Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!
Mambo yote anayokosoa msigwa katika chama alichotoka kukihama kwa mtu mwenye akili timamu sioni hoja za msingi kuwaaminisha watu kuwa chadema ni chama dhaifu ni chama gani kwa sasa hii utakipima...
2 Reactions
22 Replies
706 Views
RAIA wa China, Xie Xiamao maarufu Celine, amehukumiwa kulipa faini sh. milioni mbili au kwenda jela miaka mitano , baada ya kutiwa hatiani kwa shtaka la kufanya biashara ya kubadilisha fedha za...
2 Reactions
17 Replies
11K Views
Hii nchi imekuwa ya risk sana and no one cares! Watu wanaibiwa fedha, watu wanatapeliwa kila siku , serikali imekalia kutuma meseji "usikubali kutumanfedha kwa namba usiyo ijua" who cares vijijini...
1 Reactions
5 Replies
416 Views
Hayati Magufuli alishindwa vumilia kudharauliwa, na hii ndio sababu kubwa Upinzani hauku ingia bungeni 2020 , inasemekana hivyo . Muwe na siku njema
2 Reactions
8 Replies
381 Views
Waziri wa Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari, Nape Nnauye amesema video inayosambaa ikimuonyesha akisema kuna mbinu nyingi za CCM kushinda uchaguzi ikiwamo zisizo halali imepotoshwa na...
1 Reactions
46 Replies
4K Views
KAMATI YA SIASA YA CCM MKOA WA SONGWE YAKUBALI MWALIKO WA MBUNGE WA JIMBO LA MOMBA CONDESTER SICHALWE Na. Mwandishi Wetu-Momba Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Mkoa wa Songwe Radwall...
0 Reactions
0 Replies
234 Views
Lema asema Nape mpumbavu wewe sisi tunaweza kumuiba mkeo na kukaa nae chumbani kwetu, hii imekuja baada ya kauli ya Nape kuhusu ushindi kwenye chaguzi ambapo alisema ushindi unategemea nani...
13 Reactions
38 Replies
3K Views
Bila shaka sasa Tanzania mpya iliyokuwa inameremeta kwa ujenzi wa viwanda kila kona ya nchi, sasa imegeuka kuwa Tanzania ya ujenzi wa vituo vya mafuta kiholela na kila sehemu! Sheria inataka...
16 Reactions
130 Replies
8K Views
Salaam wakuu. KENGE!!"Nalipanda Jukwaa kwa bashasha.Mkononi karatasi na Bahasha.Wala sio Warsha,Ni tathmini za Maisha" Nitangulize kwa kuweka bayana Mimi sio mdau wa Siasa sana,Sina Chama wala...
1 Reactions
32 Replies
890 Views
Ameandika Lema katika mtandao wa X: "Jana wakati nakemea kauli yako katika mkutano wa hadhara Murriet Arusha dhidi ya kauli yako na mipango yenu ya KIPUMBAVU juu ya wizi na uporaji wa kura katika...
1 Reactions
6 Replies
742 Views
Salaam wanajenzi. Natambua kuwa nchi yetu ni mwanachama wa Umoja wa Mataifa (UN), umoja wa kikanda (SADC na EAC) ambapo kwa pamoja wameridhia kuongoza kwa kutumia katiba za nchi zao ambazo...
2 Reactions
18 Replies
592 Views
Ni ushauri tu kwa Katibu mkuu Dr Nchimbi na Katibu wa Uenezi CPA Makalla Ni vema CCM tukawa na Msemaji maalumu hapa JF mwenye uzoefu wa kutosha na anayekijua Chama vizuri sana Na kwa maoni...
8 Reactions
17 Replies
412 Views
Professa wa sheria Issa Shivji wa Tanzania anayeheshimiwa duniani na aliyefundisha na kutafiti na kuandika vitabu vingi vya masuala ya ardhi anawakumbusha Watanzania: nchi inauzwa kwa kasi na...
25 Reactions
54 Replies
3K Views
Kwa maneno aliyoyazungumza waziri wa habari Nape Nhauye wakati akiongea na wanaccm huko Bukoba mkoani Kagera ni ishara tosha nchi hii inaongozwa na wahuni. Waziri mzima tena mkuu wa wizara ya...
2 Reactions
21 Replies
884 Views
Katika kurekebisha mfumo wa elimu ninashauri Rais aanze na hili nililolisikia leo ambalo sijaamini ,kuwa kila Halmashauti nchini Tanzania ina wakuu wawili wa idara za elimu ( Elimu msingi na...
9 Reactions
81 Replies
6K Views
Yaani raia anamtukana Waziri mkongwe huku akitamba " kama kuna Polisi hapa waje wanikamate" Na hawakumkamata yuko anadunda tu Nimeshangaa sana kwa kweli 🐼
3 Reactions
26 Replies
1K Views
Badala ya kuona kuwa Nape amekosea kusema aliyosema, tumwone Nape kama mtu aliyesema ukweli kuhusu chaguzi za Tanzania. Ni kweli kwamba matokeo ya kura hutegemea nani anahesabu kura na mara nyingi...
5 Reactions
5 Replies
294 Views
Kumekuwa na tabia iliyozoeleka ya mawaziri kuagiza makampuni na mashirika yaliyo chini ya wizara zao kutoa fedha kugharimia miradi mbalimbali bila utaratibu wa kisheria. Lakini kuna uwezekano...
7 Reactions
22 Replies
830 Views
Tunakushukuru Mama Samia kwa kukataa Jina lako kuwekwa kwenye Daraja, huu ni mwanzo mzuri sana, na kwa kweli nimeamini kwamba kumbe ni kweli huwa unasoma JF, Maana uko uzi wangu kabambe humu...
12 Reactions
77 Replies
2K Views
Back
Top Bottom