Habari za jioni wadau,
Nina shida ya chumba cha kupanga.
Kiwe maeneo ya kinondoni mpaka magomeni dar es salaam.
Kiwe karibu na main road (kawawa road)
Kiwe na umeme, maji na gypsum,
Sitaki nyumba...
Habar wana JF
Wale wakazi wa Zanzibar Unguja Pemba nk...ambao wapo JF naomba kupata habar za soko la kuku wa kienyeji
Nikiwa katika matembezi yangu katika mkoa wa Tanga nimeona kuku wengi...
Habari zenu wakuu nahitaji mwenye spika za home theater ambazo ni 5:1.Aje pm tuongee biashara..
Nina kichwa cha panasonic blue ray...watt1000 ila hakina spika zake.
Laptop aina ya hp635 naiuza kama spare ilizimika ghafla,inawaka lakini haionyeshi kwenye kioo (hai display kwenye screen)
Naiuza ikiwa na sifa zifuatazo
1.RAM 2GB
2.HARD DISK 500GB (ikiwa na full...
Wanajamii nawakaribisha mjipatie vifaa vya ujenzi aina zote kama vile marine boards, plywood, silingboard, nondo, mabati, gypsum, misumari, na hardware zote kwa bei nafuu
Habari wakuu..
Nahitaji tipper 4 za kichina kuanzia ujazo wa 15CBM za kukodi kwa mkataba wa muda wa miezi 3 maeneo ya Dar es salaam. Yeyote aliye interested, pls PM me ama nicheck kwa email...
kama kichwa cha habari kinavyojieleza ,tunauza zungura aina ya california kwa bei ya kuanzia elfu ishirini na tano(tsh.25000) kwa sungura wadogo na elfu thelathini (30000) kwa sungura...
IMMACULATE CONSULTING TANZANIA LIMITED NI KAMPUNI ILIYOJIKITA KUTOA HUDUMA ZA USHAURI WA KIBIASHARA HASA KWENYE NYANJA YA UADISHI WA BUSINESS PLAN ( MPANGO WA BIASHARA)
KARIBU TUKUHUDUMIE, KWA...
Salute,
wakuu ninaomba msaada wenu,mwenye chumba cha kupangisha maeneo hayo naomba anisaidie.
bajeti yangu ni 45000-55000/=. Kwa miezi sita.
contacts zangu= 0716345089
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.