Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!
Wakati hapa Tanzania Watu wanajadili kutekwa Kwa Mwakalebela huko Ubungo na kukutwa Katavi ametupwa huko Kenya nako hakuko poa Naibu Rais mh Gachagua amewalaani Polisi waliomteka mtoto wa...
2 Reactions
7 Replies
405 Views
Waziri Dotto Biteko ambaye pia ni Naibu Waziri mMkuu ameituliza sana Wizara ya Nishati iliyokuwa imeharibiwa vibaya kwa ufisadi na January Makamba. Foleni za kugombea mafuta hazionekani tena pia...
5 Reactions
22 Replies
1K Views
Tukitaka kuwa wakweli kwa nafsi zetu, Bunge la Tanzania la sasa halina faida wala msaada kwa Watanzania. Nina hakika hata kama lisingekuwepo, hakuna ambacho kingebadilika. Hili ni Bunge ambalo...
10 Reactions
44 Replies
891 Views
Naomba niende Moja Kwa Moja kama kichwa Cha habar kinavyojieleza,Kuna MIKOPO hii ya kwenye mtandao,hasa unapotuma Hela pale unapo pungukiwa basi waanakuboost,ni jambo jema shida inakuja hasa pale...
0 Reactions
0 Replies
207 Views
Kwa nature ya watanzania ni ngumu sana kufanikisha lengo lako la kubadili mambo unayoona si sawa kwenye serikali. Tofauti na Kenya ambapo wana umoja unaounganishwa na ukabila na factors zingine...
9 Reactions
24 Replies
557 Views
Serikali imesema kuwa mwaka 2017 kwa kushirikiana na wadau mbalimbali wa biashara, ilitoa mwongozo wa pamoja wenye dhima ya kuunganisha tozo na kodi mbalimbali kwa nia ya kupunguza wingi wa tozo...
0 Reactions
1 Replies
307 Views
Salaam Mama Rais Samia. Wakati yalipoanza matukio ya utekaji kipindi cha Serikali ya awamu ya 5; yalikuwa ni matukio mageni. Walakini kama vile hayataki yakawa mazoea kabla ya kuota mizizi...
0 Reactions
2 Replies
524 Views
Baada ya kifo cha Magufuli Zanzibar imekuwa na mabadiliko makubwa kiuchumi, barabara zumepigwa lami nyingi sana. Hawajaanza kuchimba mafuta, zile pesa wamezitoa wapi? Ji ukweli Samia kuna namna...
4 Reactions
14 Replies
579 Views
Ukiwa Mkuu wa mkoa ukijishusha, cheo hakiondoki Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI) Mohamed Mchengerwa amesema hapendezwi na wakuu wa Mikoa nchini...
4 Reactions
35 Replies
765 Views
Mara zote Huwa nasema Demokrasia haifai kabisa Kwa Nchi maskini na Zenye watu wajinga na wapuuzi ambao hawako tayari kushauriana Bali wanajali matumizi ya Nguvu zaidi. Sasa Kwa hiki...
-2 Reactions
155 Replies
3K Views
Hebu tuwe wakweli ndugu zangu watanzania, ni kweli hakuna jema linalofanywa na Serikali yetu? Mbona asilimia kubwa humu tunapenda kulaumu sana. Sijasema viongozi wetu ni malaika hapana, lakini ni...
6 Reactions
22 Replies
485 Views
Habari wakuu! Huenda ulikuwa mgomo wa siku tatu. Huenda siasa imeingilia suala hili Huenda pumzi imekata. Wachambuzi wa masuala ya migomo na maandamano wanaeleza kuwa mgomo huu wa wakariakoo...
4 Reactions
24 Replies
793 Views
The government is always there for welfare maximization but not profit maximization. Sasa kwa nini serikali huwa haifikiri kuwa na bank yake ya biashara ili wananchi wawese kuinjoy welfare hiyo...
3 Reactions
17 Replies
371 Views
Nilisiliza maelezo ya Waziri wa Fedha, Mwigulu Nchemba Bungeni kuhusu mikopo umiza na wanaofanya biashara ya kukopesha bila leseni, na pia nimesoma tangazo la Benk Kuu(BoT) la tarehe 13/05/2024...
3 Reactions
31 Replies
1K Views
Ukifika Zanzibar na kujitambulisha wewe ni mhubiri au muumini thabiti wa dini fulani (tofauti na dini inayotawala zaidi pale Zanzibar) umekuja kwa shughuli ya kueneza habari njema kwa watu wote...
36 Reactions
94 Replies
9K Views
Imeandikwa na Boniface Jacob 1. Kabla ya mgomo Wafanyabiashara wamekaa vikao zaidi ya 10 na mamlaka ya mapato TRA, hawakupata majibu. 2. Kabla ya mgomo Wafanyabiashara wamekaa vikao na serikali...
7 Reactions
17 Replies
1K Views
Nitoe wito Kwa Viongozi wa Serikali wasihamgaike na hao wafanyabiashara wanaotumika Kisiasa. Wacheni wafunge biashara Kwa sababu njaa itawarudisha sokoni bila hata Nguvu. Huwezi ukajua na madai...
3 Reactions
76 Replies
2K Views
Kama Mtanzania Mzalendo Ungependa Kumshauri Nini Muheshimiwa Hamad Masauni. Kuhusu Maswala Ya Utekaji Na Ukatili Ndani Ya Nchi?
0 Reactions
0 Replies
112 Views
Huyu ni miongoni mwa wale waliokuwa wanafaidi matunda ya nchi kwenye utawala wa Awamu ya 5, ni mmoja wa wale viongozi wa ngazi ya chini waliokuwa na Kiburi kilichopitiliza , inadaiwa alikuwa na...
28 Reactions
170 Replies
15K Views
Sisi Watanzani ni waoga sana. Inafahamika kuwa ni jukumu la serikali kujua mstakabali wa vijana na kama imeshindwa suwala zima la kujua ustawi wetu na haisemi ni wajibu wetu kuingia barabarani...
11 Reactions
43 Replies
1K Views
Back
Top Bottom