Wanabodi,
Mimi ni miongoni mwa wana jf, niliyejibainisha humu kuwa mkweli daima kwa kuusema ukweli daima no matter what, ila ukweli huo wa kusemwa ni unausema ukweli wenye manufaa tuu!, maana...
Akiwaapisha wateule Ikulu, Rais Samia Kwa kinywa chake amekataa article ya kitapeli inayosemwa Tanzania ni ya 3 Kwa wananchi wake kuwa na furaha.
Rais Samia amekataa utafiti huo uchwara na kusema...
Watanzania kama sio kukosa exposure basi ujinga unatutesa sana na kuna siku utakuja kutugharimu sana
Wiki iliyopita nilikuwa Dodoma nimeangalia namna ya Jiji la Dodoma lilivyopangwa na kusema...
Hizi taasisi za mataifa ya Afrika sijui kama zina faida yoyote nyingine zaidi ya kutoa ajira kwa baadhi ya watu!!
Leo ni siku ya 3 tangu maandamano makubwa yaanze nchini Kenya, yanayotishia...
Huyu Dr Mdimwa hajulikani siasa za nchi hii.
Kwzmba ni naibu Katibu Mkuu CCM Zanzibar, bado ni mwanasiasa mchanga sana nchi hii.
Tamko alilotoa kutaka Rais wa Zanzibar Dr Mwinyi aongezewe muda wa...
Mimi ni mtaalamu wa fedha na kwa mawazo yangu tatizo la kodi na TRA linaanza na uratatibu mbaya wa ukusanyaji wa kodi. Kuna kodi za aina mbili kubwa
1. Kodi za mauzo. Kwenye kodi hizi ambazo kwa...
Haya maneno yamenifikirisha sana. Aliyekuwa ananiambia ni Katibu Wizara flan. Na ni sababu nimemuuliza mbona jina langu halipelekwi kwenye teuzi mbalimbali nami tayari nina uzoefu nshafiri sana na...
Sioni faida ya kuwa na wabunge aina hii bungeni,kazi yao kulipwa na kutukana au kudhalilisha wabunge makini ambao wanakwenda kinyume na mafisadi serikalini,kwa hali hii hii nchi itachezewa sana
Wanabodi,
Baada ya kiongozi fulani kututaka tusioridhika na hali ya nyumbani, tuhamie Burundi, mimi ni mmoja wa walioitika wito huo tumehamia Burundi sasa naishi Bujumbura!
Tangu tumehamia hapa...
TRA ni Lazima wawe wanakagua Kariakoo mara Kwa mara Kwa sababu Pako kama Soweto Biashara zinafanyika holela hadi barabarani
Wafanyabiashara Wakubwa ndio wanawamiliki wale wamachinga wanaopanga...
Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Kassim Majaliwa akizungumza na Wafanyabiashara wa Soko Kuu la Kariakoo, leo Mei 17, 2023.
Wafanyabiashara wa Soko Kuu la Kimataifa la...
Ukihutubiwa na Mwenyekiti wa Chama hicho, Freeman Mbowe.
Katika Mkutano huo Mbowe amesisitiza kwamba muda wa kuing'oa ccm Madarakani ni sasa na wala hakutakuwa na Dk za Nyongeza, Hii ni kwasababu...
Kama kawaida yao, nchi ya Marekani hainaga mchezo linapokuja suala la haki za binadamu. Marekani inafuatilia kwa ukaribu hali ya usalama nchini Kenya.
Kwa yanayoendelea kwa jirani zetu, Serikali...
Ukikakaa na kila Mtanganyika atakuambia kila kitu hakipo sawa sasa hivi. Kodi kandamizi, ufisadi, upendeleo, wizi, ujambazi ushoga na hata uzembe makazini.
Kenya Walipinga ushoga hadharani...
Katika Katiba ya Kenya, suala la kujiuzulu linahusiana na uwajibikaji wa kisiasa na utawala. Iwapo kiongozi wa idara fulani au afisa wa serikali anashindwa kutekeleza majukumu yake ipasavyo...
Kama huna Jicho la 3 si rahisi kuyafahamu haya ninayoyaandika, lakini hali ndio ilivyo, kuna kila dalili kwamba Mwisho wa ccm umefika rasmi
Taarifa zinaeleza kwamba baada ya Mkutano wa Chadema...
Nimekosa maneno ya kuandika lakini huyu Jamaa amekuwa ni Shujaa wangu wa wiki hii.
Nashangaa Spika ameunda Kamati kushughulikia ushahidi wake alioutoa, lakini yeye amewajibishwa na Wabunge...
Tumekuwa tukisikia mashirika kadhaa yakifanya tafiti kubaini mambo kama vile
1. Nchi yenye furaha zaidi.
2. Nchi yenye watu wenye IQ kubwa zaidi.
3. Nchi yenye uhuru wa kutoa maoni nk.
Je, hakuna...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.