Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!
Kuna tofauti kubwa kati ya Uadilifu na Uchapa kazi. Hayo ni mambo mawili tofauti. Viongozi wengi wako katika makundi mawili 1. Viongozi waadilifu lakini hawana maarifa ya kuchapa kazi na kuleta...
2 Reactions
67 Replies
5K Views
Zaidi sana utapoteza muda na fedha zako, tena kwa fedheha sana, ukiwa na elimu ya madigrii kadhaa ya kitaaluma wakati mganga hata darasa la saba hajamaliza. Mganga hawezi na wala hana uwezo wa...
12 Reactions
117 Replies
3K Views
Waziri wa Utamaduni, Sanaa na Michezo na Mbunge wa Jimbo la Songea Mjini Mhe. Dkt. Damas Ndumbaro amewataka vijana wa Umoja wa Vijana wa Chama cha Mapinduzi (UVCCM) wa Manispaa ya Songea Mjini...
0 Reactions
1 Replies
244 Views
P02: MABADILIKO BARAZA LA MAWAZIRI Lina wizara 14, Mawaziri 14, hakuna Manaibu Mawaziri Wizara hizo ni: 1. Ofisi ya Rais (menejimenti ya utumishi wa umma, katiba sheria na utawala bora) 2...
3 Reactions
5 Replies
656 Views
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan amelitangazia taifa msiba wa Rais Mstaafu wa Awamu ya Pili, Mhe. Ali Hassan Mwinyi leo Februari 29, 2024. Rais amesema "Ndugu...
42 Reactions
676 Replies
57K Views
My Take Kwa moto huu wa Dk.Mollel Hapa Chadema Hamna Chenu 😂😂👇👇 Wananchi wa kijiji cha Roseline, kilichopo kata ya Ndumeti, wilaya ya Siha, mkoani Kilimanjaro wakionesha furaha na bashasha kubwa...
1 Reactions
15 Replies
1K Views
Baada ya Wafanyabiashara wa Simu 2000 kumfukuza mkuu wa wilaya ya Ubungo hatimaye Mkuu wa mkoa mh Albert Chalamila alifika eneo hilo na kufanikiwa kuwatuliza Wamachinga Chalamila ameahidi...
1 Reactions
7 Replies
2K Views
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Philip Mpango amemuagiza Waziri wa Ujenzi, Innocent Bashungwa kuhakikisha anasimamia ujenzi wa barabara ya Malagarasi - Ilunde - Uvinza (km...
0 Reactions
1 Replies
370 Views
Akiwa amezungukwa na Waandishi wa Habari DC Bomboko aliwauliza mgomo wa Wafanyabiashara umesababishwa na nini? Waandishi: Wanadai eneo hili kauziwa Mwarabu na mchina Ili wajenge karakana DC...
1 Reactions
5 Replies
473 Views
Baada ya tukio la hivi karibuni la timu za Simba, Yanga na Azama kushiriki kikamilifu katika siasa za kuiunga mkono CCM katika mkutana mkubwa wa UVCCM kupitia wasemaji wao rasmi wa timu , Je...
5 Reactions
23 Replies
920 Views
Mbunge wa Kisesa, Luhaga Mpina amesema “Baada ya kusikiliza kwa kina maelezo ya Mkuu wa Majeshi Mstaafu, Jenari Venance Mabeyo aliyoyatoa Machi 16, 2024, nimeshawishika na ninawashawishi Wabunge...
45 Reactions
247 Replies
15K Views
Tunakumbushana tu kuwa Tundu Antipas Lissu amewahi kuwa Rais wa TLS huku akiwa mjumbe wa Kamati Kuu ya Chadema. Ni hilo tu Ahsanteni Sana 😂
0 Reactions
17 Replies
918 Views
Ni jambo la kusikitisha kwa CCM na Dola kushindwa kumshauri Mwenyekiti kuzunguka nchi nzima eti kumsema au kumzodoa Mbowe kuwa anaongoza kidkteta Chadema. Nadhani hii ni kukosa Agenda au kututoa...
12 Reactions
43 Replies
2K Views
Salaam Wakuu, Mwezi wa nane chama cha Wanasheria Tanganyika (Tanganyika Law Society - TLS) wanafanya Uchaguzi wa kumchagua raisi wao na Viongozi wengine. Kitu ambacho kimewashangaza wengi, ni...
6 Reactions
12 Replies
2K Views
Wakuu, angalieni wenyewe hapa kijana alivyomkazia RC Chalamila, amwambia Chalamila unakuja kututisha kwenye maduka yetu kisa tumefunga, akishikilia msimamo wake wa kutofungua duka lake. Pale...
6 Reactions
42 Replies
3K Views
Nafanya Utafiti kujua kwanini Vatican inafanyaga Uchaguzi mmoja tu yaani ule wa kumchagua Papa kwa Njia ya Moshi Mweupe So nataka nijifunze kwanza Uchaguzi Huru na Haki huwa unafananaje! Naomba...
0 Reactions
0 Replies
127 Views
Kama tulivyosema awali ni kwamba, leo ilikuwa siku ya kumaliza matanga Nyamongo, Baada ya Shughulili ya "Kuizika ccm" Tarime. Ushahidi huu hapa Mtu akithubutu kuwapora ushindi watu hawa...
8 Reactions
30 Replies
1K Views
📌📌 MWENYEKITI WA CCM MKOA WA CCM AMESHIRIKI KATIKA TAMASHA LA UTAMADUNI NA UTALII. 🗓️ 07, July, 2024 📌 Bariadi - Simiyu Mwenyekiti wa CCM Mkoa Simiyu, Ndugu Shamsa Mohammed ameongoza kwa mfano...
0 Reactions
0 Replies
408 Views
Mkuu wa Mkoa wa Mwanza, Said Mtanda ameibuka, baada ya Tumsime Ngemela kumtaja alipozungumzia tuhuma za kulawitiwa na aliyekuwa Mkuu wa Mkoa wa Simiyu, Dk Yahya Nawanda. Tumsime akizungumza na...
11 Reactions
88 Replies
6K Views
Nimejaribu kutafakari zaidi na zaidi na zaidi, kuna gharama gani kwa kiongozi wa Serikali kutoka ofisini na kwenda kutatua shida za wananchi? Tumekuwa tukiona baadhi ya wakuu wa wilaya au mikoa...
0 Reactions
0 Replies
195 Views
Back
Top Bottom