Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!
Muhtasari Kesi za maslahi ya umma ni moja ya silaha ya kupambana na malalamiko kama vile uvunjifu wa haki za Binadamu unaofanywana serikali au taasisi zisizo kuwa za kiserikali. Mashauri...
1 Reactions
0 Replies
257 Views
Wakati mwingine mjadala ya kinyang'au huwachochea Wananchi nao wavunje sheria Wananchi Hawa siyo Wajinga ndio sababu tunasisitiza Uzalendo uanzie Juu kushuka Chini na si kinyume chake Wakati wa...
2 Reactions
0 Replies
161 Views
Moja kwa moja kwenye mada ambapo leo hii nimekusikia ukitoa tamko kwamba sasa TRA itaja na mfumo bora wa nyaraka wa kukusanya kodi kuanzia Julai 1, 2024. Tatizo lililopo TRA ni upigaji ambapo...
1 Reactions
6 Replies
377 Views
Nimepewa jibu jepesi Sana la mfano Mwamba nilinganishe TBC na Wasafi media Kwamba serikali inawaamini zaidi akina Wasafi media kuliko TBC maana yake Uwezo wa akina Zembwela kidunia uko Juu kuliko...
1 Reactions
2 Replies
135 Views
Kikundi cha Maafisa na Askari wa Jeshi la Ulinzi la Wananchi wa Tanzania, Vyombo vya Usalama na Taasisi mbalimbali za Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kilichoshiriki Zoezi la 13 la...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Mwaka 2009 Mnyika aliulizwa mipango yake kisiasa, Majibu yake yalikuwa ni kuwa Mbunge kwa vipindi viwili 2010 na 2015 halafu kupumzika ubunge 2020 kwa ajili ya kujiandaa na Urais 2025. Mnaofikiri...
2 Reactions
10 Replies
319 Views
Mishahara imechelewa kutoka, June 2024,watumishi wa Umma wana maisha magumu sana Kuna Kila dalili serikali kuwaonea huruma watumishi wa umma hadi Leo tar 23.6.2024 mishahara haijatoka. Hili ni...
6 Reactions
46 Replies
4K Views
Katika mahojiano yake na mwandishi wa Habari Makamu Mwenyekiti NCCR Mageuzi, Joseph Selaasini amesema; "Mpina aliliona hili, sababu alikuwa akipata upinzani wakati anaongelea suala hili bungeni...
3 Reactions
9 Replies
457 Views
KIKAO CHA KAMATI MAALUM YA HALMASHAURI KUU YA CCM TAIFA 📍 Kisiwandui Zanzibar 🗓️24 Juni 2024 Makamu Mwenyekiti wa UWT Ndg. Zainab Khamis Shomari (MNEC) akiwa na Katibu Mkuu wa UWT Ndg. Suzan...
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Wakuu salaam! Naweza kupingana na mama sehemu nyingi ila kuna mambo ya kimaslahi kitaifa siwezi kupinga. Mama ana mapungufu yake ila??? Ila?? Nani anayetaka wafanyabiashara Kariakoo wagome na...
6 Reactions
82 Replies
4K Views
Sijamjua kama ni faida ya Katiba mpya ama la ila Wenzetu Kenya Wana Demokrasia iliyonyooka Maaskofu wote Leo wamewatetea Vijana wa Gen Z kwamba hawana Nia mbaya kwa Taifa Katika Kanisa alilosali...
9 Reactions
53 Replies
4K Views
Hiyo ndio Taarifa ya sasa baada ya mgomo wa wafanyabiashara wa Kariakoo unaoendelea ======= Waziri wa Viwanda na Biashara, Kitila Mkumbo amesema wamekutana na wafanyabiashara wa Kariakoo na...
14 Reactions
130 Replies
9K Views
Mkuu wa mkoa wa Dar es Salaam, Albert Chalamila amefika soko la Kariakoo kutokana na Biashara kufungwa kuanzia leo Juni 24, 2024 na kuongea na wafanyabiashara. Chalamila amesema wafanyabiashara...
7 Reactions
153 Replies
7K Views
Ingefaa kwamba Umoja wa Afrika (AU) ingekuwa kama baba kwa nchi za Afrika. Uwepo wake ulipaswa kunufaisha raia wa nchi wanachama! Pamoja na uwepo wa AU, bado nchi za Afrika zimeendelea kuwa...
2 Reactions
8 Replies
371 Views
Mafisadi wameshinda, wamemfyatua Mwamba Luhaga Joelson Mpina (MB) kwa adhabu ya kutohudhuria vikao (sitting sessions) 15 Hoja ya uongo wa Waziri na kutoa vibali kwa kampuni hewa kuagiza Sukari...
5 Reactions
8 Replies
395 Views
Bunge la Jamhuri ya Muungano limekuwa sawa na Pango la Wanyanganyi na ni hatari kwa Usalama wa taifa na amani yetu. Leo tarehe 24/06/2024 Bunge limekaa kikao kujadili kinachoitwa Utovu wa nidhamu...
2 Reactions
9 Replies
389 Views
  • Closed
Kuna Kila dalili serikali kuwaonea huruma watumishi wa umma Hadi Leo tar 23.6.2024 mishahara haijatoka. Hili ni tatizo ,na ukiona serikali imeshindwa kulipa watumishi wake jua ipo mwishoni...
14 Reactions
160 Replies
15K Views
Leo tarehe 24 Waziri Mkuu Kassim Majaliwa amutana Na Wajumbe Wa Bodi Ya Mishahara Na Maslahi Katika Utumishi Wa Umma na kuwaaigiza kufanya tathmini ya viwango vya mishahara wa watumishi wa umma...
5 Reactions
225 Replies
42K Views
Mbunge machachari asiyepoa kutokea jimbo la Kisesa mkoani Simiyu amesema ana ushahidi wa kutosha wa namna baadhi ya mawaziri wanavyotumia vibaya madaraka yao na kujihusisha na ufisadi wa kutisha...
51 Reactions
187 Replies
6K Views
Back
Top Bottom