Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!
Habari waungwana! Leo katika pitapita zangu mitaa ya jimbo la Ukonga, nimekutana na mjadala unaohusu ardhi na utoaji hati miliki za ardhi kwa urasimu. Nilipotaka kujua kulikoni tena nyumbani kwa...
2 Reactions
8 Replies
314 Views
Nimekuona ukifanya kazi nzuri kila ulikopita, japo wahusika kwenye ofisi yako hujawagusa, lakini kwa hatua angalau ya kuwarejeshea mali zao waliodhulumiwa si haba Bali, wako wale waliodhulumiwa...
3 Reactions
14 Replies
505 Views
Ndugu zangu Watanzania, Ni historia,ni furaha na tabasamu,ni heka heka na chereko,ni shauku na kiu kubwa sana iliyojaa katika mioyo ya wana Katavi ambao wameripuka kwa shangwe ,nderemo na vifijo...
6 Reactions
102 Replies
13K Views
Baada ya wasanii kutoka Korea Kusini walipoenda kimafunzo, inafaa waunganishs kwenda Uturuki kujifunza zaidi kutoka Kwa Watengenezaji filamu duniani
2 Reactions
15 Replies
785 Views
Watanzania kinachowashinda kuongea hadharani, ni ule uoga wa kufungwa jela miaka kadhaa kama kilichompata kijana Shadrack wa Mbeya. Wana CCM, nawatahadharisha, ni vyema muwe wakweli, maana hata...
15 Reactions
64 Replies
3K Views
Suala zima la migomo Kariakoo linahusu masuala mazima ya kodi, liliibuka mwaka jana likazimwa kisiasa likaibuka tena mwaka huu na linazimwa kwa mbinu zile zile za kisiasa. Linaacha ukakasi kwa...
4 Reactions
18 Replies
696 Views
Katika karne ya sasa, ambapo dhana ya usawa wa kijinsia imepata msukumo mkubwa na kumekuwa na maendeleo makubwa katika kuhakikisha wanawake wanashiriki kikamilifu katika nyanja zote za maisha...
1 Reactions
0 Replies
430 Views
Hii ndio Taarifa mpya kutoka kwenye kikosi kazi cha Uongozi mpya wa Kanda ya Nyasa, baada ya muendelezo wa Tathmini ya muda mrefu ya Chama hicho. Chadema imesambaza kikosi kazi cha kuchambua...
10 Reactions
41 Replies
1K Views
Ile Kesi ya Uongo ya Mauaji aliyosingiziwa Kiongozi wa Bavicha Njombe, Ambaye alikataa kuunga mkono juhudi wakati wa enzi za Dikteta Magufuli inaendelea, ambapo sasa imefika patamu huku Wakili wa...
11 Reactions
21 Replies
12K Views
Kumekuwa na mashindano mengi ya mpira hasa mpira wa miguu kwenye majimbo na kata mbali mbali nchini. Kwa jicho la kawaida ni jambo zuri lakini kama ukijiuliza ni kwanini ije kipindi hichi na sio...
0 Reactions
1 Replies
271 Views
IGUNGA: "UWT TAIFA YAENDELEA KUHAMASISHA MAENDELEO NA KUPINGA UKATILI WA KIJINSIA" Mjumbe wa Kamati ya Utekekelezaji ya Baraza Kuu la Umoja wa Wanawake Tanzania (UWT) Mhe. Hawa Ghasia Amefanya...
0 Reactions
0 Replies
195 Views
Wizara ya Fedha imesema itafanya Utafiti kujua kwanini Watanzania hawapendi kulipa Kodi Nikiwa Mzalendo wa Nchi hii nakukaribisha MwanaJf kutoa sababu/ maoni Ili kwa pamoja tuisaidie Wizara ya...
9 Reactions
167 Replies
3K Views
  • Poll Poll
Naandika andiko hili nikiwa ndani ya Ofisi yangu ya mpya ya Centre for Strategic Intelligence and Clandestine Operation hapa ndani ya kijiji chetu hiki kdogo. Rais wangu Samia Suluhu, najua kazi...
177 Reactions
386 Replies
57K Views
MBUNGE NGASSA: " WANA IGUNGA KWA SASA TAIFA LETU LINA UMEME WA KUTOSHA" Mbunge wa Jimbo la Igunga Mhe. Nicholaus George Ngassa Ameendelea na Ziara Jimboni kwenye ngazi ya chini ya Utawala ya...
0 Reactions
1 Replies
203 Views
Haya ni maneno yanayosemwa na mwana CCM, kwamba wao wakifanya kosa, watashughulikiwa tofauti na CHADEMA, hata ikiwa polisi ataonywa tu asirudie basi, ila kwa wengine kama CHADEMA ni tofauti...
2 Reactions
18 Replies
813 Views
Habari zenu. Mimi sio mwanasiasa lakini leo kama mtanzania mpenda maendeleo nilidownload ilani ya CCM 2020-2025. Ili walau nipate hope na serikali ya Sasa na kama kweli wanatimiza walichoahidi...
3 Reactions
68 Replies
2K Views
Alama za Nyakati ni taarifa za Maono ya Mambo yanayokuja, kuna kila dalili kwamba Joseph Mbilinyi anaandaliwa Jambo kubwa zaidi na Mungu Huyu kwa sasa ni Mwenyekiti wa Kanda ya Nyasa, ni...
18 Reactions
78 Replies
9K Views
Jambazi ni jambazi, fisadi ni fisadi, tapeli ni tapeli tu. Madhara ya vitendo vya watu hawa kwa jamii ni yale yale bila kujali kuwa wanatoka chama tawala au upinzani. Madhara ya vitendo hivi...
3 Reactions
37 Replies
9K Views
Hawa bongo movie na comedians wa bongo kwa nini kwa muda mrefu sasa wamekuwa wakihitaji pesa za walipakodi wa Tanzania ziwahudumie katika mambo yao binafsi?
2 Reactions
11 Replies
412 Views
Jana nimekutana na Bibi CRDB wa kama miaka 80 kaja kuchukua malipo ya Tsh 24,000 ya mwezi June. TASAF wana utaratibu wa kusaidi watu au kaya masikini Utaratibu huu ni mzuri ila kiwango cha fedha...
0 Reactions
14 Replies
526 Views
Back
Top Bottom