Mahusiano, mapenzi, urafiki

Tubadilishane mawazo kuhusu familia, mahusiano, mapenzi, urafiki, n.k na kushauriana

Love Connect

Unatafuta mchumba? Mpenzi? Hili ndilo jukwaa sahihi. Litumike vema vinginevyo hoja zitafutwa!
Threads
7.8K
Posts
220.7K
Threads
7.8K
Posts
220.7K

JF Prefixes:

Hapo vipi, Embwana kuna msichana mmoja hapa kitaani , japo mimi pande hizi za kwao mimi ni mgeni coz sina hata miezi 3,sasa siku moja nimetoka zangu kwenye mishe zangu mara nikakutana nae maeneo...
1 Reactions
58 Replies
4K Views
Valentine hiyoo inakuja usikose maua na chocolate mwambie nakupenda ili muende VALENTINE. Usikae mwenyewe kama mshumaa umejifungia, huu uzi kwa ajili yenu. Fungukeni mukasherekee kwa pamoja.
25 Reactions
452 Replies
5K Views
Unajua baada ya mwanamke kumpata mwenza wake wa raha na shida huwa mara moja moja wengine wanaendelea na zile tabia zao za zamani au mahusiano mengine yasiyo rasmi lakini huwa waangalifu sana...
16 Reactions
118 Replies
13K Views
Jamani, my man has truly outdone himself this Valentine’s! Yaani sijawahi kufanyiwa hivi before, I feel so loved and spoiled. 😍 Morning surprise? He brought me breakfast in bed—hot tea, pancakes...
11 Reactions
67 Replies
993 Views
Nilijuaga hivi visa ni kwenye bongo movie tu😂 Binti mzuri, chocolate skin, honest looking, very simple hadi alikuaga ananiamsha usiku tusali ahah mtoto yule wa kilokole😂 Nilimjulia wakati...
2 Reactions
8 Replies
285 Views
Naendelea kushuhudia kuongezeka kwa matukio ya baadhi ya familia watoto hasa wengine wakiwa na miaka 17 wakishirikishwa katika kusuluhisha migogoro ya wazazi wao. Inawezekana hali hii inatokana...
1 Reactions
8 Replies
249 Views
imagine umeshaonana na binti mara kadhaa mmeshapiga piga love stories na nini na mambo mengine tayari umeshamtoa mtoa out mara kadhaa na kumrushia voucher. unakuja mwambia njoo home weekend...
5 Reactions
31 Replies
3K Views
kukua na kupanuka kwa sayansi na teknolojia kumekuwa na matokeo hasi na chanya katika jamii. kupanuka kwa matumizi ya simu na mitandao ya kijamii kumeleta changamoto katika mahusiano ya kimapenzi...
22 Reactions
94 Replies
10K Views
My man kafulia jamani , before mambo yalikua mazuri alikua anahudumia kila kitu kuanzia rent, my expenses na kila ninachohitaji. Ila recently tangu last year December Yani mambo yamekua ovyo sana...
12 Reactions
122 Replies
3K Views
  • Redirect
Eti kupambana nimkojoze? Kama hajaamua mwenyewe? Mi huwa namwambia kabisa demu suala la yeye kukojoa lina mchango wetu sote na yeye mchango mkubwa wa asilimia zaidi ya 80. Mimi ishirini. Sasa eti...
6 Reactions
Replies
Views
Wasalaamu, Katika kautafiti kangu kafupi nimegundua wanawake wengi wenye chura, uwezo wao wa kupambanua mambo ni mdogo na wengi wanaumizwa sana kunako . Wengine akili zao chache zilizopo...
14 Reactions
84 Replies
12K Views
Aman iwe nanyi wapendwa katika bwana Kama kichwa cha habar kinavyo someka hapo juu Nilikuwa ni mbabe wa kutafuta mademu mitandaon lakin sasa nimekoma Haata baadh ya watu waliokuwa wakinishaur...
2 Reactions
95 Replies
10K Views
Lakini ana watoto wawili, na nimekaa nae miezi minne lakini sikuwahi kujua kama ana watoto, Nimekuja kujua kama ana watoto baada ya mtoto wake kuugua na kuhitaji msaada wangu kwaajili ya...
5 Reactions
67 Replies
5K Views
Mambo zenu naulizia lodge nzuri sinza kwa 20,000 yenye ac,pasafi,kuwe na heater na maji ya kutosha.
0 Reactions
4 Replies
622 Views
Habarizenu wanajamvi? Mimi nimepata msichana wa kikenya sema anaongea kama mwanajeshi. Hivi hawa wanafaa kuingizwa ndani kweli? Sent from my BlackBerry 9900 using JamiiForums
0 Reactions
20 Replies
3K Views
Tofauti ya kuwa msomaji wa jamii forum sintokaaa kuanzisha mada yeyote especially kimapenzi . Nitakuwa na changia mada tena ikinibidi kuna kitu kimenitokea thats why. Good day
12 Reactions
69 Replies
2K Views
  • Redirect
11 Reactions
Replies
Views
Ukweli ni kwamba mwanaume hata ajitahidi vipi kukusamehe haitatokea kamwe, wanaume huwa wanadhani wanaweza lakini hawawezi. Tutazungumzia hili kwa kutumia makundi matatu ya wanaume KUNDI LA...
45 Reactions
197 Replies
10K Views
Sifa zako hazivumiliki, nakuacha rasmi nawaachia wenzangu. 1: una kibamia Kwakweli nimejitahidi kukizoea ila naona najitesa tu, kidudu kama sigara no please. 2: ubahili Bora ungekua sio bahili...
25 Reactions
355 Replies
32K Views
Back
Top Bottom