Mahusiano, mapenzi, urafiki

Tubadilishane mawazo kuhusu familia, mahusiano, mapenzi, urafiki, n.k na kushauriana

Love Connect

Unatafuta mchumba? Mpenzi? Hili ndilo jukwaa sahihi. Litumike vema vinginevyo hoja zitafutwa!
Threads
7.8K
Posts
220.7K
Threads
7.8K
Posts
220.7K

JF Prefixes:

Mambo vp wakuu, Kutokana na nyuzi nyingi nazosoma humu ndugu zangu wengi wanapitia mazito kwenye mahusiano yao, swala la kukaa ndani nyumba moja bila kusemeshana, au mwanamke kuchepuka au...
16 Reactions
138 Replies
4K Views
Hamisa Mobeto amewapa heshima kubwa mno single mothers wote, jana amelipiwa mahari milioni 30 na ng'ombe 30. Hii ina maana watoto wake wa nje hawajawa sababu ya kushusha thamani yake, amewazidi...
8 Reactions
42 Replies
680 Views
wadau huyu Dada tumshauri nn? Mume wangu anataka kuniacha kwa kumpeleka Mtoto shule Mimi na X ambaye tulizaa kabla ya ndoa! Mimi ni mama wa watoto 3. Mtoto wangu wa kwanza nilizaa na mwanaume...
39 Reactions
284 Replies
10K Views
Unajua Mhusiano bado ni Mada pana Sana lakini tugusie leo kitu kidogo tu kwenye swala la Game. Mwanaume always akiwa na mtu lazima awe na hisia naye hivyo basi yeye hawezi chukia tendo, Lakini...
9 Reactions
46 Replies
2K Views
Ni kile kitendo cha kutokea mwanamke na kumwambia nakupenda, nimejaribu zaidi ya mwaka lakini nikubali tu kutongoza imenishinda aisee. Jumlishia pesa yenyewe ya kuunga unga! Naweza kumpenda...
2 Reactions
87 Replies
9K Views
1. Huyo unaemnunua anamvulia kila Mwenye pesa hata kama ni kichaa, ivyo wewe msafi unavyoenda kushiriki nae unajivisha Maroho machafu kwa starehe ya dk tu🤦‍♂️ 2. Hivi unatambua baadhi ya matajiri...
20 Reactions
56 Replies
2K Views
To all nice guys, these modern women doesn't want anything serious, they just wanna have fun. Kama wewe ni nice guy tambua kwamba upo katika kizazi ambacho ni hatari kwa afya, akili na uchumi...
25 Reactions
40 Replies
1K Views
Nimekosa Hamu na mwanaume wangu kutokana na tabia na mambo ya machukizo na maumizo anayoyafanya ..#ametokea mwanaume mmoja kunipenda kwa mda mrefu lkn nilikuwa simpi chance hii nikutokana na kuwa...
4 Reactions
175 Replies
11K Views
Usijidanganye mwanamme mwenzangu kuwa kuna siku utamridhisha mwanamke kwa lolote,kuanzia kwenye kumgegeda mpaka masuala ya kawaida, wanawake wengi wao akili yao kama kuku,ukimpa mchele juu...
16 Reactions
96 Replies
13K Views
Kwa wenye mnajua ngeli twende kazi. Mr magical power, post and hide id. I want you guys to tell me if my husband really loves me. Immediately I was married my hubby and his mother brought me two...
1 Reactions
8 Replies
421 Views
Mimi ni kijana ambae nimeoa hivi karibuni na nilikua na akiba yangu kama milion5, imepotea katika mazingira ya kutatanisha yaani siioni tena nilipoieka na chumbani nakaa mimi na mkewangu tu Ila...
2 Reactions
132 Replies
10K Views
Tumo humu kujadiliana mambo ya mahusiano kwa kuwa kuna mtu anaitwa Maxence Melo na wenzake usiku na mchana wanahangaika tuwe humu tena tukiwa salama. Melo kakamatwa na bado anashikiliwa na Polisi...
7 Reactions
29 Replies
3K Views
Nimeoa mwanamke ili kumukomoa mwanamke ambaye nilimpenda kwa dhati ambaye nilikuwa naye mahusiano kipindi cha mwaka mmoja. Tuliahindiana kumuoa ila doto hizo zilizimika pale nilpomununulia simu ya...
3 Reactions
103 Replies
13K Views
Leo siku yangu imeharibika kabisa, kuna huyu mdada niko naye mwaka wa pili sasa kwenye mahusiano kumbe ni mke wa mtu bhana. na siku zote ananiambia hana mume mtoto wake aliye naye baba yake...
2 Reactions
49 Replies
4K Views
Kuna watu wanashangaza sana. Unakuta mtu anahangaika kuitafuta namba yako hadi anaipata. Halafu akishaipata anaanza kukupigia simu. Na kila ukipokea na kusema 'haloo' mwenzio anakata simu. Halafu...
2 Reactions
86 Replies
5K Views
Habari wadau, Aisee hiki kimekuwa ni kipindi kizito sana katika sehemu ya maisha yangu baada ya kujikuta nilimuangukia kimapenzi mtoto mmoja ambaye alitokea kunielewa sana kipindi naanza 1st year...
40 Reactions
252 Replies
25K Views
Salaam wakuu, Hivi mnaofanya hivyo mnapata faida gani kwa kutunga stori za uongo uongo? Mara umeachana na mke kisa kakunyima kipochi manyoya na wengine sijui mmemkula mama mkwe! Acheni hizoo...
5 Reactions
25 Replies
3K Views
Duh!! Kuna kabinti kamoja kazuuri sana yaani Wema anaigiza hiyo inye Masogange cha mtoto yani kaenda hewani kama Uwoya hivi yani in general ni shida. Nilikafahamu mwaka jana December kama hivi...
20 Reactions
121 Replies
10K Views
Kuna mdada nilifahamiana naye, kazini kwake siyo mbali na kwetu, so kwenye pita pita ndo nikamfahamu, kuna wakati changamoto za usafiri huwa nampa lifti baadhi ya siku. Kama ujuavyo wanaume...
16 Reactions
40 Replies
2K Views
Back
Top Bottom