Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!
Hii SGR Watanzania tunamaumivu nayo sana tafadhali reli hii iachwe kwa Serikali na nadhani Jeshi likabidhiwe ili liiendeshe tutapata ufanisi unaokusudiwa. Hili jambo la hawa wachina na hawa...
10 Reactions
103 Replies
3K Views
Mkuu wa Mkoa wa DSM mh Albert Chalamila amesema Siku ya mkesha wa Kuelekea sikukuu ya Eid Al Aidha watoto Wawili walilawitiwa jijini DSM Mtoto mmoja ana umri wa miaka 4 na mwingine ana miaka 9...
3 Reactions
10 Replies
442 Views
Kabla ya matumizi ya sukari iliyoletwa na wafanyabiashara kwa njia ya vibali walitakiwa TMDA watoke hadharani kuwaelezea wananchi kuwa sukari hiyo iliyoletwa ni salama kwa matumizi ya binadamu...
1 Reactions
2 Replies
201 Views
Katibu Mkuu wa Jumuiya ya Vijana wa Chama Cha Mapinduzi (UVCCM) Komredi. Jokate Mwegelo, amesema hivi karibuni watakuwa na mafunzo kwa viongozi wao wa wilaya nchi nzima ili kuendelea kulinda...
0 Reactions
0 Replies
190 Views
Mwenyekiti wa uvccm ni miongoni mwa vijana waliojitokeza hadharani kutaka mtandao ya kijamii inayokiuka maadili ukiwemo Twitter ifungiwe Nadhani atakuwa anamsikitikia Sana Ruto kwa sababu Gen Z...
2 Reactions
7 Replies
333 Views
Mkurugenzi wa Mifumo ya TEHAMA katika Shirika la Mfuko wa Hifadhi ya Jamii kwa Watumishi wa Umma (PSSSF) Bw. Gilbert William Chawe tarehe 16 Septemba, 2022 alifikishwa mbele ya Baraza la Maadili...
6 Reactions
41 Replies
5K Views
NJOONI MUWEKEZE UFUGAJI WA MAJONGOO - DED BAGAMOYO MKURUGENZI Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Bagamoyo Bw. Shauri Selenda, ametoa fursa kwa wawekezaji nchini kujitokeza kwa wingi kuja...
0 Reactions
0 Replies
334 Views
Salaam, Shalom!! Lissu, Lema,Heche, Mpina,Mbowe, Mnyika, Ole Sendeka, Mwabukusi, Dr Slaa, ni baadhi ya watu ambao wanaweza kugombea na wasipige compaign na wakashinda Nchi hii Jimbo lolote...
2 Reactions
5 Replies
229 Views
Baada ya kuona maoni ya Mkuu wa Wilaya ya Korogwe aliyeachwa, Basila Mwanukuzi nimeona nimuunge mkono kupitia jukwaa hili. Maoni ya Mwanukuzi, soma Basila Mwanukuzi: Nchi hii wakweli hawatakiwi...
3 Reactions
10 Replies
2K Views
Kizazi cha wazalendo CCM kimeisha sasa, ndani ya CCM, kimezaliana kizazi cha mafisadi tupu na hakioni haya kufanya hivyo, wajukuu na vitukuu ambavyo vimekuta wazee wao wanajilimbikizia mali kwa...
2 Reactions
1 Replies
233 Views
Luhaga Mpina umekuwa machachari sana kuiwajibisha serikali ya chama chako tofauti na wabunge wenzako wengine wote wa chama chako. Kama utaendelea na mwendo huo unaweza kuleta mabadiliko makubwa...
2 Reactions
31 Replies
879 Views
Wadau ,,sijawahibkusikia mbunhe WA Jimbo ka kyrwa akielezea chichote bungeni au nje ya Bunge.Ndo maana nauliza ,,je Jimbo la Kyerwa linamumnge wa kychaguliwa???
0 Reactions
4 Replies
232 Views
kila anayehudhuria mikutano ya Tundu Lissu hatoki bila kuwa amefaidika kwa ELIMU. Lissu hajawatenga Polisi wetu kwa kuwapa elimu kuhusu maslahi na haki zao. Kitu cha kuvutia ni namna Lissu...
4 Reactions
22 Replies
3K Views
Salaam, Shalom!! Advocate Mwabukusi ameendelea Kutoa somo la Sheria za bunge kuwa Spika wa Bunge ni mbunge wa kawaida akiwa nje ya Bunge, hivyo Hana mamlaka yoyote kisheria juu ya mbunge mwenzie...
20 Reactions
84 Replies
3K Views
Kumradhi waungwana naona kuna mkanganiko mwingi hapa Nchini Mtu kuitwa Dr. inaonekana ni deal sana hata kufikia watu kuzitafuta kwa nguvu na pesa. Napendekeza ziwekewe tofauti, Medical doctor iwe...
3 Reactions
10 Replies
311 Views
Mwandishi wa Habari, Dinna Maningo pamoja na wenzake Waandishi wa Habari wawili wameachiwa huru baada ya kushikiliwa kwa zaidi ya wiki moja. Taarifa zaidi zinafuata... ~ Hii kamatakamata ya...
2 Reactions
8 Replies
524 Views
Nakumbuka ilikuwa march 5 mwaka uhuuu hapa alipojitokeza Makonda kuutangazia Umma wa watanzania yakuwa Rais wa Tanzania yaani Mama Samia Suluhu Hassan amekubali kutenga siku ya KUONANA na...
3 Reactions
4 Replies
251 Views
NIMESOMA Maagizo ya Spika kwa Kamati inayokwenda kumhoji Mpina kwenye suala la tuhuma alizotoa dhidi ya Bashe kwenye skendo ya vibali vya sukari...watalaamu wa sheria tunaomba mtuletee mchanganuo...
0 Reactions
1 Replies
188 Views
RC Chalamila amesema hakunaga Kitu kinamkera hapa Duniani kama kuwaona akina mama wanauza miili yao Chalamila ametolea mfano madada poa waliokamatwa wakiwa Uchi kwenye Mitaa ya Ubungo hivi...
7 Reactions
67 Replies
2K Views
KUINA Tetesi zinazoendelea kuwa Wajumbe wa Kamati ya Maadili waliopewa jukumu la kumshughulikia Mpina wameanza kugawanyika wengine wakidai Mpina hana kosa lolote na hajavunja Sheria wengine...
0 Reactions
13 Replies
585 Views
Back
Top Bottom