Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

JF Prefixes:

Kiwanja kinauzwa chanika Nguvu kazi kipo mita 900 toka barabara ya ram.kuna umeme .barabara ipo mpaka kwenye kiwanja .Ni eneo Endelevu,Tambarare.ujenzi ni rahis sana mchaka unapata hapo hapo...
0 Reactions
76 Replies
28K Views
Tuna hii sofa bed kali sana, ni ya kulipia na kubeba. Material: turkish, clean finishing 📍Kijitonyama Police 📞0628490035
1 Reactions
5 Replies
389 Views
Habari wana Jamii Forums, Nahitaji mlango wa chooni wa PVC ambao ni used kuna mtu anauhitaji haraka sana, kama unao tafadhali ni PM tufanye Biashara, mfano Wake Kama Huo.
1 Reactions
0 Replies
235 Views
Karibuni wadau nauza gari aina ya Toyota Rush (SERIOUS BUYER ONLY) Engine - Petrol 1491490 Seats - 5 Colour - Mid Night Silver Metallic Transimition - Manual Mileage - 103,000
2 Reactions
9 Replies
535 Views
Umeme mdogo usikkwamishe shughuri zako.. Nafynga vifaa vitakavyoondoa tatizo hilo katika vifaa vyako 0785165877 Transistor
1 Reactions
1 Replies
169 Views
Kwa mahitaji ya Miche ya muda mfupi ;- *Miembe *Michungwa *Chenza *Parachichi *Passion *Pera *Apple Miche ya viungo -mdalasini -mchaichai -mint -rosemary -ukwaju -iliki n.k **Wasiliana nasi kwa...
1 Reactions
31 Replies
2K Views
BSK basic computer application online. SWAHILI. Ninafundisha (online na offline) basic computer application/Microsoft office package kwa walio makazini na ambao hawako makazini (Mtu yoyote)...
4 Reactions
29 Replies
1K Views
HII NYUMBA TULIDESIGN WENYEWE JAPO MTEJA ALIANZA UJENZI NA MTU MWINGINE THEN SISI TUKAANZA KUREKEBISHA 1. TULIREKEBISHA MSINGI MAANA ULIKUWA MFUPI SANA NA MKANDA ULIKUWA MDOGO MNO (REJ PICHA NO...
7 Reactions
115 Replies
3K Views
Naomba mwenye kujua bei ya Tanks hapo juu kwa Kigamboni anisaidie kujua. Natanguliza shukrani.
0 Reactions
8 Replies
38K Views
Habari, mwezi ujao naenda kupata milioni 30. Vijana wenzangu naombeni ushauri ili nisije kujuta baadae maana hela sasa hivi sina. Na hiyo hela sidhani kama nitaipata tena kama. Naombeni ushauri...
14 Reactions
115 Replies
4K Views
Naomba kuuliza eti kuna kampuni inayojihusisha na kununua nyumba au viwanja. Kwamba ukifika pale wanatathmini nyumba yako bila ya kwenda kuiona wanaweza wakasema nyumba yako ina thamani ya milioni...
0 Reactions
0 Replies
273 Views
Habari! Tunatengeneza na kuuza furniture mbalimbali za majumbani, ofisini na hoteli. Tunazingatia ubora na finishing nzuri. Karibuni sana. Call/ whatsapp 0628490035
5 Reactions
6 Replies
439 Views
Habari Nahitaji maharage ya njano , mwenye nayo anicheki, nahitaji mengi kuanzia Tani 1 na kuendelea +255716473605
2 Reactions
3 Replies
273 Views
NYUMBA INAUZWA (LODGE) Loc: Kitunda Matembele ya Kwanza(DSM) Bei/Price: Millioni 95,000,000/=TZS (Maongezi Yapo) Nyumba Ina Vyumba vitano Vyote Master, na chumba cha nje cha mfanyakazi, public...
2 Reactions
6 Replies
490 Views
Habari wapendwa nauza shamba langu Lina heka 3 tu lipo kati kati ya Fukayosi na Kiwangwa karibu na Bakhresa, ni Mali halali lenye hati na linatambulika Serikali za mtaa kutoka barabaran kuu mpaka...
2 Reactions
16 Replies
1K Views
Shamba linauzwa lipo mpakani mwa Arusha na Manyara, lina ukubwa wa heka 180 linauzwa lote huduma ya umeme ipo maji mabomba yameshapita lakini mwisho wa eneo kuna mto umepita na shambani kuna camp...
1 Reactions
1 Replies
779 Views
Shamba la heka 100 linauzwa lipo Kibaha: 1. Lipo umbali wa km5.4 kutoka morogoro road 2. Lipo barabarani 3. Limepimwa na lipo kwenye ramani ya mipango miji 4. Huduma za kijamii zipo kwa...
2 Reactions
10 Replies
952 Views
Shamba lina ukubwa wa Hekari 2 Lina miti 1000+ Miti ina umri wa miaka Shamba lipo Mwanza, Ukerewe Bei yamba pamoja na miti yote iliyopo kwenye shamba ni shilingi milioni tisa na laki...
1 Reactions
4 Replies
492 Views
Kwa wale waliotayari kuwekeza kwenye uwekezaji usio na hasara mnakaribishwa sana Mashamba ya miti ya mbao aina ya MIKARIBEA pamoja na ardhi yake yanauzwa La kwanza lina ukubwa wa ekari tatu na...
0 Reactions
3 Replies
725 Views
HP PRO BOOK core i5 Generation 4 Ram 4 GB 2.60GHz Window 11 pro 500 GB Cd door WiFi Bluetooth price 390,000 Call 0692562259
0 Reactions
22 Replies
1K Views
Back
Top Bottom