Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!
Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Mhe. Dkt. Doto Biteko, Amemtembelea kada wa Chama cha Mapinduzi (CCM) na Mkuu wa Mkoa mstaafu, Mzee Stephen Mashishanga nyumbani kwake, Mtaa wa Forest...
4 Reactions
25 Replies
2K Views
Wadau, Hivi Balozi wa Tanzania analipwa mshahara (Gross Salary) Shilingi ngapi kwa mwezi ? Na mabalozi wote mishahara yao inafanana au inategemeana na nchi aliyopo? Kuna ndugu yangu ni Balozi...
7 Reactions
97 Replies
26K Views
Hii shati ya Mzee wangu Jakaya Kikwete nimeipenda sana, Mungu aendelee kukutunza Mzee wetu. We all love you. ====== Mjumbe wa Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), Makamu...
14 Reactions
76 Replies
3K Views
Viongozi wa Africa sijui development ya brain zao zilikuwa ni tofauti za binadamu wa kawaida au. Sio Kenya wala Tanzania , angalau Kagame anawazidi by far. Kwa mfano Tanzania tuna deni kubwa la...
4 Reactions
6 Replies
238 Views
Mfanyabiashara wa Tanzania Yusuf Manji anashikiliwa na mamlaka ya kuzuia na kupambana na rushwa nchi Tanzania Takukuru akikabiliwa na tuhuma tatu, baada ya kurejea nchini Tanzania kutoka nje ya...
24 Reactions
214 Replies
20K Views
Mfanyabiashara Yusufali Manji (41) bado anaumwa na anatibiwa katika Hospitali ya Magereza Keko. Hayo yameelezwa leo na Wakili wa Serikali Mwandamizi, Nassoro Katuga, mbele ya Hakimu Mkazi Mkuu...
7 Reactions
161 Replies
17K Views
Wenye kumbukumbu mnakumbuka tokea 2018 kipindi cha vuguvugu la maandamano ya tarehe 26/04/2018 mswiga alimsifia magufuli na ccm hapo nikaanza kupata mashaka Akakamatwa wakati wa kutolewa dhamana...
1 Reactions
4 Replies
284 Views
Friends and Our Enemies, Bila shaka madai ya Mchungaji Msigwa kuondoka na Kutimkia CCM ni Yale Yale ya siku zote ambayo makada wengine wamekuwa wanayatoa pindi tuh wanapoamua kumwaga...
4 Reactions
12 Replies
447 Views
Mpendwa MCH. Peter Msigwa, Umekuwa mwanachama mtiifu Kama siyo mwaminifu nionavyo Mimi katika chama chako tangu umejiunga nacho 2000+ vita ulipigana , vita vile vya heri na fitina ulivifaulu...
3 Reactions
29 Replies
1K Views
Msigwa sio wa kwanza kuondoka CHADEMA kuhamia CCM. Wapo waliotangulia kabla yake, kwa hiyo tunasema amefuata nyayo za wenzake akina Waitara, Silinde na wengine wengi. Kwa upande wa CHADEMA hili ni...
1 Reactions
0 Replies
204 Views
Heshima sana wanajamvi. Mchg Msigwa kahamia CCM baada ya kushindwa nafasi ya Mwenyekiti wa Kanda na Mh Sugu. Mchg Msigwa kaenda CCM baada ya kushindwa na kukubali kushindwa,lakini siku mbili...
7 Reactions
16 Replies
552 Views
Still dunia ina big brothers, Rutto alipokaribishwa meza kuu na NATO akasahau wachina wamewekeza mapesa mengi, na Russia inapigana na NATO.. Rais wa sasa wa South Africa ni pro western. Dola...
1 Reactions
3 Replies
230 Views
Ile kauli ya kusema pesa ndo kila kitu hakika wahenga hawakukosea kwani hili jambo kwenye siasa zetu za bongo limekuwa na nafasi kubwa mno Viongozi na makada mbalimbali huingia sana katika huu...
0 Reactions
1 Replies
148 Views
Yusuph Manji amepoteza sifa ya kuwa Diwani wa kata ya Mbagala Kuu baada ya kushindwa kuhudhuria vikao vya madiwani. ======= Dar es Salaam. Mfanyabiashara Yusuf Manji amepoteza sifa ya kuwa...
4 Reactions
88 Replies
12K Views
Kwema Wakuu! Lisu anasubiri nini? Kwa huanzishi chama watu tujiunge. Bila shaka itakuwa CCM Z kama Gen Z kwa maana kwa jinsi niwaonavyo watanzania karibia wote DNA zao ni CCM ila tunataka...
2 Reactions
4 Replies
196 Views
Habari wana Jamvi. Nathubutu kusema Chama chenye siasa safi Africa ni Ccm. Vyama vingi vilivyopigania Uhuru vimekufa ni Ccm pekee imebakia. Hii ni kwasababu ya Sera zake Bora na Imara Umahili...
0 Reactions
10 Replies
276 Views
Kufuatia Wanachama Waandamizi wa Chadema kuendelea kukimbia chama hicho na kupelekea CCM, Chadema imebakia kujifariji Kwa madai yenye maumivu ndani eti Upinzani sio watu ni Ideology. Kwa miaka ya...
0 Reactions
2 Replies
205 Views
Katika Mkutano wa wake na Waandishi wa Habari leo 14/6/2024, wakati akitoa uthibitisho alioambiwa aupeleke na Spika wa Bunge ndani ya siku 10, Luhaga Mpina amesema; "Hapakuwa na usimamizi wa bei...
23 Reactions
91 Replies
5K Views
Maduka Kariakoo yamefunguliwa wananchi wanachapa KAZI. Asanteni
10 Reactions
42 Replies
1K Views
Mwenyekiti wa Chadema Kanda ya Kaskazini Mh Godbless Lema amesema mkuu wa wilaya Mh Albert Msando Leo amehudhuria kwenye mkutano Wao wa hadhara Handeni mjini Siasa Siyo uadui Lema ametoa taarifa...
1 Reactions
6 Replies
577 Views
Back
Top Bottom