Jukwaa la Siasa

Tanzania's Political Forum. Hakikisha hoja unayoiweka hapa ni ya kisiasa kweli!
Nu ukweli unaopaswa kuungwa mkono na Madiwani wa Nchi nzima. Madiwani wa Mkoa wa Mara Wamepaza sauti zao na kuwataka WABUNGE wapunguziwe Mishahara yao ili Punguzo hilo walipwe Madiwani kama...
2 Reactions
16 Replies
925 Views
Ni nadra sana kusikia mwaka umeisha bila kelele, vurumai na sarakasi za kila aina kwenye biashara ya hizi bidhaa mbili za sukari na mafuta ya kula. Nini hasa kinasababisha haya yote ukizingatia ni...
2 Reactions
14 Replies
572 Views
Leo Rais Samia anakutana na Wasemaji wa serikali kutoka maeneo mbalimbali Naomba kuelimishwa majukumu ya Hawa Wasemaji Pili mniambie kuna tofauti gani Kati ya Hawa wasemaji na Lucas? 😄 Jumatatu...
6 Reactions
23 Replies
575 Views
Nadhani Mjadala wa kashfa ya Sukari utakuwa moto Sana pale bungeni wakati Spika Dr Tulia PhD atakapoweka hadharani ushahidi wa mh Mpina Ni ama Mpina atafungiwa kuhudhuria bungeni kama ushahidi ni...
4 Reactions
15 Replies
611 Views
Nimeona kupitia Mwanzo TV Plus askofu Machumu Kadutu akiwaonya wote wanaomfananisha Rais wa Tanzania na Yesu au Mtume Muhammad SAW wasiendelee kufanya hivyo Wote tunajua Yesu Kristo ni Nabii wa...
1 Reactions
2 Replies
360 Views
Makamu mwenyekiti wa CHADEMA Tundu Lissu amesema kuna mchezo haramu unafanyika kwenye utoaji wa vibali vya kuagiza sukari nchini, na kama wahusika watabisha (watakanusha) tuhuma hizi basi...
35 Reactions
178 Replies
8K Views
Kumekuwa na mtifuano kati ya Mhe. Mpina na Mhe. Waziri wa Kilimo - Bashe kuhusu sukari iliyoagizwa ili kuziba pengo lililotokea katika nchi. Mengi yamezungumzwa na Watanzania tumesikia mengi...
2 Reactions
3 Replies
400 Views
Dr Kigwangalla anesema anaamini kabisa Waziri Nape hataufungia mtandao wa Twitter au X nchini Tanzania Vijana wengi wamejiajiri twitter na ni haki yao ya kimsingi hivyo Naamini Nape atafanya...
4 Reactions
19 Replies
653 Views
Bismillahir Rahmanir Rahiim SHURA YA MAIMAMU TANZANIA WARAKA WA IDD ADH-HA 1445 - JUNI 17, 2024 UTANGULIZI Awali ya yote tunamshukuru Mwenyezi Mungu Mwingi wa rehema kwa kutupa fadhila...
24 Reactions
46 Replies
2K Views
Ndugu zangu Watanzania, Kaeni mkao wa kula, kaeni mkiwa mmesafisha masikio yenu yawe na usikivu wa kutosha, na kesho kama ulipanga kwenda mahali basi ni bora ukaghairi kabisa na kusubiri...
6 Reactions
64 Replies
2K Views
Hebu pitia takwimu fupi za CHADEMA MWAKA1995 tulishinda Wabunge 4, madiwani 42. Mwaka2000, tulishinda wabunge 5 madiwani 75. Mwaka 2005 Wabunge 11 madiwani 103" Mwaka 2010 Wabunge 48...
14 Reactions
85 Replies
15K Views
Siasa ni nzuri halafu ni mbaya pia ebu imagine unachafuliwa kwa kitu kidogo ambacho labda hakipo kwenye siasa, mfano kupitia familia yako, mavazi yako au tembea yako Wahenga wanasema siasa...
1 Reactions
2 Replies
235 Views
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania akiwa na walinzi wake akiwasili Chato kwa ajili ya kushiriki mazishi ya Hayati John Pombe Magufuli. Nimependa jinsi ulinzi wa Rais Samia ulivyo, yaani...
67 Reactions
347 Replies
43K Views
Naulliza swali hili kwa msingi mkubwa. Let us keep record, tuone baada ya miaka kumi kama hawa ma RC wanaoshabikia kutumbua watu na wao kutumbua watakuwa hata na nyumba ya kujenga kwa hela zao...
1 Reactions
105 Replies
58K Views
Wanajukwaa naomba kuuliza hili la walinzi wa Rais Magufuli kuvaa sare za CCM limekaaje?
12 Reactions
325 Replies
40K Views
Naota kuna Raisi Ajaye ambaye Atakuwa zaidi Ya Magu🔒 Kwa tabia ma Matendo ila sio mwongeaji ni vitendo tu. Kwa matendo na kwa kusimamia sharia, misimamo mikali. Ataunda uchunguzi wa karbu kila...
1 Reactions
13 Replies
341 Views
Kwenye video hii Ahmed Kombo, mwanaharakati huru, anaelezea ukubwa wa Rais Samia na kumwaga sifa kedekede mpaka kufikia kusema baada ya Mtume Mohammad na Yesu anafuata Rais Samia! Amenikumbusha...
4 Reactions
15 Replies
1K Views
Taarifa ikufikie popote ulipo kwamba, Yule Mwamba wa Siasa kwenye eneo la Maziwa Makuu, ambaye pia ni Mwenyekiti wa Chadema, Chama cha siasa kinachotajwa kuungwa mkono na Watanzania karibu wote...
8 Reactions
43 Replies
2K Views
Bismillah Rahman Raheem. Mwenye kufahamu atujulishe ili labda kama zina neema yoyote basi tumuombee dua, ama kama ni vipeperushi vya ccm tuachane naye. Wabhillah Tawfiq.
5 Reactions
15 Replies
484 Views
CHADEMA ni Chama kikuu Cha upinzani Tanzania, ndio mbadala wa CCM kwa Sasa, Ofisi kama hii hapa chini inashusha hadhi hii adhimu ya Chama. Kama Ofisi imebidi itumike kama genge la biashara, basi...
6 Reactions
16 Replies
685 Views
Back
Top Bottom