Ni dhahiri kuna hali ya kukata tamaa kabisa kwa muungwana huyu kuendelea kua mbunge, kuna kitu amehisi mpaka kujikuta na kujiita amekua mbuzi wa kafara.
Hasira na mambo mengi aliyoyahifadhi...
DKT. MWINYI ASHIRIKI KIKAO CHA NEC
Makamu Mwenyekiti wa CCM Zanzibar, Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe. Dkt. Hussein Ali Mwinyi ameshiriki kikao cha kawaida cha...
Upendo ulioje? JPM amlipia Msigwa mil 38 kati ya mil 40.
Taarifa zaidi inakuja
====
Rais wa Tanzania, John Magufuli amemlipia Mbunge wa Iringa Mjini (Chadema), Mchungaji Peter Msigwa faini ya...
"Pamoja na mapungufu ya Hayati Magufuli lakini kuna mazuri pia tulipaswa kuyaendeleza mfano nidhamu kazini, uoga kwa mali ya umma na kuheshimu wananchi"
Mchungaji Peter Msigwa
Mwenyekiti wa...
Ni Msando na Lemma.
Hii ni hatua ya kupongezwa kwa Godbless Lemma, amekiri kwamba siasa sio uadui. Hii pia aliisema Mbowe alipokuwa katika kikao Arusha ambapo alihimiza 4R za Samia za kusameheana...
Siasa ni biashara nzuri sana. Binafsi naipenda. Msigwa baada ya kuona ugumu wa kufanya biashara CHADEMA ameamua kutimkia CCM.
Nadhani wananchi maskini na wanyonge mna la kujifunza hapo.
Ukweli ni kuwa ndg Tulia hajawahi kuwa kipenzi cha wana mbeya kwa kiwango kikubwa
2020 alishinda ubunge kwa heshima ya magufuli, magufuli alikubalika sana mbeya upepo ukawa upande wa Tulia...
KISIWA CHA RUKUBA CHADHAMIRIA KUFUNGUA SEKONDARI YAKE MWAKANI (JANUARI 2025)
Kisiwa cha Rukuba cha Jimbo la Musoma Vijijini kimedhamiria kukamilisha miundombinu ya elimu ya awali ya kukiwezesha...
Mengi mtasikia ndugu zangu lkn kimsingi Chadema ni mali ya Mbowe na chawa wake Lema.
Lema ndio anampangia kila kitu Mbowe, sasa hiv wote wako Tanga, Lissu alipokuwa singida Lema akala kobici tu...
Mbulu Tanzania
https://m.youtube.com/watch?v=uk9uB6KJSR0&pp=QAFIAQ%3D%3D
Makamu mwenyekiti wa CHADEMA bara taifa kamanda Tundu Lissu ametoa angalizo kuwa uchaguzi wa 2024 na uchaguzi mkuu wa...
Nipongeze ubunifu huu wa kipekee ambao umefanywa na R.C Makonda.
sasa ni muhimu ukawekwa utaratibu kwa kila Mkoa kufanya jambo hili ikibidi kwa mwaka mara moja.
zoezi hili lipewe jina la "wiki ya...
Mchungaji Msigwa amehamia CCM huku Rufaa yake Chadema ikiwa haijasikilizwa
Halima Mdee na wenzake Rufaa zao zilisikilizwa baada ya Miaka 2
Nyalandu hadi anahama Rufaa yake ilikuwa haijasikilizwa...
#Tetemeko2025.
Lemma ni moja ya wanasiasa wapenda maendeleo, na anakubalika na wananchi wa itikadi zote. Hata mimi namkubali, na ninamuunga mkono.
Mara baada ya Msigwa kushindwa uenyekiti Nyasa...
Tanzania ina watu milion 62 na wengi NI wasomi na wenye Uelewa kuanzia vyombo vya dola mahakama na Bunge pamoja taasisi nyingine za kidini Leo hii mbunge anaeleza ukweli na kutoa ushahidi tena wa...
Baada ya kufanikiwa kwa kiasi kwenye maandamano ya kuzuia muswada wa sheria ya fedha uliopitishwa na wabunge usisainiwe na Mh Rais,Wakenya sasa wanakuja na namna nyingine ya kuwatambulisha wezi wa...
Kule Sudan, Omari Bashir aling'olewa na maandamani ambayo hayakuwa na hayakuanzishwa na vyama vya upinzani.
Wale Gen Z sio wana siasa, ila muziki wao sio wa kitoto.
Sasa Bongo tumekaa nyuma ya...
Mwenyekiti wa CHADEMA Mbowe amesema wale wanaodhani ana mgogoro na Tundu Antipas Lissu na wanasema CHADEMA imepasuka Watasubiri sana.
Mbowe amesema Chopa inaanza operation Jimbo la Karatu na...
Ni ukweli wa kimantiki, wageni wahamiaji wanaenda mataifa ya ugenini kwenda kutafuta maisha, siyo kwaajili ya kwenda kuyajenga mataifa hayo waliohania wala kuwaebdeleza wananchi wenyeji.
Ndiyo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.