Mara kadhaa nimeongea kwamba mifumo ya Nchi za Magharibi na Demokrasia Yao haiwezi fanya kazi Afrika.Huwezi weka mifumo Yao ya Utawala kwenye jamii ya wajinga, njaa na wasiojitambua.
Matokeo yake...
Jeshi letu limetutenga Watanzania.
Napata mashaka kuamini kama hili ni jeshi la wananchi wa Tanzania ama laah.
Sitaki kuamini kwamba katika jeshi zima hakuna hata mmoja mwenye akili na kuumizwa.
Huyu mtu kwa sasa ni miongoni mwa matajiri wa kutupwa wa kitanzania lakini haijulikani mahali hasa anakopata pesa, anamiliki timu ya soka ya Gwambina na anaihudumia.
Taarifa zetu za uchunguzi...
SOLOMON Stockbrokers Limited
Member of Dar es Salaam Stock Exchange
Authorized Dealer of Government Securities
www.solomon.co.tz
e-Market Report
Reach | Access | Invest™ Thursday, June 27, 2024...
MOJA YA MAMBO YALIYONIFANYA NICHUKIE AWAMU YA TANO NI SUALA LA UTEKAJI. HATA KAMA WAKOSOAJI NI WAPUMBAVU BASI USITUMIKE UPUMBAVU KUKABILIANA NAO.
Anaandika, Robért Heriel
Mtibeli
Suleiman...
Mnamo tarehe 29/03/2021 niliikosoa hadharani hotuba ya kwanza kabisa ya Rais wa JMT Mheshimiwa Samia Suluhu Hassani nilimweleza wazi kwamba sera zake za uchumi hazina tija kwa baadaye na...
Vijana wa Gen Z jana walikuwa wanafuatilia Kwa makini Mdahalo wa Wazee wawili wanaogombea Urais wa Marekani
Gen Z wamesema kasi ya Wazee katika jambo lolote haiwezi kuendana na Kasi ya Dunia ya...
Mkuu wa Jeshi la Polisi Tanzania @tanpol unawezaje kukubali Kituo cha Polisi kutumika na genge la watekaji? Unajisikiaje raia ambaye anapaswa kujiona salama kituoni akiteswa kutoka kituoni...
Nimepata taarifa kuwa ujenzi unaendelea kuokea Mwenge - Tegeta ni Reli itakayotumiwa na Treni za Abiria wa Mjini
Hili ni jambo la kuishukuru sana CCM
Jumaa Mubarak 😄
Kenya ni nchi lege lege, inayo practise jambo ambalo wakati wake bado haujafika, najaribu kujiuliza ilikuwaje taifa hilo likakubali muhimili wake muhimu sana kufanyiwa dhihaka na fedheha namna...
kwa aliyefwatilia mdaharo wa jana D.Trump vs biden atakubaliana na walio wengi kwamba D.Trump is the next President of USA and Tim Scott first (real) black VP of USA.
sasa hivi democrats...
Kwanza, ninaomba kutangaza "Conflict of Interest" katika jambo hili. Ninaandika haya baada ya kuwa mimi ni sehemu ya waathirika wa mfumo wa elimu unaotolewa na Chuo cha Ustawi wa Jamii.
Nilikuwa...
Tanzania ipo katika giza nene la kiutawala. Tatizo kubwa ni Serikali na watawala.
Watanzania tunalalamikia katiba mbaya, lakini ukweli ulio wazi, hata hiyo katiba yenye kasoro nyingi, haifuatwi...
Ndugu zangu Watanzania,
Habari ni kuwa Mheshimiwa Daktari Samia Suluhu Hasssan Mwenyekiti wa CCM Taifa, ambaye pia ndiye Rais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania na Amiri Jeshi Mkuu wa Majeshi...
Maandamano yanayoendelea nchini Kenya, binafsi hayajanivutia kwa sababu hayana lengo linaloeleweka.
Uharibifu unaofanywa na waandamanaji kama kuiba na kupora Mali za watu hii inaonyesha...
Walianza zamani kuonesha wao wako mbele kisiasa walipoitoa KANU madarakani na KANU ikakubaliana na matokeo.
Sisi mpaka sasa CCM Bado inasema yenyewe ikitoka madarakani nchi itaingia vitani...
Salaam, Shalom!!
Ukihesabu ziara alizofanya kiongozi wetu mkuu, Mwanza na Kanda ya ziwa Kwa ujumla, amekwenda mara nyingi zaidi kuliko maeneo mengine,
Wananchi tunajiuliza, katika mikoa 26...
Taasisi ya kuzuia na Kupambana na Rushwa imesema kitendo Cha Wagombea kugawa Fedha, Nguo na Chakula Kwa Wapiga kura kinadhalilisha Utu wa Mtu
Source: Mwanzo Tv Plus
Waione Sugu na Lucas
Mlale...
Wengi wanakosea Kwa kuwafananisha Generation Z na Generation CHAWA
Gen Z ni Vijana Wadogo na Wengi wao wamezaliwa kuanzia 1997
CHAWA ni mchanganyiko Maalum wa Vijana, Wazee na akina mama
Hivyo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.