Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!
Ndugu Rais Samia imani yangu hujambo, napenda kukutahadhalisha kuhusu issue ya vibali vya sukari vilivyotolewa na waziri BASHE kwa makampuni ya simu, na yakionyesha kuwa na mitaji hafifu kwa...
8 Reactions
83 Replies
2K Views
Wadau hamjamboni nyote? Haya ni maoni yangu binafsi kabisa lengo ni kuweka utaratibu ulio bora zaidi wa utoaji maoni kulingana na mada mbalimbali zinazowasilishwa jukwaani Idara maalumu za...
0 Reactions
0 Replies
132 Views
Ni swali la Jumamosi Ili kupata mawazo Yako Wazee wa Chadema Hata ukiwaangalia kimuonekano na Swagger utaamini Uzee ni namba tu Kwani wanaenenda kiujana zaidi Vijana wa CCM akina Suphiani Wana...
1 Reactions
0 Replies
133 Views
Waziri huyu kila wizara aitumikiayo huja na maono endelevu na kuacha alama. Alipokuwa nishati alibuni mambo mengi ikiwa ni pamoja na ugavi wa mitungi ya gesi bure. Gesi ikiisha ni lazima baadhi ya...
3 Reactions
43 Replies
869 Views
Chama cha Mapinduzi ndio mkombozo wa watu Wanyonge nchini. Chama cha wakilima na wafanyakazi. NB: uapisho wa Ramaphosa Boeing 787 abiria 246
2 Reactions
31 Replies
514 Views
Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa na taasisi ya Mo Ibrahim imezitaja Nchi 10 zinazopokea Misaada Mingi kutoka Kwa Wazungu. Kwa Afrika Mashariki,utegenezi wa hela za Beberu Kwa kiasi kikubwa uko...
0 Reactions
3 Replies
255 Views
Zanzibar imejaa fursa lukuki 1. UTALII 2. GESI 3. MAFUTA 4. KARAFUU 5. MWANI Ila ndio koti la Muungano linatubana. i. Viza (za kuingia Zanzibar) zinatolewa Tanganyika, ii. Pesa inaliwa...
8 Reactions
66 Replies
4K Views
Acha niweke wazi hapa mwanzo kabisa kuwa binafsi siungi mkono mfumo wa chama kimoja hapa taifani. Haya turudi kwenye uzi. Kwa watu au taifa la watu wenye akili mfumo wa chama kimoja ni moja ya...
3 Reactions
5 Replies
295 Views
Toka ajali iliyosababisha vifo vya Katibu Tawala - RAS wa mkoa wa Kilimanjaro na Dereva wake tumeshuhudia ubaguzi mkubwa unaoganywa na serikali kwenye misiba hii. Tumeshuhudia na tunaendelea...
1 Reactions
3 Replies
432 Views
"....Kwenye negotiations tukae vizuri watanzania. Yako mambo ambayo lazima upeleke 'brains' zako. Siyo unapeleka Senior mwenye 'gentleman degree' na form four alipata 'makarai' matupu, ataenda...
55 Reactions
222 Replies
17K Views
Naibu Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (TAMISEMI) Dkt. Festo Dugange amesema uchaguzi wa serikali za mitaa utazingatia ‘R-4’ za Rais wa Jamhuri ya Muungano wa...
1 Reactions
8 Replies
516 Views
Pichani ni Luhaga Mpina Spika wa Bunge Dk Tulia Ackson amempa siku 10 Mbunge wa Kisesa, Luhaga Mpina kuwasilisha uthibitisho kwamba Waziri wa Kilimo, Hussen Bashe amelidanganya Bunge. Dk Tulia...
7 Reactions
78 Replies
5K Views
Na WAF – Dodoma Serikali imeanza kusambaza vitabu vya kliniki vya wajawazito na watoto nchini ambavyo vitasambazwa katika mikoa 26 nchi nzima. Hayo yamesemwa na Mkurugenzi wa huduma za Mama na...
0 Reactions
0 Replies
209 Views
Ni wazo langu tu! tahadhali si uoga! Sishauri wapande helicopter moja au all together kutumia helicopter. Tahadhali tu na wala si kuwa kuna any tetesi, NO NOT AT ALL. TAHADHALI TU Mnajiaminisha...
8 Reactions
34 Replies
878 Views
Ndugu zangu Watanzania, Rais wetu mpendwa na Jemedari wetu kipenzi Mheshimiwa Daktari Mama Samia Suluhu Hasssan, amerejea na kuwasili salama kabisa akiwa mwenye furaha, bashasha na tabasamu...
9 Reactions
75 Replies
2K Views
Wadau hamjamboni nyote? Haya ni maoni yangu binafsi kulingana na mtazamo wangu binafsi ninaoamini ni sahihi Mwanamama Faiza Fox ni shujaa anayestahili kupewa UTEUZI hususani kwenye sekta...
1 Reactions
36 Replies
801 Views
Mwandishi nguli wa Habari za Michezo Maulid Kitenge amesema Ukweli ni lazima usemwe Idara ya Mawasiliano Ikulu ilipwaya. Kitenge amesema kwa mfano madai ya uzushi ya kuuza Bandari ilimlazimu...
7 Reactions
70 Replies
5K Views
Haya mambo Unaweza kuyaona ni mepesi lakini katika Ulimwengu wa Roho Siyo Ishara nzuri Walawi na Maustaadh tuzidishe maombi kwa Mungu wa Mbinguni Ahsanteni Sana 🐼 SOMA - MCL: Mkuu wa Mkoa...
4 Reactions
12 Replies
385 Views
Wahenga Siasani wanasema kwa Kawaida Bunge la Chama kimoja ni Bunge la Serikali. Hivyo Mpina Kuhojiwa na Kamati ya Maadili ya Bunge ni Sawa Kabisa na Kuhojiwa na Kamati ya Maadili ya CCM tofauti...
5 Reactions
62 Replies
3K Views
Habari za wakati huu wanajamiiforum? Tumekuwa na mkanganyiko mkubwa wa kitaifa juu ya scandali ya sukari hapa nchini. Kinara ni mtu ambaye amekuwepo bungeni kwa miaka 19 sasa, je hajui uozo...
3 Reactions
50 Replies
2K Views
Back
Top Bottom