Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!
Mtu upigwe risasi kwenye taya na haionyeshi ilikotokea wala haikutolewa mwiliNI uweze kusema. Ati Sativa imewezekana?! mtu alikuwa ametwa, hakwa kwenye mtandao ila alikuwa anafatilia washikaji...
0 Reactions
22 Replies
1K Views
Namshauri Mhe. Mpina kwa kuwa Mhimili wa Bunge umechukua hatua dhidi yake kwa uamuzi wa kutokuhudhuria vikao 15 ni vema yeye akakaa kimya na akimaliza adhabu yake yeye atarudi Bungeni na...
0 Reactions
28 Replies
850 Views
Mheshimiwa Mpina amesema amesoma Vitabu Vyote vya Dini kuhusu habari za Yesu Kristo, Mtume Muhammad saw, Daudi na Daniel hivyo yuko Imara kweli kweli na hajawahi kushindwa Mpina amesema hakunaga...
6 Reactions
26 Replies
758 Views
Mahakama ya Kisutu leo Machi10, inatarajia kutoa hukumu kwa Viongozi wa CHADEMA wanaokabiliwa na kesi ya uchochezi Mahakamani hapo, Viongozi hao ni pamoja na Mwenyekiti CHADEMA, Freeman Mbowe, pia...
50 Reactions
1K Replies
147K Views
https://youtu.be/MJapGEmItUY?si=-VeOmElPPZE7ppPd Yani unaharibu mali za watu ,unachoma ndege ,unachoma ofisi za bunge ,nk Kwa sababu Kodi? Kwa namna navyo waona si Dhani kama ni afya kuwa nao...
1 Reactions
11 Replies
286 Views
Dunia kwa sasa inhitaji watu wenye uwezo kama Tundu Lissu. Dunia kwa sasa inahitaji watu wenye akili kama Tundu Lissu Tanzania kwa sasa inatmhitaji watu wenye uwezo wa kufikiri na kuchanganua...
22 Reactions
113 Replies
2K Views
Baada ya kushindwa kwenye uchaguzi wa Kanda ndugu MSIGWA ameanza kutoka vimanenomaneno na vyomba vya habari kuhusu kuhujumiwa. WEWE MSIGWA CHADEMA WANAKUJUA kwamba WEWE ni kijana wa mwendazake...
4 Reactions
10 Replies
534 Views
Ngoja tuone Mbunge ( CCM) anamshtaki mahakamani mteule wa Rais ( mwenyekiti wa CCM) Hapa Mpina na Bashe wanaweza kufungua Ukurasa mpya wa Siasa za Bongo Dominica Njema 😀😀
7 Reactions
12 Replies
363 Views
SIRI za baadhi ya vigogo Serikalini zilizofichwa kwa muda mrefu sasa zimeanza kuibuka huku kukiwa na taarifa zinazodai kuwa kundi la mahasimu wa kisiasa wa vigogo hao limepanga kutumia siri hizo...
14 Reactions
91 Replies
4K Views
Baada ya waziri wa Uwekezaji Prof Mkumbo kukiri kuwa mkuu wa mkoa wa Arusha Paul Makonda ni akili kubwa, safari hii waziri wa Tamisemi Mh Mchengerwa nae amekiri kuwa Paul Makonda ni mkuu wa mkoa...
10 Reactions
49 Replies
1K Views
Kinachonishangaza atabadilishwaje Wakati NEC ya USA imeshampitisha? Yaani Midahalo mmoja tu the president Chali 😂😂 Nawatakieni sabato njema
7 Reactions
33 Replies
883 Views
"Kwenye suala la Bunge, Bunge letu ni kubwa ukilinganisha na wafadhili wetu (Marekani inatufadhili, India inatufadhili nk), sisi Tanzania tuna watu milioni 60+, Marekani ina watu milioni 350+...
1 Reactions
13 Replies
372 Views
Malawi, Kenya na Zambia kuna umasikini mkubwa sana sikatia hilo, ila raia walisha jitambua miaka mingi ilio pita, hakuna boya huko, hii ndo inawapa ugumu watawala wa hizo nchi, Tanzania sasa tuna...
51 Reactions
142 Replies
7K Views
Rais Ruto ameshauri iundwe Kamati ya Watu 100 itakayoweka Mpango wa namna ya kulipa deni la Taifa linalolielemea Taifa Aidha Kamati itatengeneza Mpango wa Ajira Kwa vijana wote Rais Ruto amesema...
10 Reactions
49 Replies
2K Views
Kati ya Mambo ambayo yatakuja kukiondoa Chama cha Mapinduzi madarakani ni namna ambavyo hawagawi kwa usawa keki ya taifa. Siku Watanzania wakipata akili na kusema kwa nini hapa kwetu tunachangia...
11 Reactions
34 Replies
1K Views
Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Ndugu Dkt. Samia Suluhu Hassan, akiongoza Kikao cha Halmashauri Kuu ya CCM Taifa (NEC), kilichokutana jijini Dar...
2 Reactions
19 Replies
643 Views
Mbunge wa Iringa mjini mh Jesca ameitaka serikali kupiga marufuku Waigizaji wa Kiume kuigiza kama Wanawake Jesca amesema Wanaume hawa wakishazoea kuigiza kama Wanawake wanaweza kujisahau na...
6 Reactions
26 Replies
1K Views
Malawi kuna Umasikini wa kutisha sana ile nchi, na ukifika unaona umasikini kwa macho kabisa, Ila kitu kimoja kutoka kwao sio wapumbavu kama sisi, ndio maana Democrasia imeshamiri sana Malawi...
33 Reactions
67 Replies
2K Views
Luhaga Mpina safari hii katukana Bunge zima na wabunge wote, na pia karudia kumtukana Hussein Bashe. Kanuni zinataka apewe adhabu kali sana mfanano wa nyongo na siki. Adhabu hiyo ni kukosa vikao...
0 Reactions
27 Replies
768 Views
Katika kesi inayotarajiwa kufunguliwa na Mpina, natarajia kuona wanasheria wengi nchi hii mkijitokeza (kwa kujitolea) kumsaidia ili kuonesha uchungu ktk kuipigania haki hapa nchini. Wanasheria...
1 Reactions
4 Replies
389 Views
Back
Top Bottom