Tunauza Viatu vya ngozi maarufu kama viatu vya kimasai
Viatu ni original ngozi na soli kutoka Kenya bei ni kuanzia 15000 maongezi yapo
Tupo Tanga Handeni
Karibuni sana
Tunauza vifaa mbalimbali vya ulinzi.
Pia tunafanya installation kupitia simu yako hii itakufanya uweze kupata taarifa hata ukiwa mbali na eneo lako.
Tuko DAR ES SALAAM KARIAKOO Faya
Mikoani pia...
Habari wadau,[/SIZE]
Ninauza Toyota Hilux double Cabin 2.8 Diesel, Manual Transmission.
Bei ni 8,500,000 (8.5 M) mazungumzo yapo kwa serious buyer.
Gari ipo Bunju; Dar es salaam.
Mawasiliano...
Wenye kuhtaji bidhaa mbali mbali za kitamaduni na asili kama bakuri,sahani,vikombe vilitengenezwa kwa mazao asili ya miti ya kitanzania karibuni sana hapo chini ni mfano wa bakuri wenye kuzihtaji...
Inauzwa haina tatizo lolote
Colour- space gray
Memory-16 GB
Fingerprint-[emoji818]️(inafanya kazi)
Price/Bei-750k(laki saba na hamsini)
Nipo dar es salaam
-0675990776
Habari
Husika na kichwa hapo juu, Kwa yoyote anae hitaji pikipiki, Bei ni Laki 9 na Nusu, Tafadhari tuwassiliane kwa namba ifuhatayo +44 7452 925919 WhatsApp.
Haijawai kutumika kama bodaboda...
Bidhaa mpya
Six pack care
Mashine ambayo ni mult functional utafanya mazoezi ya mwili mzima kupitia kifaa hiki ukiwa nyumbani
Kwasasa vipo kwenye promotion kutoka 350,000 mpaka 300,000
Wasiliana...
**Offer offer offer
1. lipia Canal miezi miwili kwa 40,000/= kila mwezi.
2. Utapata wiki mbili za kifurushi EVASION+ Yenye A+ SPORT Channel number 101.
Malipo ya kawaida
Axcess = 20,000/=...
Habari zenu nauza asali mbichi isiyochanganywa na kitu,Lita moja shilingi 15,000/ Lita ishirini sh 220,000/ nakuletea ulipo kwa DSM, morogoro,Dodoma na mbeya. Karibuni na ninatafuta soko.kwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.