Nakumbuka mtangazaji nguli mh Kitenge wakati anamponda Zuhura na kusema Kurugenzi ya Mawasiliano Ikulu ilipwaya sana alimsifia Mno Msemaji mkuu wa Serikali mh Matinyi
Kitenge alisema Baada ya VoA...
DED BAGAMOYO ALILIA BANDARI
Na: Edgar Nazar, Bagamoyo
MKURUGENZI mtendaji wa Halmashauri ya wilaya ya Bagamoyo Bw. Shauri Selenda ametoa kilio kwa Naibu waziri wa uchukuzi kuwa bandari ya...
Nawaza endapo wafanyakazi na wananchi kwa ujumla watajoini mgomo wa wafanyabishara unaoendelea hivi sasa nchini hali itakuwaje!!?
Madai ya wafanyakazi;
1.Kupinga kanuni za kikokotoo cha mafao...
Wakenya walianza kulalamika mda sana kuhusu Zakayo kusafiri sana kutafuta mikopo lakini maisha yao bado ni magumu.
Vijana wako mtaani mambo yao ni magumu ajira hamna, mazingira ya biashara ni...
Katika ukurasa wake wa X (Twitter) Godbless Lema ambaye ni Mwenyekiti wa CHADEMA Kanda ya Kaskazini amepongeza harakati zinazofanywa na Luhanga mpina katika kupambania maslahi ya nchi. Katika...
Nawasalimu kwa jina la Jamhuri,
Mimi ni katika waumini wa Muungano, na kawaida hua naupigia chapuo kutokana na manufaa yake kwa pande zote mbili.
Lakini hii ya leo imenifanya nishindwe kuvumilia...
Chato ni sehemu ya Tanzania kama ilivyo Rombo na Bomag'ombe.
Kwa nini Makamanda wenzangu mnaichukia Chato?
Hi ni moja ya great and tremendous development tuache chuki bana. CCM wanapiga kazi
👇...
Mimi kwangu ukiniuliza the first genius president kuwahi kutokea kwenye ardhi ya Tanzania, in good spirit nitamtaja JPM.
Mpaka leo bado najiuliza yule MSUKUMA aliwezaje wezaje! Tukiri kuwa kwa...
Ni basi tu Wakenya wamepinda kama Wazulu wa South Affruca ila unapo kuja kuangalia kiwango cha Viongozi kuwasikiliza wananchi, basi Kenya kuna unafuu ukilinganisha na Tanzania, shida iko tu...
Nipo napitia pitia vitabu vya biashara naona kama wafanya biashara wa Kariakoo wako against na sheria za Biashara hii ni maajabu kidogo.
Kwa sababu kikawaida kama kodi iko juu anaye takiwa kulia...
Wajumbe wa Sekretarieti ya Kamati Maalum ya Chama cha Mapinduzi (CCM) Zanzibar wamepitisha pendekezo la kuishauri Kamati Maalumu kuridhia kuongeza muda wa Rais wa Zanzibar, Dk Hussein Mwinyi...
Nijuavyo leseni ya kila Biashara ina masharti yake na hakuna sehemu imeachia mwanya wa mgomo
Likitokea Tatizo pande husika zinakaa mezani na keleta suluhu
Kwa kawaida migomo iko sehemu za Kazi...
Bunge limtoa adhabu ya juu kabisa kwa kile kinachoonwa ni dharau ya Mpina kwa Spika wa Bunge. Na kwa kifupi sana, bila kutoa maelezo kamati ya maadili imetamka kwamba Bashe hakusema uongo...
Majengo ya Biashara ubalozini ni aina ya upigaji hakuna kitu hapo, ni watu wanagawana 10% maisha yanaendelea.
Tuulizane Mataifa mengine yanashindwa kujenga majengo ya Vitega uchumi kwenye balozi...
Dr Mathuki toka Kenya amefurushwa EAC kabla ya kipindi chake cha uongozi kukamilika. Sasa EAC Ina Katibu Mkuu mpya Bi Veronica. Nini haswa sababu ya kufurushwa Dr Peter Mathuki (PhD)?
NB...
Tanzania na wananchi wa Tanzania, ni wenye bahati mbaya kabisa katika ulimwengu huu.
Watanzania (Watanganyika na Wazanzibari) wamepitia kwenye mateso ya utumwa wa mwarabu. Wakati huo mwarabu...
Wakuu ni matumaini yangu nyote ni wazima.
Nimetafakari baadhi ya mambo yanayoendelea nchini na nimeona ni vyema tukashare mawili matatu.
Najua kuna wale ambao machoni pao hujiona smart kuliko...
Fikiria juu ya ufisadi wa Kagoda, Meremeta, Richmond, na ule wa enzi za Jakaya.
Je , sasa hivi? Mahindra tech, Waarabu waliouziwa bandari?
Mbona Watanzania hawaipiganii Nchi yao kama Wakenya...
Kwa kawaida kiongozi anapochelewa kutumia Hekima, Busara na Maarifa basi madhara kwa Nchi yake huwa makubwa na ya kushangaza
Tuzidi kumwomba Mungu wa mbinguni awape Hekima Viongozi wa Dunia hii...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.