Maswali ya kujiuliza ni kuwa;
1. Makonda anatoa litahizi za mafuta kama mtu binafsi au serikali? Kama anatoa kama mtu binafsi vyanzo vya mapato haya ni nini? Mkuu wa Mkoa anatoa wapi pesa za...
Kwa mtazamo wangu Tanzania hatuhitaji hicho kizazi hata kidogo,,kwa wengine wanaona hiyo generation ni babu kubwa na kutamani nasi tungekuwa nayo
Jirani zetu wakenya huenda wanastahili kuwa nayo...
Wakati Watanzania Bara Wakiwa kwenye mjadala eti wa deni la Taifa kuongezeka na Serikali ikishutumiwa Kwa kile kinachoitwa kukopa sana,kwingineko Serikali za nchini Uganda na Zanzibar zenyewe...
WanaJF,
TRA kitengo cha Customs ambapo hushughulikia ushuru wa magari na bidhaa zinazoingizwa nchini kupitia bandarini wamekuwa ni mawakala wa wizi wa fedha za walipa kodi wa nchi hii.
Unakuta...
Habari za usiku wakuu!
Licha ya kuwa Mhe. Rais anajitahidi kwa uwezo wake wote kutoa mchango wake katika kuipa nchi maendeleo lakini bado mwitikio kwa wananchi ni mdogo sana. Bado hajapata nguvu...
Kigwangala aandika haya katika ukurasa wake wa X;
Hii ni aina ya mambo ambayo hatuwezi kunyamaza. Ni aina ya mambo yenye viashiria vya ‘ubaguzi’ wa wazi.
State crafting inataka kulinda tunu...
Nimefurahi kutembelea ofisi za CCM mkoa na Makumbusho ya Azimio la Arusha
Chadema iko overated sana kwa mujibu ya simulizi za machalii wa Ara chuga
Ahsanteni Sana CCM Arusha 😂😂
Mlale Unono
"Nitasema ukweli daima fitna kwangu mwiko".
Ni kaulimbiu inayoeleza wajibu na sifa ya kweli ya mwanaCCM kwa mujibu wa katiba ya chama hicho.
WanaCCM wengi wamekuwa wakitumia kauli hii kuonyesha...
Dkt. Wilbroad Slaa akihojiwa na kituo cha redio leo asubuhi amedai kuwa yeye bado anatambulika kama Balozi kwani hana barua rasmi ya kuondolewa hadhi hiyo.
Dkt. Slaa ameongeza kuwa yeye ana barua...
1. Viongozi waliopo madarakani kujilimbikizia mali na kutumia mali za umma kwa ANASA.
2. Viongozi waliopo madarakani kutosikiliza na kuzifanyia kazi shida za wananchi(kuwachukulia wananchi kama...
Akiwa katika ujenzi wa daraja la Tanzanite, Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam Paul Makonda amewataka wakazi wake kufanya fujo za hali ya juu ikiwepo kupiga kelele kwa nguvu zote na watu kwenda beach...
MEI mwaka jana wafanyabiashara katika eneo la Kariakoo ambalo limepewa hadhi ya soko la Kimataifa waligoma. Mgomo wao ulitokana na kutokuridhishwa na mwenendo wa Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA)...
Mnaosema hawa watu zaidi ya milioni moja ni Vichaa mjitafakari tena tena.
Hakika Kawe kwa Mwamposa Kuna kitu Cha ziada haiwezi kuwa ni Bure Dunia nzima ikusanyike pale sisi tuseme wanapigwa tu...
Yussuf Manji, ni matumaini yangu kuwa ujumbe huu utakufikia popote ulipo.
Binafsi kama Muislam mwenzako nnachukuwa fursa hii kukukumbusha kuwa hakuna kitu bora kama kukiri na kukubali makosa yako...
Nimewahi kusikia maneno kutoka kinywani Kwa Mzee wangu (Mkemia mkuu mstaafu)
Anasema Nyerere alikuwa na Udhaifu mmoja Wa kupendelea majina yale yale Kwa Kila kazi
Unasikia Yuko wapi Jakaya...
Siasa si uadui!
Mdee kuwa bungeni si kosa kisheria ila njia alizotumia zaweza kuwa si sahihi,
Kwakuwa Mamlaka ya Bunge imeonekana kuwatambua basi vema hata CHADEMA ikaachana nao ila Kwa Mashrt...
Ofisi ya Mkuu wa Mkoa ipo, mlipaswa kuja hapa kwa kuwa ndio tunaolisimamia na siyo huko mlikokwenda," amesema Chalamila.
Wafanyabiashara hao zaidi ya 800 jana Alhamisi Julai 11, 2024...
Naendelea kuja hapa kivingine
Kabla ya kuendelea na declare kwamba Mi ni Mwana CCM nilofanya kazi ngazi zote za chama na kila awamu isipokuwa ya Mwalimu Nyerere,
Kila binadamu Ana mapungufu yake...
Na Anneth Kagenda na Simon Mhina
Kamati ya Maimamu ya kuokoa mali za Waislamu imetishia kusoma dua ya Ahla-badri kuwashitakia kwa Mwenyezi Mungu, watu wote waliohusika kuwadhulumu Waislam...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.