Waziri Mkuu Kassim Majaliwa ambana Mhandisi wa Halmashauri ya Wilaya ya Kilolo kushindwa kusimamia matumizi ya Fedha ujenzi wa Bwalo shule ya Sekondari ya Wasichana Lugalo.
Ashangazwa kutumika...
Mkuu wa Mkoa wa Mbeya ametoa masaa 24 kutiwa mbaroni Kwa Kijana mmja huko Wilayani Rungwe ambae inadaiwa amemkashifu Rais Samia na Kuichoma Picha yake.
My Take
Naunga mkono hoja, upumbavu wa...
Dikteta huchukua hatua kadhaa kupandikiza utawala wa Imla - Zitto Kabwe
(Andiko la July, 2016 na uhariri kidogo 2018. Uhariri tena mdogo Jan, 2019 )
Hupambana na Wafanyabiashara wakubwa '...
Rais Samia amewataka Wananchi katika sekta zote walipe Kodi Ili kujiletea Maendeleo kama Taifa
Rais Samia amesema si jambo jema kila aonekanapo Mtu mweupe basi tumkimbilie kumkopa kwani Mikopo...
Hii ndio taarifa ya dharula iliyosambazwa mitandaoni kwa sasa.
Huku namba ya Simu ya Kuchangia hela za faini ya mil 5 aliyobambikiwa mtuhumiwa huyo ikitolewa baada ya Wazalendo kujitokeza kulipa...
Kijana Shadrack Chaula (24) mkazi wa Kijiji cha Ntokela, Kata ya Ndato, Wilaya ya Rungwe mkoani Mbeya amehukumiwa faini ya Sh5 milioni au kifungo cha miaka miwili jela akishindwa kuilipa faini...
Unapopata muda pitia pitia page za Law societies of Kenya na Pia Tanganyika Law Societies Utaona utofauti mkubwa sana wa hizi taasisi kwenye kufanya kazi. Taasisi moja ni kama tawi la Chama...
Kwenye ule mgogoro wa Ziwa Nyasa ndo Malawi walitaka vita na Tanganyika/Tanzania? Aisee ngoja nikaushe tu. Ndege inatafutwa siku 2 hapo hapo Lilongwe? Bado mnaomba Msaada dunia nzima. Hapo hapo...
RC MWASSA AWAITA WANANCHI KWENYE UZINDUZI WA KAMPENI YA KITAIFA KUPINGA UKATILI DHIDI YA MAALBINO. WAZIRI NDEJEMBI KUONGOZA UZINDUZI HUO.
Ni leo Jumanne Julai 09, 2024 kwenye Viwanja vya...
Wanabodi,
Katika pita pita yangu viunga fulani hapa mjini Dodoma, nimepita mahali nikukata baadhi ya watu na heshima zao, wakimsifu huyu mbunge kijana wa CCM, Mhe, Esta Bulaya, kuwa amefanya...
Mwenyekiti mstaafu wa CCM, Rais Jakaya Kikwete ana Makamu wake (Zanzibar)
Dk. Ali Moahammed Shein wakiwa katika picha ya pamoja na wajumbe wa
Baraza la ushauri la viongozi wastaafu wa CCM...
Siku hizi imekua kawaida kwenye kila tukio hata ya kawaida tu ya muheshimiwa Rais wakuu wa Mihimili yote muhimu wanakua paraded Mbele yake kuanzia Spika , Jaji Mkuu , Mkuu wa Majeshi , Usalama...
Inasemekana kuwa umoja wa vijana wa chama cha Mapinduzi (UVCCM) leo wamekodi mabasi mengi ya kwenda Morogoro kupeleka vijana wengi wakiwamo wanafunzi uwanja wa Taifa kwa Mkapa kwa ajili ya jambo...
Jamani naomba kufahamu. Kwenye Bango la Mgombea Urais Bw. Magufuli jina lake kwenye herufi M limewekewa alama ya mwenge.
Ndiyo nauliza nini maana yake? Nia yangu nisije nikakosea badae kuliandika...
Kama mada inavyojieleza hapo juu natamani tuondokane na siasa za mihemko tuje kwenye siasa za hoja. Kuna wanaJF wanatamani kuamua nani wamchague na nani kwa sababu zipi. Nataka tusaidiane kupata...
MWENYEKITI CHADEMA MBEYA DC AWAKUMBUSHA WANAKYELA JINI MAGUFULI ALIVYODHIHIRISHA KUWA CCM IMEKUFA
Mwenyekiti wa CHADEMA Jimbo la Mbeya vijijini Getruda Japhet Lengesela
Akizungumza kwenye...
waTanzania wengi tumekuwa tukitoa maoni yetu Kwa nia njema. Ingawa kila unapotoa maoni yako wengine wanaona maoni hayo hayafai kutolewa sielewi Kwanini?
Kwa mfano watu wengi walikuwa wanatoa...
Salaam, Shalom!!
Nimelazimika kupandisha mada hii baada ya kusoma comment ya mdau wa JF aitwaye Voice of Tanzania alipokuwa akichangia mada katika thread isomekayo,
Ni Lini Serikali ya CCM...
Mehbub Yusufali Manji: Businessman
Details: The Manji family is one of the richest in Tanzania. It started Quality Group Limited, the country's major conglomerate with interests ranging from...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.