Kenyan News and Politics

Serious discussions on Kenyan Politics and Latest news from Kenya

JF Prefixes:

Aliyekuwa Mgombea wa Urais kupitia Azimio La Umoja One, Raila Odinga leo anatarajia kuwasilisha Pingamizi la Matokeo ya Urais yaliyotangzwa na Tume Huru ya Uchaguzi (IEBC) na kumpa ushindi William...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Tume Huru ya Uchaguzi na Mipaka Kenya (IEBC), jana ilimtangaza Ndugu, William Samoei Arap Ruto kuwa Rais Mteule wa Awamu ya Tano wa Jamhuri ya Kenya. Ruto ni Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Kenya, na...
11 Reactions
42 Replies
4K Views
Ili Kukonga nyoyo za kila upande Hasimu Team Ruto na Team Odinga yeyote atakayetangazwa rasmi na Supreme Court ya nchini Kenya kuwa ndiye Mshindi' amteue Mpinzani wake kuwa Waziri Mkuu Cheo...
0 Reactions
24 Replies
2K Views
Kwaya ya Mtakatifu Kizito kutoka Mabibo Makuburi nchini Tanzania imealikwa na Tume ya Uchaguzi ya Kenya ( IEBC ) kwa ajili ya Kuinjilisha wakati wananchi wakipiga kura Hungeremi sana kwa kuifanya...
11 Reactions
59 Replies
5K Views
WATETEZI WA HAKI ZA BINADAMU WATOA RIPOTI YA UCHAGUZI Kwa mujibu wa tafiti zilizofanywa na mashirika kadhaa ya kutetea haki za binadamu katika eneo la Pwani, uchaguzi uliofanyika siku chache...
1 Reactions
9 Replies
1K Views
Mwanaharakati Joel Omondi amesema Rais mteule wa Kenya Dr Ruto katika kampeni zake alitumia mbinu za hayati Magufuli ili kujenga kukubalika na wapiga kura Omondi amesema Ruto alijishusha kwa...
2 Reactions
14 Replies
2K Views
Looking at the momentum of how things are unfolding during the campaign also in various social media, It looks like wananchi are with Kenya Kwanza. Personally, I am not Kenyan, but i have...
5 Reactions
78 Replies
5K Views
Muungano wa Azimio la Umoja nchini Kenya, uliomsimamisha Raila Odinga kugombea urais katika Uchaguzi Mkuu, uliofanyika Agosti 9, 2022, umemtuhumu Rais mteule Dk William Ruto kwa kuwarubuni wabunge...
0 Reactions
2 Replies
553 Views
Kwa mtizamo wangu Ruto anazidi hoja na hadi sasa anaonekana kushawishi kundi kubwa la vijana wa kenya. Mambo makubwa mawili yanayo mbeba Ruto. 1. Ufasaha wa kuongea lugha ya Kiswahili. Kwenye...
11 Reactions
116 Replies
7K Views
Mwenyekiti wa Tume ya uchaguzi (IEBC) Wafula Chebukati, amesema aliwazuia kuingia eneo la Bomas Makamishna wanne waliokana kutambua matokeo ya Urais kwa kulazimisha uchaguzi urudiwe. Chebukati...
0 Reactions
18 Replies
3K Views
Naibu wa Rais #Kenya Dr. William Ruto amezua hisia mseto miongoni mwa wananchi baada ya kusema hatamani kudumu kwenye urais kwa kipindi cha miaka 10. Hayo aliyasema wakati akinadi sera zake za...
5 Reactions
52 Replies
5K Views
Kuna tofauti kubwa sana kati ya Demokrasia ya Kenya na Tanzania Kwa mfano CHADEMA ni chama kikuu cha Upinzani lakini kina mbunge mmoja tu wa kuchaguliwa Wenzetu Kenya kwa akina IEBC wale Kenya...
9 Reactions
19 Replies
1K Views
Mwili wa aliyekuwa Msimamizi wa Tume Huru ya Uchaguzi na Mipaka (IEBC) katika Jimbo la Embakasi Mashariki, Daniel Mbolu Musyoka, ambaye alitoweka akiwa katika eneo lake la kazi Agosti 9, umeokotwa...
3 Reactions
49 Replies
4K Views
Agosti 15, 2022 matokeo ya Uchaguzi yametangazwa, Tume Huru ya Uchaguzi na Mipaka (IEBC) ilimtangaza Willium Ruto kua Rais mteule. Kenya Tume yao wanajiita HURU lakini bado wagombea kama Odinga...
0 Reactions
5 Replies
673 Views
Aliyekuwa Mgombea wa Kiti cha Urais nchini Kenya na kiongozi wa Muungano wa Azimio la Umoja, Raila Odinga anatarajiwa kuzungumza na Wakenya kupitia vyombo vya habari leo Jumanne, Agosti 16, 2022...
2 Reactions
70 Replies
7K Views
Leo asubuhi nilikuwa naongea na shemeji yangu mmoja ambae ni afisa wa KRA ananiambia Wakenya wajiandae kulipia gharama za ufisadi. Unaambiwa William Ruto kawekwa na matajiri hasa jamii ya...
5 Reactions
21 Replies
2K Views
Mwenyekiti wa Tume Huru ya Uchaguzi na Mipaka (IEBC), Wafula Chebukati amedai Jumatatu ya Agosti 15, 2022 alihangaishwa akiwa pamoja na makamishna na wafanyakazi wa tume hiyo ya uchaguzi...
0 Reactions
9 Replies
2K Views
Makamishina wanne wa IEBC wanapingana matokeo ya Rais wa Kenya wanasema matokeo yalipikwa Wanadai kuna kura zaidi ya 143,000 hazijulikani zimetoka wapi na Chebukati alishindwa kuwapa majibu...
17 Reactions
235 Replies
12K Views
Hawa jamaa wa Raila ni wajinga kwelikweli, eti team ya Ruto wali hack matokeo? Ni uongo kwa sababu hizi Matokeo yote kutoka vituo vya kupigia kura ambayo yanajazwa kwenye fomu ziitwazo fomu 34A...
10 Reactions
76 Replies
5K Views
William Samoei Ruto ametangazwa kuwa Rais mteule wa Kenya. Marais kadhaa wa nchi jirani wamempa pongezi kupitia Twitter ila sijaona kwa Rais wetu Ni kuwa alikuwa anataka Raila ashinde?
0 Reactions
68 Replies
6K Views
Back
Top Bottom