Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!
Vijana wa Gen Z walichohitaji ni Zakayo ashuke Rasmi sasa Zakayo ameshuka Baadae Mlale Unono 😃
0 Reactions
1 Replies
266 Views
Nilimsikia Kitila Mkumbo akisema kuna bidhaa 8 wamekubaliana na wafanyabiashara kuziingiza kwenye mfumo bila ufafanuzi zaidi na leo nimemsikia tena Mwigilu akisema kuna bidhaa 8 ambazo...
1 Reactions
3 Replies
209 Views
Hali ni tete Sana Maaskofu wa Kenya wamtaka Rais Ruto kuitupilia mbali Finance Bill Ili kuliokoa Taifa Maaskofu wamemtaka Amiri Jeshi Mkuu wa Kenya kuwarudisha KDF kambini na Mipakani mara Moja...
1 Reactions
8 Replies
284 Views
Maeneo ya Tip Top Manzese Maduka bado yamefungwa ila kuna Mauzo yanaendelea Kwa kificho Kariakoo ikoje Leo?
2 Reactions
8 Replies
371 Views
Wakuu salaam kwenu! Kuelekea 2025 Kumekuwa na tabia ya baadhi ya Wabunge kuhama makazi yao baada ya kuchaguliwa na kuwa Mbunge. Wakati wote mtu alikuwa mkazi wa Jimbo X, anaomba ridhaa kupitia...
0 Reactions
1 Replies
171 Views
Rais ni cheo kikubwa sana yenye madaraka makubwa sana mwenye kupata hiyo nafasi lazima aihenyee ndio atakuwa na wivu na hiyo nafasi. Siyo kupewa tu na katiba. Migomo hii ni udhaifu wa Rais wa...
4 Reactions
20 Replies
805 Views
Akihitimisha hoja ya Serikali Waziri wa Fedha Mwigulu Nchemba amesema Serikali ya Rais Samia ni sikivu na imekuwa ilifanya hivyo Toka Mwanzo. Kwa msingi huo imesema itapunguza matumizi ya...
2 Reactions
41 Replies
1K Views
Waziri Kivuli wa Mifugo na Uvuvi, Ndugu Selemani Misango, amesema bajeti iliyotengwa kwa Wizara ya Mifugo na Uvuvi haiwezi kukidhi matakwa na matatizo ya Sekta hiyo nchini na kwamba ACT Wazalendo...
1 Reactions
3 Replies
300 Views
Sukari ipo? Je, ni bei gani mtaani? PIA SOMA - LIVE - Bunge lajadili juu ya adhabu ya Mbunge Luhaga Mpina
4 Reactions
29 Replies
1K Views
Ni angalizo tu Kwa waziri wa mambo ya nje January Makamba kuhusiana na Uwekezaji wa Majengo kwenye Ubalozi wa Uganda Citizens tv wameonyesha Jengo la Uganda ambalo lina ofisi za Balozi humo humo...
3 Reactions
9 Replies
527 Views
Ninawasilimia wana Jf wote. Baada ya mapumziko ya kuandika hapa na kuwa kwenye kundi la wasomaji, leo nimerejea baada ya miaka miwili. Ninaomba mnipokee na msinifokee. Niendelee na mada. Katika...
1 Reactions
2 Replies
361 Views
Kama Nchi, tumefika pazuri sana, maana sasa ni dhahiri kwamba Wananchi wameanza kutambua kwamba wao ndio wenye nchi. Hata kama tumechelewa lakini ni bora kufika kwa kuchelewa kuliko kutofika...
9 Reactions
45 Replies
3K Views
Hii ni hatua nzuri sana, hasa ikizingatiwa kwamba, chanzo cha mgomo huu ni Serikali ya ccm kuwapuuza wafanyabiashara.
6 Reactions
14 Replies
444 Views
Wameomba kuongea na Mkubwa mwenyewe badala ya kuongea na Wawakilishi wake ambao hawana lolote zaidi ya kupiga porojo tu . Taarifa ya vyombo vya habari hii hapa
1 Reactions
4 Replies
329 Views
Wakuu Heshima mbele! Nilisoma yale ambayo Generation Z waliyasema na yote wameyatekeleza kwa asilimia 100%. Kesho 27/06 Waandamanaji wamesema watafunga njia kuu ya kuelekea nairobi na kuiteka...
10 Reactions
20 Replies
929 Views
Kichwa Cha hii thread ndio Ukweli mchungu Mbunge anawakilisha Chama Cha Siasa ndio sababu mkataba wa Bunge umefungwa Kwa Rais wa JMT, Baraza la Wawakilishi Zanzibar na Vyama vya Siasa Kule...
0 Reactions
3 Replies
200 Views
Wenye akili tulitegemea baada ya Kariakoo nyumbu watafuata mkumbo. Kawaida hakuna mfanyabiashara anapenda kulipa kodi kwa hiyari ni sheria tu inambana. Baada ya serikali kuimarisha mifumo ili...
4 Reactions
28 Replies
3K Views
Namshauri mr president ajifunze mbinu za jpm za kuweka usalama.wa taifa mpaka kwenye dalaldala ukiisema serikali tu unakamatwa na unapotezwa mazima.na waliobaki wanaogopa. Hata samia ajifunze...
1 Reactions
6 Replies
210 Views
Kama ni uchawa basi mm niko tayari kuwa chawa wake, ni kama Maria Sarungi alivyo chawa wa Tundu Lissu au God bless Lema alivyo chawa kwa Mbowe, mimi ni chawa wa Spika wa Bunge la Jamhuri ya...
-5 Reactions
18 Replies
587 Views
President Ruto amejaribu Sana kumuiga Shujaa Magufuli lakini ameshindwa kutumika mbinu ya Shujaa katika kuservice Deni la Taifa Wakati Shujaa Magufuli aliwabana Matajiri na kuwahurumia...
2 Reactions
2 Replies
176 Views
Back
Top Bottom