Salaam, Shalom!!!
Waziri wa Fedha ndugu Mwigulu Nchemba amedai kuwa, deni la Taifa limeongezeka Kwa zaidi ya Trilioni 5 kutokana na kuporomoka Kwa thamani ya Shilingi.
Jambo Hilo Hilo la...
Akizungumza na waandishi wa Habari sheikh Kundecha amewataka Wanasiasa na Wanaharakati kumuheshimu mwenyezi Mungu na Mtume wake Muhammad saw
Kundecha amesema Allah akikasirika huwatumia Watu...
Probably the mosque/islam is the true religion known and nominated by God Himself.
If you go to Kenya probably in Tanzania as well, churches have been grounds for politics.
If you remember when...
Spika wa Bunge, Dk Tulia Ackson ameelekeza Kamati ya Haki, Maadili na Madaraka ya Bunge kumhoji mbunge wa Kisesa, Luhaga Mpina kwa madai ya utovu wa nidhamu.
Akitangaza uamuzi huo bungeni jijini...
Nipo mahali hivi, nimejipata kwenye mawazo huku nikiwaza ya nyuma saana tangu miaka ya 2000 huko kamanda Mbowe akipambana na kupambania Watanzania kwa nguvu na kwa juhudi zote
2005 timu ikapamba...
Katika Mkutano wake na Waandishi wa Habari leo 14/6/2024, wakati akitoa uthibitisho alioambiwa aupeleke na Spika wa Bunge ndani ya siku 10, Luhaga Mpina amesema mananeo ya Waziri Bashe kuwa "Mfumo...
Madudu yaliyoibuliwa na Mpina yanatisha na kutukatisha tamaa na kutowaamini viongozi wetu tuliowachagua ili watatue kero zetu.
Tunamtaka kwanza Bashe akae pembeni ili kupisha uchunguzi...
Naiangalia Rwanda inavyochanja mbuga
Naiangalia Uganda iliyoathiriwa na Vita inavyokaribia kutupita kiuchumi
Yaani Tanzania wanyonge wetu ni Kenya na Burundi tu
Ile Zanzibar ya Abeid na Abdul...
lengo ni kua na walau ngome maalumu ambayo itakua inatuhakikishia viti viwili au vitatu vya ubunge katika kila uchaguzi uwe wa aina yoyote ile.
hivi sasa unaweza kusema ngome ya Chadema kisiasa...
Wananchi wa Chalinze mkoani Pwani waliuzuia kwa muda msafara wa makamu Mwenyekiti wa Chadema mh Tundu Lisu Ili awasalimie na walau aseme Neno la Matumaini kwao
Lisu amewaambia anaelekea mkoani...
Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Tulia Ackson ametangaza kifo cha Mbunge wa Bunge la Afrika Mashariki, Dk Shogo Mlozi.
Spika Tulia ametangaza kifo hicho leo Alhamisi June...
"Tunataka kuona katika Taifa hili, vijana jeuri na wenye kujiamini, si vijana waoga, akina "ndiyo bwana mkubwa", vijana wanaohoji na kupiga vita mifumo ya jamii isiyoshabihiana na matakwa na...
Amos Makalla, Katibu wa Halmashauri Kuu ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) , Itikadi, Uenezi na Mafunzo amesema Chama chake kina taarifa ya kinachoendelea Nchini Kenya (kuhusu maandamano) na kuna jambo...
Hili la adui ujinga nimeliandika mara nyingi hapa JF kwenye posts tofauti.
Kwa miaka mingi sasa huwa nauliza na kujiuliza "hivi hizo shule mlienda kusomea ujinga?" Kuuliza kwangu siyo kwa kukisia...
Wakati harakati za wakenya kupinga Bajeti ya nchi hiyo zikiendelea, nimekuwa navutiwa na ujasiri wa wanawake wa Kenya wanavyopambana mstari wa mbele kupinga Bajeti hiyo.
Wanawake hao wanapaza...
Tupo kwenye mfumo wa maisha ambao ili upate kitu nilazima usifu, jambo linalopoteza dira na muelekeo ya maisha yetu
Tupo kwasasa kwenye dunia inayofahamika kwa uchawa, vijana mpaka wazee...
Taarifa za awali kutoka mkoani Kilimanjaro zinaeleza kuwa Katibu Tawala wa mkoa wa Kilimanjaro, Dkt Tixon Nzunda pamoja na dereva wake wamefariki dunia kwa ajali iliyotokea eneo la Mjohoroni...
DIRISHA LIMEFUNGULIWA, NJOO TUKUSAIDIE KUFANYA APPLICATION ZA MKOPO BODI YA MIKOPO HESLB.
Contacts:- 0627799285. Katibu Seneti Mkoa
Habari!
Dirisha la Kufanya Maombi ya Mikopo Bodi ya Mikopo...
Kama kichwa Cha habari kinavyojieleza.
Uganda imesaini MoU na UAE kuanza kujenga Uwanja wa Tatu wa Kimataifa wa ndege pembeni kidogo ya Hifadhi ya Taifa ya Kidepo.
Taarifa iliyotolewa na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.