Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!

KATIBA Mpya

Mchakato wa utafutaji wa Katiba Mpya ya Tanzania (2010-2015) | Inahusisha Hatua zote, kuanzia Muswada, Rasimu hadi Katiba yenyewe
Threads
7.6K
Posts
193.8K
Threads
7.6K
Posts
193.8K

JF Prefixes:

  • Redirect
https://www.youtube.com/live/ml6IdLNv8EM?si=UVsAdtlV1u9Ym-oo. Watoto wadogo wanahifadhi Quran juzuu 30
0 Reactions
Replies
Views
Angalia hii halafu Toa Maoni yako
5 Reactions
17 Replies
434 Views
Kwa namna ambavyo ilani ya uchaguzi ya CCM 2020-2025 ilivyotekelezwa kikamilifu na kwa ufanisi wa zaidi ya 98%, Ni wazi imani na kuaminika kwa serikali sikivu ya CCM kwa wananchi inaweza kua ni...
1 Reactions
24 Replies
395 Views
Hawa Watatu Freeman Mbowe, Joseph Mbilinyi aka Sugu Moto Chini na Jokate aka Kidoti Wana Vipawa na Vipaji bobevu katika Sanaa hivyo kama wasingeingizwa Siasani ni wazi Tanzania ingekuwa zaidi ya...
0 Reactions
5 Replies
188 Views
Haya ni matusi kwa vijana wa Tanzania! Rais Samia ameonyesha dharau kwa vijana! Je ni vijana wangapi wamenufaika katika mpango fake wa BBT kiasi Rais ajisifu na kutaka azifundishe nchi zingine za...
6 Reactions
10 Replies
279 Views
Wanabodi, Kama kawaida yangu, huandika Makala za "Kwa Maslahi ya Taifa". Hii ni makala ya wiki hii, iliyotoka kwenye gazeti la Nipashe la Jumapili ya leo. Karibuni. Pasco
13 Reactions
91 Replies
5K Views
Ni kwamba uchaguzi wa Serikali za Mitaa uliharibiwa na baadhi ya watendaji wa Serikali kiasi kwamba ukaonekana ni hovyo. Ndiyo maana akina Lissu wanapojenga hoja ya mabadiliko kabla ya uchaguzi...
0 Reactions
2 Replies
109 Views
Ni msema kweli, nyeusi ni nyeusi na nyeupe ni nyeupe. Sio habari ya kupapasa kisiasa kunakodumaza taasisi za umma.
2 Reactions
10 Replies
251 Views
Mh . Rais Samia, unaendelea vema,japo chato na mkoa wa Geita,tunalala tukilia usiku na mchana,Kila tukiona hotel imeota majani huko jirani na ziwa Victoria. Katika kipindi hiki cha kuelekea...
0 Reactions
5 Replies
197 Views
Swali dogo hasa kwa Hawa wafuatao; 1. Wizara ya Sheria na katiba. 2. Bunge. 3.Mahakama 4. Vyombo vya ulinzi. 5. Vyombo vya usalama. 6. Vyama vya upinzani 7.Tundu lissu. 8. Magazeti na...
4 Reactions
16 Replies
401 Views
BAADA YA TUZO YA WACHEKESHAJI. SERIKALI NA WADAU IANDAE TUZO ZA WAANDAJI BORA WA MAUDHUI MITANDAONI. Anaandika, Robert Heriel Mtibeli Niwapongeze waandaji wa Tuzo za Wachekeshaji 2025...
9 Reactions
42 Replies
539 Views
Mwl. Nyerere aliwahi kusema, "kama CCM ikimtangaza mgombea wake huyo ndiye atakaekuwa Rais". Hivyo alitaka wagombea wa CCM wajulikane mapema ili watu wapate muda wa kuwajua na kuwajadili kwa muda...
0 Reactions
2 Replies
188 Views
Mnyonge mnyongeni lakini mpeni haki yake. Kwa hotuba Lissu ameshaanza kukomaa. Bado TU kutueleza ni kwa vipi ataondoa umaskini kwa watanzania na vipi ataboresha elimu, afya, kilimo, uchimbaji...
2 Reactions
1 Replies
187 Views
Wakuu, Lissu hapa majuzi aliuliza imekuwaje CCM ina wabunge 6 zaidi huku chadema ikiwa na 1 kwenye nafasi ya ubunge wa viti maalum, lakini pia Lissu huyu huyu alisema wabunge wa viti maalum wawe...
3 Reactions
10 Replies
2K Views
Nahisi huu uzi utafutwa. Napata tu hizo hisia kutokana na mwenendo wa JF miaka hii. Vijana wanamwona Rais anafanya comedy. Imenifikirisha sana. Sisi tunachukulia serious wao wanaona ni comedy.
4 Reactions
5 Replies
194 Views
Ndugu jamaa na marafiki wa Mh Jumaa. Huyu kijana wenu anamuangusha Rais, maji hakuna. Sio kwa walala hoi tu hata wanyama hawapati maji. Ndh Aweso unamuangusha huyu mama yetu. Imagine watu...
3 Reactions
12 Replies
214 Views
Huu ni muda wa kuyafanyia marekebisho baadhi ya masuala ya uongozi. Hawa viti maalumu ambao wengi wao ni ndugu wa viongozi wakubwa hawana mchango wowote kwenye mchakato wa kibunge. Wao...
3 Reactions
6 Replies
221 Views
Anastahili, maana awamu yake ni full comedy
9 Reactions
43 Replies
883 Views
Wanabodi, Hii ni thread ya swali tuu, sio thread ya udini au ukabila. Je, kuna uhusiano wowote kati ya dini/kabila la mtu na ukakamavu ndani ya majeshi yetu nchini Tanzania? Je, kuna uhusiano...
29 Reactions
232 Replies
28K Views
Back
Top Bottom