Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!
Kuna mtizamo hasi Kwa watanzania waishio mijini kwamba wananchi waishio Vijijini hawajui kama CCM haifai tena kuendelea kuongoza Tanzania. Watu wengi hudhani kwamba wananchi wa Vijijini ndiyo...
6 Reactions
11 Replies
457 Views
Nakumbuka alianzisha utaratibu kwa kusema ukimvaa basi Chawa wake watakuvaa. Hivyo anao hao chawa yaani viumbe wachafu. Majuzi kasema yeye ni "Chura kiziwi" hivyo hasikii kelele za nje. Sasa kazi...
5 Reactions
21 Replies
710 Views
Mahali tulipofikia Tanzania, tunahitaji mchango wa kila taasisi na kila mwananchi kulifanya Taifa hili liwe lenye kitoa matumaini kwa vijana wetu wa sasa na vizazi vijavyo. Moja ya taasisi...
6 Reactions
21 Replies
529 Views
Ni kwasababu ya makusudi, haja na nia yake thabiti, ya wazi na njema ya kutaka kuibadili tanzania kiuchumi, kijamii na kusiasa? Au ni kwasababu ya umadhubuti wa sera, mipango, mikakati, jitihada...
-15 Reactions
247 Replies
4K Views
Kwa uzoefu wangu najua kabisa kwenye mkutano wa Mabalozi na Serikali ni lazima Mabalozi wataongozana na Wataalamu wao wa kila sekta yenye uwekezaji. Nashauri Serikali iwe na Wataalamu wa Kodi...
0 Reactions
1 Replies
146 Views
SPIKA WA BUNGE AKUTANA NA MKURUGENZI MKUU WA NSSF Na MWANDISHI WETU, Dodoma. Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Tulia Ackson, amekutana na kufanya mazungumzo na Bw...
4 Reactions
26 Replies
780 Views
Kitu kitakachokumbukwa sana kwenye bunge la bajeti mwaka huu 2024 utakuwa mjadala wa sukari kati ya Mpina na Bashe. Dkt. Tulia ameuliza swali la msingi sana kuhusu muda ambao viwanda vyetu...
3 Reactions
21 Replies
1K Views
Rais Samia alipoingia madarakani mwaka 2021 katika hotuba zake za mwanzoni kabisa aliwahi kusema kuwa yeye na Magufuli ni kitu kimoja. Nakumbuka siku ile niliposikia matamshi hayo nilipatwa na...
3 Reactions
17 Replies
450 Views
Kigogo huyo alikuwa anashitakiwa Kwa kosa la kuwa na Mali ambazo Hazina maelezo karibia Bilioni 4. Mahakama Kuu imemuachia huru lakini akatiwa mbaroni tena Kwa DPP kukata Rufaa. My Take Mwenye...
3 Reactions
34 Replies
1K Views
Nawaasalimu Kwa Nina la jamhuri ya muungano wa Tanzania!!!!!! Naomba niende Moja Kwa Moja kwenye mada , niiombe serikali yeti tukufu mosi iunde tume ya usaili kwenye ajira hasta kazi za wakuu...
2 Reactions
3 Replies
201 Views
Salaam, Shalom!! Sina ugomvi binafsi na Ndugu Mwigulu, ugomvi wangu ni juu ya Elimu ya Uchumi na maamuzi ya mtu huyu mwenye kibri ajiitaye msomi kuliko wasomi wengine. HIZI HAPA FAIDA ZA...
8 Reactions
43 Replies
3K Views
Wakuu narudia tena, mwaka 2008 aliyekuwa waziri mkuu mchapa kazi wa wakati huo Edward Lowassa aliundiwa zengwe na wabunge wahuni akina Arison Mwakiembe. Spika wa wakati huo Samweli sitta bila...
1 Reactions
13 Replies
412 Views
Kama ilivyokuwa kwa Lissu, Sativa kupitia mtandao wa X amekuwa mkosoaji mkubwa wa watawala. Mashetani, kama ilivyokuwa kwa Lisu, wakaona kumwua Sativa ndiyo suluhisho la wao kutokuendelea...
4 Reactions
9 Replies
540 Views
Nawapeni Tu ushauri wale ambao wanapenda kukosoa kwa kutumia lugha ya Kiswahili wawe waangalifu sana Nawatakieni Sabato Njema 😀
2 Reactions
3 Replies
200 Views
Siyo siri, Inaonekana Samia ameshauriwa au amejishauri kuwa na yeye ageze mambo ya Magufuli ili kutishatisha watu. Inavyoonekana hali ya kisiasa na kiuchumi nchini imewasukuma kuamini kuwa...
4 Reactions
23 Replies
721 Views
Waziri wa Maji, Mhe. Jumaa Aweso (Mb) amekutana na kufaya mazungumzo na Mkurugenzi Mtendaji wa Taasisi ya MO Dewji, Imran Sherali ambaye ameambatana na Mbunge wa Singida Kaskazini, Mhe. Ighondo...
0 Reactions
5 Replies
384 Views
Wanachama wa chama cha mapinduzi, wilaya ya Hai, huko Kilimanjaro, wameshinda ofisi ya chama Wilaya, wakimtafuta Mwenyekiti wao wa Chama Wilaya, siku ya 5 Sasa haonekani. Mwenye taarifa za...
5 Reactions
93 Replies
6K Views
Umofia Kwenu Wanajamvi. Labda niwe wa kwanza kutupia kete yangu kwa mama Samia Suluhu kuwa Raisi mwanamke wa Kwanza huko visiwani mwaka 2020. Najua itaonekana kama ni kipindi kirefu sana na leo...
1 Reactions
77 Replies
8K Views
Back
Top Bottom