Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!
Lugha ya Kiingereza imekuwa kiunganishi muhimu cha mawasiliano duniani kote. Katika Tanzania, mjadala kuhusu matumizi yake kama lugha ya kufundishia katika shule za msingi umekuwa wa kudumu...
2 Reactions
2 Replies
349 Views
Meya Mstaafu wa Manispaa ya Ubungo kilipo Chuo kikuu Cha Dar es salaam na makazi ya Wasomi Waliotukuka wa nchi hii mh Boniface Jacob amesema Shujaa Magufuli yuko Hai Wapinzani Wasijidanganye Mh...
10 Reactions
58 Replies
2K Views
Peter Kibatala na wenzako naomba mnisaidie kwenye hili Je Kamanda wa Polisi wa Tanga, ambaye amekaa na Mtuhumiwa kwa mwezi mzima huku akificha Taarifa zake hata kwa ndugu zake, jambo...
8 Reactions
44 Replies
2K Views
Waziri wa Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari, Nape Nnauye na Naibu Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Stephen Byabato wametinga katika Soko la Kashai mjini Bukoba...
1 Reactions
6 Replies
484 Views
Hili jambo najiuliza sijui kama kuna sababu ya msingi ya kwanini Tanga isiunganishwe kwenye SGR. Kuna mtu yeyote au imeonekana haina faida kiuchumi?
14 Reactions
96 Replies
3K Views
Ndugu zangu Watanzania, Nashindwa nieleze na kutumia maneno gani kueleza upendo mkubwa walio nao Watanzania kwa Mheshimiwa Rais na Mama yetu mpendwa Daktari Samia Suluhu Hasssan,ni upendo wa hali...
-2 Reactions
59 Replies
2K Views
Taifa letu ni shamba la bibi kwa baadhi ya familia na koo fulani. Katika kipindi hichi kuna koo, familia na baadhi ya watu fulani utajiri wao utaongezeka mara dufu yaani. Napenda kuwakumbusha tu...
2 Reactions
27 Replies
1K Views
Kwa mujibu wa mkuu wa majeshi Gen Jacob John Mkunda amemueleza Rais kuwa Kuna wakimbizi wapo Hadi Serikalini na wamepewa nafsi za juu kabisa za kimaamuzi Hili inashangza na kufikirisha Sana...
26 Reactions
765 Replies
59K Views
Wahenga waliwahi kusema kuwa watu maskini wa fikra, mali na akili hujadili watu kwa mfano mzuri viongozi wa Chadema inadhihirisha kuwa ni watu wenye akili ndogo Sana utakuta mkutano una masaa 4...
3 Reactions
28 Replies
638 Views
Kwanza hana makandokando, anajua wathirisha hoja, anajua katiba yaani anajua anaochokifanya Mwamba anajua
7 Reactions
26 Replies
672 Views
Salaam, Shalom! KATIBA yetu ya nchi IPO wazi kabisa kuwa, HAKI ya kuchagua inaenda sambamba na HAKI ya kuchaguliwa. Yaani HAKI ya mgombea nafasi yeyote katika ngazi yeyote kisiasa, haipasi...
0 Reactions
2 Replies
266 Views
KINANA: MKITUMIA RUSHWA KATIKA UCHAGUZI MTAPATA VIONGOZI WABOVU Makamu Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Bara, Abdulrahman Kinana amesema uongozi unaopatikana kwa njia ya rushwa ni uongozi...
2 Reactions
35 Replies
2K Views
Vyombo vyetu vinafanya kazi kubwa sana, yapo mambo makubwa ambayo yanahitaji hadi Rais ashirikishwe kufanya maamuzi lakini mambo mengi hupuuzwa. Kwa sababu Katiba imempa mamlaka makubwa mkuu wa...
4 Reactions
10 Replies
501 Views
SOURCE: www.raiamwema.co.tz Mawaziri kushitakiwa kwa tuhuma za ufisadi Mwandishi Wetu Machi 26, 2008 SERIKALI inakamilisha taratibu za kuwashitaki mawaziri wa zamani wawili wanaotuhumiwa...
1 Reactions
86 Replies
11K Views
Kuwa wa Kwanza kufahamu kwamba ile Ratiba ya Chadema kukomboa Majimbo yake yaliyoporwa na Dikteta Mwenda zake inaendelea. Sasa imeingia Arusha Mjini, ambako Taarifa zinaeleza kwamba shughuli...
5 Reactions
31 Replies
10K Views
31 May 2021 MASHA ANAONGEA : ALIYEIUA FAST JET, HOFU, ATCL WAFANYE NINI. Huyu ni Lawrence Masha, nguli wa Sheria na Mfanyabiashara. Aliwahi kuwa Mbunge wa Nyamagana na Waziri wa Mambo ya Ndani...
3 Reactions
33 Replies
6K Views
BASHE:Sikuwahi kuwa member wa hii forum lakini nimeguswa na kuvutiwa kutokana na mjadala ambao umemhusisha Mbunge wangu MH HAMIS ANDREA KIGWANGALA (SAIDI NASSOR BAGAILE) sikutaka kujadili jambo...
5 Reactions
22 Replies
6K Views
Waziri wa Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari Mhe. Nape Moses Nnauye, amemuomba Mkuu wa Mkoa wa Kigoma Mhe. Thobias Andengenye, Wakurugenzi na Wakuu wa Wilaya kuwa wepesi wa kusaidia...
1 Reactions
0 Replies
228 Views
"Mna tabia ya kufikiri Wakenya wana akili sana, Wakenya hawana akili yoyote ya maana kuliko Watanzania ila tofauti yao na sisi wale walifundishwa Kiingereza tangu chekechea kwahiyo ukienda kwenye...
2 Reactions
7 Replies
440 Views
Similarities Differences 1. Politically motivated Trump individual motivated, Lisu...
9 Reactions
59 Replies
11K Views
Back
Top Bottom