Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!
Ni Nuru, Faraja na Tumaini la ndoto za Watanzania wengi. Ni kichocheo cha mshikamano na maelewano ya waTanzania bila kujali mirengo ya kisiasa, kanda atokayo, rangi, dini au kabila. Ni kielelezo...
3 Reactions
41 Replies
640 Views
IMF wamekuwa na Sera ya kutaka Serikali hasa za Afrika zinazokopa IMF kupunguza gharama za kuendesha Serikali ili waweze kuwa na unafuu wa kukopa Madeni yao. Hii shinikizo iko kwenye nchi nyingi...
5 Reactions
26 Replies
629 Views
Record yake kiuchumi kijamii na kisiasa inambeba juu juu zaidi. weledi, uadilifu na umadhubuti wa serikali yake ndio msingi wa yote hayo. Kwenye Demokrasia, Haki, Usawa, Uhuru, Uwazi...
2 Reactions
122 Replies
2K Views
WAZIRI wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Mhandisi Hamad Masauni ametatua mgogoro kati ya Jeshi la Magereza na Wananchi wa Kijiji cha Dondwe wilayani Mkuranga Mkoa wa Pwani baada ya wananchi hao kuzuiwa...
0 Reactions
6 Replies
341 Views
Mbunge wa Viti Maalum kutoka Mkoa wa Singida Mhe. Jesca Kishoa amekua akipambana sana kuuliza Bungeni kuhusu uboreshaji wa huduma za afya kwenye Wilaya ya Mkalama mkoani Singida na sasa Serikali...
1 Reactions
2 Replies
364 Views
Waziri wa Maji, Mhe Jumaa Aweso (Mb) ameweka bayana kuwa Wizara ya Maji haina deni na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kutokana na uwekezaji mkubwa wa miradi ya Majisafi Nchini hususani...
0 Reactions
0 Replies
338 Views
Kwa wale mlio wakazi wa Arusha na Manyara huko, nadhani mmeona kwamba hivi karibuni kumekuwa na shughuli nyingi zinazohusu wale wanaosemwa kuwa wawekezaji nchini toka mataifa ya Uarabuni. Mara...
7 Reactions
28 Replies
1K Views
Kwa siku kadhaa sasa Tanzania imekuwa mwenyeji wa mikutano kadhaa mkoani Arusha katika Hotel wa "NGURDOTO" Mkutano wa Wakuu wa Nchi za Jumuiya ya Afrika Mashariki (EAC) unaojadili masuala ya...
2 Reactions
23 Replies
2K Views
Unaweza kuta mtu umetekwa kwa amani kabisa, wamekupiga wamekung'oa kucha zako vizuri Umepambana mwenyewe, umeokotwa baadae ukiwa katika hali yako mbaya vizuri kabisa Siasa zinaanzia hapo, watu...
9 Reactions
24 Replies
652 Views
Mwenyekiti wa Umoja wa Vijana wa Chama Cha Mapinduzi Taifa Komredi Mohammed Ali Kawaida (MCC) ameongoza kikao cha Kamati ya Utekelezaji ya Baraza kuu la Umoja wa Vijana wa CCM Taifa tarehe 05...
0 Reactions
0 Replies
215 Views
Habari zenu wanaJF wenzangu, ama baada ya salam zangu kwenu, ningependa kuendelea na mada yangu nzuri hapo chini. Wakuu kwa wale wajuzi wenzangu wa mambo mbali mbali yanayoendelea duniani...
1 Reactions
35 Replies
1K Views
Hali ilivyo sasa ndani ya Chadem ni mbaya haijawahi kutokea..........kutoaminiana miongoni mwa viongozi wa juu kumetamalaki...... Lisu amekuwa akisikika kwenye mikutano yake ya siasa akiwatuhumu...
1 Reactions
32 Replies
814 Views
Salaam wakuu, Miaka ya hivi karibuni kumeibuka tabia hii mbaya ya kutumia wananchi wanaokumbwa na matatizo mbalimbali hasa wanaokumbana na mkono wa sheria. Imefika wakati hadi wanamgombania kama...
1 Reactions
1 Replies
305 Views
Mheshimiwa Rais najua ww ni Member wa JF Me naona nimeseme neno moja tu Achana kabisa na wafanyabiashara wa kariakoo, waache wagomeeeee mpaka Yesu akirudi Serikali ishasema inashughulikia Jambo...
11 Reactions
115 Replies
7K Views
There are things that happen in society involving any leader, they always have the appearance of bringing laughter to the heart and not being angry and condemning people to jail! Kuna mfano...
1 Reactions
0 Replies
126 Views
Msigwa kwa muda mrefu sana amekuwa na msimamo mkali dhidi ya CCM, msimamo ambao ulitokana na orodha ndefu ya mambo ambayo hakuyapenda sana ndani ya CCM, pamoja na watu wenyewe wa CCM. Lakini sasa...
8 Reactions
34 Replies
1K Views
Mheshimiwa Askofu Dr. Josephat Mathias Gwajima ni moja kati ya watu wachache sana kuwahi kutokea Duniani. Mheshimiwa huyu ambaye pia ni mbunge wa Kawe jimbo lilipo jijini Dar es Salaam, amekuwa...
1 Reactions
20 Replies
773 Views
Wakuu kwema, Huu mtindo mpya wa CHADEMA kuchangia hela watu wenye kesi mbalimbali unaenda kuota mizizi Huyu kijana kwa mfano aliyechoma picha ya Raisi, , awali huyu dogo me nilikuwa nifatilia...
2 Reactions
17 Replies
459 Views
Baada ya Mchungaji Peter Msigwa kushindwa uchaguzi wa kanda ya Nyasa alisema yeye hakufuata uongozi CHADEMA bali kuwatumikia wananchi hata akiitwa sehemu yoyote atafanyakazi ya kutumikia...
5 Reactions
51 Replies
2K Views
Ndugu zangu Maaskofu, Masheikh na Wanahabari, hoja za mh. Mbunge Mpina kuhusu harufu ya rushwa katika mchakato wa uagizaji sukari mmezielewa? Kwa taarifa zilizopo ni kwamba, katika Nchi za Afrika...
3 Reactions
11 Replies
333 Views
Back
Top Bottom