Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!
Kijana unaeishinda humuJF ukisifia kwa mapambio mbalimbali, hiyo sio tiketi ya wewe kupata nafasi yoyote serikalini au uongozi wowote serikalini, hizi ndio sifa kuu mbili zitakazoweshesha kukwaa...
2 Reactions
4 Replies
291 Views
Waziri wa ardhi nimekusikia ukizungumza na wanachi wa Chamakweza. Umeahidi kuwa utatuma tume yako.Naona kama ni kupoteza pesa za walipa kodi kwani shida hiyo ni Tanzania nzima. Migogoro ya...
0 Reactions
0 Replies
199 Views
Maswali chechefu: 1. Je, kwanini Mhe Rais Samia jana aliisifu TPA na kuimwagia minyama kwa "Gawio kubwa ambalo halikuwepo huko nyuma" baada ya kupokea Gawio la Tshs 153.9 toka kwa Mkurugenzi...
4 Reactions
14 Replies
709 Views
Mwenyekiti wa Chadema akiwa mkutanoni ameelezea jinsi kijana Mwakalebela alivyotekwa na kusafirishwa hadi Arusha na baadae Katavi mpakani na Kongo Mbowe amesema watekaji walimuuliza Sativa...
11 Reactions
87 Replies
2K Views
Friends, ladies and gentlemen, ndugu zangu wakusudia kutangaza nia uchaguzi mkuu ujao. Njooni taratibu, njoni pole pole. Pupa si kitu kizuri sana. Vyama vyenu vinawatazama, viongozi wenu na...
2 Reactions
5 Replies
233 Views
Ndugu zangu, Kwa miaka zaidi ya 50 Sasa, Tanzania (Zamani Tanganyika) tumekuwa na taratibu za kuweka picha za marais wetu maofisini (Binafsi na zà umma). Naomba kujua kama ni lazima au ni...
11 Reactions
181 Replies
48K Views
Tangazo la TPA la ufafanuzi linasema wafanyakazi watakaobaki TPA watakwenda kufanya kazi bandari nyingine nje ya DSm. Kwa kauli hii maana yake hakuna mfanyakazi wa TPA atakayebaki bandari ya DSM...
6 Reactions
77 Replies
5K Views
08 May 2024 Mpwapwa, Dodoma TUNDU LISSU LAZIMA TUPIGE VITA RUSHWA, CCM WAMETUMIA RUSHWA TANGU 2015 KUCHUKUA VIONGOZI CHADEMA WAUNGE JUHUDI Source : the chanzo Ndiyo maana wamekuwa wakali baada...
1 Reactions
16 Replies
5K Views
- SOKO LA BWILINGU NI FURSA KWA KILA MTU AELEZA MHE. MBUNGE RIDHIWANI KIKWETE Naibu Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora ambaye pia ni Mbunge wa Chalinze...
0 Reactions
3 Replies
422 Views
Ndugu zangu Watanzania, Habari ni kuwa aliyekuwa mfanyabiashara wa kimataifa na kiongozi na mdhamini wa klabu ya Yanga anatarajiwa kuzikwa leo muda wa saa Tisa Frorida Marekani. Hiyo ni kwa...
10 Reactions
107 Replies
4K Views
Eng. Japhet Matarra ni kada kindakindaki wa CHADEMA ambaye kwa sasa yuko gerezani Karanga Moshi kwa zaidi ya mwaka mmoja baada ya kuhukumiwa kwa kufanya makosa ya mtandaoni. Ilikuwa aende jela au...
2 Reactions
43 Replies
2K Views
Waziri wa TAMISEMI, Mohamed Mchengerwa jana alikuwepo katika Viwanja vya Mnazi Mmoja Jijiji Dar es Salam wakati akizindua sare maalum (uniform) na mfumo wa kidijitali (kanzidata) wa Madereva...
8 Reactions
36 Replies
1K Views
Mei 29, 2018, Dkt. Bashiru Ally Kakurwa, aliteuliwa na CCM kuwa Katibu Mkuu cha chama hicho akichukua nafasi ya Abdulrahman Kinana ambaye aliomba kujiuzulu. Baada ya uteuzi huo, Dkt. Bashiru...
6 Reactions
31 Replies
3K Views
Pamoja na yote yanayo semwa juu ya CHADEMA bado Peter Msigwa ni mnufaika kinara wa CHADEMA Jimbo la Iringa ( T ) Huenda Mch Peter Msingwa ndio mwanasiasa toka Upinzani atakayetangazwa mapema...
8 Reactions
60 Replies
3K Views
1. umiliki wa simu kwa watu wenye umri miaka 15+ Tanzania bara= 82.5% Zanzibar= 88.8% 2. Kaya kumiliki nyumba au makazi yao Tanzania bara= 64.5% Zanzibar= 71.3%
0 Reactions
3 Replies
279 Views
Kwa huu ufisadi wa mawaziri na watendaji wengine unaoendelea nchini, ningekuwa Rais ningeukomesha ndani ya siku 100 za mwanzo katika uongozi wangu. Ningetunga sheria ya ufisadi na uhujumu uchumi...
6 Reactions
17 Replies
524 Views
Balozi wa Tanzania nchini Comoro Mhe. Said Othman Yakubu amefanya mazungumzo na Kaimu Balozi wa Afrika Kusini nchini Comoro Bi. Nichola Sabelo alipotembelea Ofisi za Ubalozi, Moroni tarehe 03...
0 Reactions
3 Replies
288 Views
BALAA! TAMKO LA CHADEMA LIMETIKISA VICHWA CCM MBOWE ALIPUKA NA WAKE LEO
0 Reactions
2 Replies
422 Views
Tundu Lissu ameamua kuzira na kwa kiburi cha Mbowe asitarajie chochote kubadilika. Mbowe aliwahi kumtoa Lissu kwenye Uenyekiti wa Kanda ya Kati kwa kumdhalilisha hivi hivi kama Msigwa Lissu...
2 Reactions
34 Replies
1K Views
Mwalimu mmoja ameonekana akifundisha watoto kuimba na kuwatamsisha maneno ya kiitikadi ndani ya darasa Hapa tumefikaje kama taifa ndio tunajenga kizazi gani hiki? Kama ndio haya yanaendelea basi...
3 Reactions
6 Replies
279 Views
Back
Top Bottom