Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!
Kwamba MTU PEKEE WA KUMUAMINI KATIKA STRUGGLE NI WEWE MWENYEWE , hii ni kwa vile wengi tuliowaamini Wametusaliti . Hii kauli ingetolewa enzi za mitume basi bila shaka huyu kijana leo tungekuwa...
11 Reactions
40 Replies
4K Views
Wakuu, Luhaga Mpina alipewa adhabu na Bunge Juni 24, 2024 baada ya kwenda kinyume kwa kuwasilisha taarifa yake kwa wananchi mara baada ya kuikabidhi katika Kamaati ya Bunge. Zaidi soma - Bunge...
43 Reactions
170 Replies
6K Views
Naunga mkono hoja, Dkt. Benson Bagonza ana hoja nzito, asikilizwe.
8 Reactions
13 Replies
503 Views
Kwakuwa Mchg Msigwa alitaka nafasi ya Mwenyekiti Taifa CHADEMA igombewe na wagombea wawili. Kwakuwa sasa Mchg Msigwa katimkia CCM naamini atapambana ili nafasi ya Mwenyekiti Taifa CCM wawepo...
8 Reactions
9 Replies
553 Views
JUMAMOSI , 17TH NOV , 2018 NA MWANDISHI WETU Meya wa Manispaa ya Iringa Mjini Alex Kimbe, amefunguka kuwa amekuwa akijikuta na kesi mbalimbali mahakamani kwa kile alichokidai kuwa ni hujuma...
15 Reactions
185 Replies
26K Views
Nitangulie kutanguliza pole zangu kwa Waziri wa Ardhi Slaa kwa kazi ngumu ya kutatua migogoro ya Ardhi Mfano kuna huu mgogoro wa ardhi unatisha Mtu anayedhaniwa kafa na Kufufuka Arumeru nduguye...
2 Reactions
9 Replies
572 Views
KARIBU MHE BABA MCHUNGAJI PETER MSIGWA CCM. Na Elius Ndabila 0768239284 Nimeona mjadala mkubwa juu ya ujio wa Mhe Baba Mchungaji Peter Msigwa CCM. Wapo wanaofurahia ujio huo na wapo wanaoponda...
2 Reactions
22 Replies
1K Views
Wapo manguli wa siasa walifanya kazi kubwa kukijenga chama lakini mwisho walihama vyama na wengine kung'olewa na mwisho walionekana ni wasaliti tu chama kilishinda vita hii. Kuhama kwa Msigwa...
2 Reactions
9 Replies
463 Views
Kwa wale wanaojua English. Kama hujui English tafuta mtu anayejua English akusafsirie tafadhali.
0 Reactions
1 Replies
169 Views
Kwa Tanzania kama unataka kuendesha maisha yako kupitia siasa unatakiwa uwe ndani ya CCM kwani ndio chama kilichoshika dola. Ukiwa ndani ya CCM ni rahisi kupata nafasi (cheo) ndani ya chama au...
5 Reactions
6 Replies
321 Views
Habari wanajukwaa, Kufuatia uchaguzi kuisha na CHADEMA kuambulia Mbunge mmoja huko Nkasi Kaskazini, Aida Khenan aliyeibuka mshindi kwa kumbwaga mbunge machachari wa CCM Ally kesi aliyeliongoza...
7 Reactions
112 Replies
12K Views
Habari . Wote tumeshuhudia CHADEMA ikipukutika kutoka kuwa na wabunge zaidi ya 100 mwaka 2015 hadi kubaki na mbunge mmoja wa kuchaguliwa mwaka 2020!! Nyuma ya kupukutika huko kwa CHADEMA kuna...
30 Reactions
243 Replies
20K Views
Hakuna Kutumia Simu -Hakuna kutoka nje ya nchi -Hakuna mtu kuitumia la KIM kama jina lake. Hakuna kuangalia movie 🔶Ongeza kingine unachokijua kuhusu North Korea.
6 Reactions
15 Replies
705 Views
Mbunge wa zamani wa Arusha mjini aliyetimkia Ulaya baada ya maisha kumpiga kwa kuzidiwa na madeni Godbless Lema amefichua mbinu chafu za kutaka kumsingizia kila kitu na kumtafutia lawama aliyekuwa...
41 Reactions
225 Replies
24K Views
Dar es Salaam. Viongozi na wanachama wa Umoja wa Wanafunzi wa Vyuo Vikuu na Vyuo vya Kati wa Chadema (Chaso) wa Chuo kikuu cha Dar es Salaam wamejiunga na chama cha ACT wazalendo. Jumla ya...
1 Reactions
25 Replies
3K Views
Hivi karibuni imezuka tabia ya kukwepa majukumu ambayo inapaswa kupingwa kwa hali na mali ndani ya nchi yetu. Vyama vya upinzani hasa Chadema kila wanapopata matatizo kisingizio chao ni hayati...
0 Reactions
9 Replies
788 Views
Ni ukomavu, ujasiri na utashi wa kipekee sana kisiasa. Ni uamuzi mgumu na mzito sana kwa mwanasiasa. Kuachana na mazingira ambayo uliishi na watu ulo wazoea vizuri sana, na kuungana na watu wapya...
1 Reactions
3 Replies
163 Views
Kuwawachia Watanzania waendeshe nashirika hayo makubwa ni ujinga uliokithiri. Hivi hatuelewi mashirika hayo yaliuliwa na kina nani mpaka kuwa chali? Tumeona mwendokasi imetushinda kuendesha na...
35 Reactions
166 Replies
5K Views
Wanabodi, Naendelea na zile makala zangu za Kwa Maslahi ya Taifa. Declaration of Interest. Japo mimi ni mwanachama wa chama cha siasa, lakini bado naweza kutoa ushauri wa maana hata kwa chama...
61 Reactions
309 Replies
26K Views
Wahenga walisema. Umdhaniaye siye kumbe ndiye, na umdhaniaye ndiye kumbe siye Hawa wafuatao watu walikuwa wakiwaona wapinzani kwelikweli huku Zitto akitukanwa kuwa ni CCM 1. Petrobas Katambi 2...
2 Reactions
11 Replies
454 Views
Back
Top Bottom