Matangazo madogo

ONYO: Usiweke links za aina yoyote! Uongozi wa JF hautahusika kwa namna yoyote kwa mawasiliano ya mauzo yaliyowekwa na wanachama bila kutushirikisha.

JF Prefixes:

Nyumba inauzwa ina vyumba vitano,gharama ni Tsh.19,000,000/= , ipo Pugu Kigogo Fresh/Pugu Station . Ina Sebule ,master moja, choo cha ndani ,vyumba vitatu vya kawaida.Karibuni maongezi ya bei...
1 Reactions
7 Replies
1K Views
Kiwanja kina nyumba yenye vyumba viwili na sebure kimoja ni master. - Kiwanja ni 624m2 Kuna maji hapo hapo (ya uhakika) na umeme(wa uhakika) Dk2 bara bara ya lami - frem ya biashara moja...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Sifa: Vyumba 3, kimoja ni master. Sebule kubwa Jiko na stoo yake Choo cha wageni Eneo kubwa na la kutosha, Unalizia rangi, tiles na ceiling board unaaamia. Kwa mawasiliano zaidi: 0767077952 Tazama...
1 Reactions
23 Replies
3K Views
Nyumba inauzwa tabata ina vyumba vitatu vya kulala, kimoja master Sebule kubwa Jiko Dinning Stoo Bei mil 65 mazungumzo yapo
1 Reactions
24 Replies
2K Views
Nyumba ipo Tabata Kisukuru(migombani). Mita 200 kutoka standi ya migombani Nyumba ina vyumba vi nne (viwili ni master), sebure, dinning, jiko na public toilet. Ina umeme na maji ya DAWASCO Gari...
4 Reactions
62 Replies
7K Views
Nyumba ina vyumba 3 kimoja master , sitting na daning pamoja na jiko Nyumba ina jiko la nje na ndani . kisima cha maji na umeme. .nyumba ina fence kubwa na nyumba ni mpyaaa Ukubwa wa kiwanja...
1 Reactions
2 Replies
1K Views
Nyumba inauzwa Goba njia nne ipo vizur sana bei yake ni milion 50 maongezi yapo kwa mwenye uhitaji wa hiyo nyumba haina migogoro wala mivutano inauzwa kwa sababu ya shida binafsi urefu ni 35 upana...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Habari! Nyumba kubwa (haijaisha) yenye sifa zifuatazo ikiwa ndani ya kiwanja chenye ukubwa wa Hekari 1 na nusu inauzwa: 1. Sebule kubwa (6M × 8M) 2. Dining room kubwa (4M x 4M) 3. Jiko kubwa (3M...
0 Reactions
0 Replies
982 Views
Kama kichwa cha habari kinavyosema hapo juu... Nyumba ipo Tabata Kisukuru(migombani) Mita 200 kutoka barabara ya segerea -extenal kupitia jeshini Nyumba ina vyumba vi nne (viwili ni master)...
1 Reactions
19 Replies
2K Views
Ipo mjimwema mtaa wa Kibugumo Ina vyumba viwili master sitting room Dining Room jiko na public toilet kiwanja kina 25×35 pia mbele kuna Boma la Frem Mbili za biashara bei Tsh. milioni 85 maongezi...
0 Reactions
0 Replies
855 Views
Nyumba inauzwa ipo Sumbawanga Izia mita 80 kutoka soko la sabasaba Ina vyumba vyumba vitatu kimoja ni master,sebule,dining room,jiko,store kwa nje ina chumba na sebule,vyoo vya nje,na vyumba vinne...
2 Reactions
28 Replies
6K Views
Lovely double storey house founded in a good neighborhood of Mbezibeach almas street, few metres from Mwaikibaki road, coming with four bedrooms ( all selfcontained ) plus servants quarter. Built...
1 Reactions
0 Replies
625 Views
Ilala Bungoni Bei milion 350… Kwa mawasiliano #0759609942
0 Reactions
12 Replies
1K Views
Nyumba pamoja na kiwanja vnauzwa Kimara Baruti. Ukubwa wake ni 35 kwa 30. Bei yake ni 50m maongezi pia yapo. Kwa mawasiliano zaidi piga 0687968594/0714140094
1 Reactions
11 Replies
2K Views
Naomba kuwajulisha kuwa Nauza nyumba Ipo Kiharaka ukipita daraja la Bunju unapinda kulia ilipo kambi ya jeshi sasa kabla ya kufika Nyumba ipo hapo Serikali za mitaa. Ukubwa wa Nyumba ina vyumba 3...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Nyumba Inauzwa KIGAMBONI VIJIBWENI, Yenye Vyumba (3) vya Kulala Kimoja wapo ni Master Public Toilet Sehemu ya Kulia Chakula Jiko Nyumba bado Ijamaliziwa ipo kwenye Lenta Kiwanja cha Nyumba Kina...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Habari wa JF Nauza nyumba yenye vyumba vitatu, ukumbi, dinning, jiko Vyumba viwili ni master na public toilet moja Nyumba una fance tayari Umeme maji tayari Nyumba ya pili toka barabara kuu ya...
1 Reactions
0 Replies
926 Views
Salaam waheshimiwa, nahitaji vyombo vya ndani ( geto ). Nahitaji kitanda, godoro, mtungi wa gesi, kikabati cha kizushi ( kibaharia) na vikoro koro vingine vya geto. Vitu ninavyotaka ni vya kijana...
0 Reactions
1 Replies
866 Views
Hili Shamba lipo Inje kidogo ya Mji wa Vikindu-Mkuranga. Siyo Mbali kutoka barabara ya Kilwa. Kutoka Vikindu kwenda Mbagala nahuri ya Daladala ni Tsh 400, k-koo nahuri ni TSH 600. Kwahiyo siyo...
1 Reactions
0 Replies
1K Views
Nyumba mpya yenye Chumba kimoja masta pamoja na sebule. Mahali: Mbezi Juu, Njia ya Goba, kituo cha tatu kutoka masana hospital.. Bei Tshs 150,000 kwa Mwezi. Maji ya dawasa yapo, umeme luku wawili...
0 Reactions
0 Replies
696 Views
Back
Top Bottom