieleweki yeye ni kutafuta kiki tu basi. Hata...
10 Reactions
38 Replies
928 Views
Wanabodi Kati ya udhaifu mkubwa sana wa media zetu Tanzania, sii redio, TV na Magazeti, hatuna competent people wa kufanya news analysis, kazi kubwa media zetu ni kufanya reportage tuu ya...
72 Reactions
193 Replies
27K Views
My Take Naunga mkono,Wabunge wa aina hii badala ya kuongea mambo ya msingi wao wanaongea mambo yasiyo na maana. Samia ataitwa Kwa vitu vingapi? Kwa sababu jina la Daraja tayari Mojawapo ya Daraja...
7 Reactions
39 Replies
2K Views
Taarifa ya Chuo hicho hii hapa
9 Reactions
72 Replies
9K Views
Siku hizi Watoto wa Matajiri wako International School na hawa Watoto wa mama mboga wanasoma Kayumba school Kwenye ushindani wa Ajira International School vs Kayumba school ni Sawa na Born Towns...
13 Reactions
77 Replies
2K Views
Binafsi nina imani na tume ya uchaguzi,nina imani na mahakama,nina imani na serikali, nina imani na uongozi huu wa Mh Samia suluhu Hassani . Nimeshuhudia maboresho mengi ya mifumo sasa Tanzania...
0 Reactions
4 Replies
249 Views
Ilikuwa balaa.Usalama wa Taifa waliingia na kuteka uhesabuji kura. Wakadai kuwa wametumwa kuilinda nchi na mipasuko. Lahaula! CCM imeshakuwa nchi tena? Sisi tuliokuwa na jukumu la kuhesabu kura...
39 Reactions
149 Replies
11K Views
Aiseee CCM ni wakongwe ndio maana wao wako busy mitaani kusajili wapiga kura wapya na wanachama wapya mitaani. Lakini CHADEMA wamejikita kwenye mitandao tu kuangalia linalotrend wapinge au watoe...
3 Reactions
26 Replies
545 Views
Kauli ya NAPE Jana kuhusu wizi wa kura ilipaswa kuwa kwenye magazeti ya leo kama habari kuu kama ilivyotawala kwenye mitandao ya kijamii. Kutokana na kufinywa kwa uhuru wa habari, magazeti karibu...
1 Reactions
6 Replies
661 Views
Mwenyekiti wa Chadema mh Mbowe amesema kulikoni kususia Uchaguzi ni Bora kuingia uchaguzini na kupambana Mwanzo mwisho Mbowe amesema Wananchi wakiwa majasiri basi Chadema watashinda kwa Katiba...
1 Reactions
10 Replies
293 Views
Hakika Msigwa, naamini unafuatilia mitandao ya kijamii ili kujua mambo yanavyoendelea duniani. Nimeona na kusikia Nape akielezea mambo yanayofanywa na chama chako pendwa, CCM. Najua kwamba Roho wa...
4 Reactions
9 Replies
623 Views
Kwa sababu Peter Msigwa ni Mchungaji wa Dini ya Yesu Kristo basi ni vema Matendo yake yakapimwa kibiblia Na Ili umfahamu vizuri lazima kwanza ujiulize je mchungaji Msigwa ameisaliti Chadema kama...
2 Reactions
1 Replies
298 Views
Kijana amkeni nchi inamalizwa na wazee tangu nimefuatilia siasa hao wazee naona wanastaafu na kurudi kazini chukulia mtu kama kinana, omben seifue n.k. hao ni baadhi tu nimewataja na nimewataja...
19 Reactions
58 Replies
2K Views
Kuna watu humu wanasema hamas/Palestina ni mashujaa.. Sidhani kama kuna sense katika usemi huo wakati watu wanateketea kama si binadamu. Why not release hostages and look for a new alternative to...
2 Reactions
5 Replies
393 Views
Mbunge wa jimbo la Arusha mjini Mh Mrisho Gambo a.k.a kiboko ya mafisadi, anampongeza Rais Samia kuruhusu mikutano ya hadhara kwani sasa wanaume watapimwa jukwaani na si kwa mbeleko tena. Bwana...
13 Reactions
115 Replies
7K Views
Mjumbe wa Kamati Kuu ya Chadema mh Godbless Lema amesema maisha yamekuwa magumu sana kiasi kwamba kula Wali Nyama imekuwa ni jambo la kuvizia Lema amesema Serikali iwaangalie kwa jicho la Tatu...
11 Reactions
54 Replies
1K Views
Back
Top Bottom