Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!
Tatizo la nchi yetu lipo kwenye vyombo vya habari na mahakama. Mahakama ikikutana na CCM inakuwa mbendembende. Vyombo vya habari vikiiona CCM vinapatwa na mchecheto.. Matokeo yake nchi sasa...
2 Reactions
18 Replies
468 Views
Hakimu Mgaya aliyekuwa anasikiliza Kesi ya Amina na wenzake 17 kuhusiana na ukahaba amejitoa Kesi imeahirishwa hadi July 2, 2024 Source: Mwananchi
2 Reactions
6 Replies
418 Views
Wakuu salam, Kama utakuwa mtembeleaji wa mtandao wa X utakuwa umeona hili. Accout ya TCRA imeondolewa X, na pia TCRA imeondoa X kwenye list ya matandao ambayo wanapatika! Je, nini kimetokea...
2 Reactions
9 Replies
500 Views
Wanajukwaa habari, Naomba tupeane taarifa za maneo yetu ambayo tayar mgomo umechukua sura mpya Tukiangazia dar Leo siku ya pili Huku mwanza nao wakianza leo Mbeya wao wametisha zaid kwan...
3 Reactions
20 Replies
904 Views
Wanawaza kupora uchaguzi tu siyo tena Maendeleo na ustawi wa wananchi. Bungeni ni janjajanja tu kutunga sheria ovu 🚮🚮 Kodi unalipa mwenyewe lakini uzalendo upangiwe na serikali
0 Reactions
0 Replies
115 Views
Rais wangu wa Tanzania, Wasalaam! Iwapo kweli umechagua kuwa chura kiziwi, itoshe kukushauri kwamba uchague tena na maeneo ya kuwa kiziwi. Sio kile kelele ihahitaji kuwa kiziwi, nashauri hili...
0 Reactions
2 Replies
316 Views
Hadi sasa haieleweki Rais Ruto katika safari yake iliyobatizwa Jina la " Coming to America" alitumia kiasi gani kukodi ndege Wataalam wa usafiri wa anga wanakisia Serikali imetumia Zaidi ya Ksh...
16 Reactions
96 Replies
6K Views
Wakulima na wafugaji ndiyo wanatulisha watanzania wote. Mkulima na mfugaji ndiyo uti wa mgongo wa taifa letu. Tulimsikia waziri wa fedha ambaye ni mchumi wa kiwango cha PhD, katika hotuba yake ya...
6 Reactions
9 Replies
431 Views
Wafanyabiashara wanaandamana kwa kufunga maduka nchi nzima. Kodi hazieleweki. Madeni ya nchi yanazidi kupanda. Viongozi matumizi yako juu sana, ma VX hadi kwa watoto wao. Nyie wanyaturu vipi lakini?
0 Reactions
15 Replies
371 Views
Nimemsikia Mwigulu anasema kwa kujigamba kwamba benki ya dunia inafanya tathimini sasa kama bado tunastahili kuitwa nchi masikini. Hivi ni kweli Mwigulu afahamu hali halisi ya maisha ya Watanzania...
1 Reactions
14 Replies
341 Views
Hebu mjitafakari hasa walimu na watumishi wengine. Tgs A ni shilingi za kitanzania 330000 kwa njinsi maisha yalivyo magumu. Hii pesa mtu unaweza kutoboa kweli? Sukari bei juu, kodi ya pango juu...
4 Reactions
3 Replies
304 Views
Kila siku demokrasia inazidi kujithibitisha kama mfumo wa hovyo sana na haufai kutumika kama mfumo wa utawala. Zamani nchi zilipoongozwa na wafalme nchi ilikuwa ni mali ya mfalme na vizazi vyake...
1 Reactions
5 Replies
240 Views
Mifumo mitatu ya kiutawala watu wengi hawajui au hujitoa ufahamu kwa sababu tu wana AMRI ya kutiisha majeshi yanayowazunguka. Wakisahau kuwa hao wanajeshi wanao walinda sisi wananchi ni ndugu zao...
0 Reactions
0 Replies
145 Views
Mwaka jana mgogoro kati ya serikali na wafanyabiashara ulikuwa mkubwa kiasi cha kumtoa Waziri mkuu ofisini na kuja kusuluhisha. Pamoja na waziri wa fedha Mwigulu kutupiwa lawama zote kwenye...
11 Reactions
38 Replies
3K Views
Uvumilivu hata katika kipindi kigumu Diplomasia ya mazungumzo hata kama tumeumizwa Njia sahihi za kutafuta suluhu hata kama tumekwazika. Hii ndiyo misingi ya kujivunia kwa taifa letu. Wakati...
7 Reactions
31 Replies
731 Views
Huko Kenya katika budget yao iliyosomwa siku moja na sisi kuna vitu vimetangazwa kama ongezeko la kodi nk mambo ambayo yana maumivu kwa raia. Tofauti na tabia zetu, wao ASAP wakaingia barabarani...
16 Reactions
87 Replies
2K Views
Kila nikipita mbele ya ofisi za bunge Dodoma najiuliza nani alimuru lile jengo kujengwa pale. Hakuna parking ya kutosha, magari ya wabunge mengi huishia nje ya uzio Ni uswahilini hakuna utulivu...
24 Reactions
101 Replies
8K Views
Mbunge wa Viti Maalum mh Munde Tambwe Amelia na Bei ya sukari Kuwa kubwa Tanzania huku Malawi, Zambia na Rwanda ikiuzwa Kwa bei rahisi Sana Tambwe amewataka wabunge wawe Wakweli Kwani lazima kuna...
6 Reactions
74 Replies
4K Views
Japo hatua hiyo inaweza kuwa imetokana na sababu nyingine, ukweli kwamba imetokea katika kipindi hiki cha vuguvugu kubwa kuishinikiza serikali iifungie X/Twitter unweza kuyumkinisha kuwa hizi ni...
7 Reactions
19 Replies
803 Views
Back
Top Bottom